To yeye
JF-Expert Member
- May 30, 2016
- 20,211
- 37,921
Huyu siyo mahabuba bali ni buzi!
ha ha ha!
Huyu siyo mahabuba bali ni buzi!
Sasa wewe ndo unafaa kabisaHahahah
Huamini?
Kiukweli sina tabia ya kuombwa hela mamii maana ni jukumu langu.
Kwanini nasubiri mpaka uombe hela?
KaribuNimeipenda iyo kila siku unampa elf 50
[emoji1]Toa toa hela kaka!!
WEWE UNATAKA KULA BILA KULIWA NASEMA HAIWEZEKANIToa hela acha kulialia
[emoji87]Haahah hawajiulizi tunawapa vingapi sisi
Hivy vijisent ndio wanalalamikia
M mwanaume w hivy sitak anisogeleee kbisaaaa
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Unanikoshaga n comments zako hapo mwisho nimefurah
Kuna wanaume wengine kutoa hata hela ya nauli mpaka akupe umeongea kila aina y sentes
[emoji28][emoji28]WEWE UNATAKA KULA BILA KULIWA NASEMA HAIWEZEKANI
[emoji87]inagoma ngoja inakuja
Huo ni uboya.Nampenda mkuu!
Nataka nikupe helaa...[emoji28][emoji28]
Nipee [emoji30]Nataka nikupe helaa...
Haya subiri.Nipee [emoji30]
Hahaha wapendeni hao babu na baba sijui...hatabmi ntakuwa babu maana hapatu kijana base naiweka vizuri.....[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] ndiomaana nawapenda Wababa na Wababu sitaki shida.
Mateso kwenye kuyafuta si kugawa....waanaume mmeumbwa mateso kuhangaika
Shunie bhana si ungeniambia toka mwanzo mamii?Hivi unavyomtongoza mtu si unamkuta kapendeza mpk ww kakuvutia kuwa nae unatakiwa ujiongeze tu kwa manzi sio lazma akuombe we mpe tu hela sema kuna wanaume wengne wakavu unaweza wala usiwe unamwomba na yy anauchuna ila siku ya siku ukimpa kizinga kikubwa analialia we toa helaa
Lakini ujue siku hizi na sisi tunajua kunyonya nyau bila kuchoka,yaani tumefuzu,kama unabisha hebu niulize swali lolote kuhusu kunywa soda la kopo.Nyie kaendeleeni kunyonya hadi mtakapoacha.
I think ni tamaduni zetu, kwamba majukumu ya kuhudumia mwanamke ni ya mwanaume. I learnt from my brother, yeye na mke wake wakitoka hata kama mwenye hela ni mke wake, mke atampa kwa kificho alipe bili ya watu ili ionekane aliyelipa ni mwanaume.Thats how we call it gentleman
[emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106]