Wakinadada tuache kuomba hela, inawezekana?

Wakinadada tuache kuomba hela, inawezekana?

hongera kwa kupata mimi natafuta mwaka sasa unaisha
Wew nilikufuata Pm ukanichunia, nikaangukia kwenye ID ya mizinga, anataka kuniuzia papuchi kwa lk 7. Wakati siku hiyo ya kwanza analia eti utamuu hajawah kukunwa namna hiyo, nilimzamia chumvini kama dk 30 mtoto akawa hoi kidogo apoteze fahamu, kwa utamu aliopata alitakiwa anilipe mim sio mim kumlipa.
 
Huko kwa wenzetu life's different kiongozi. Kupata mtu wa kukupiga mizinga kiasi hicho ni very rare.
Nakuamini Asilimia mia mkuu!! Hawa huku kwetu wakiamka asubuhi hawajui hata pa kwenda wapi....
 
eti wanaume wanadai hatudumu nao kwenye mahusiano maana tunawapiga sana miamala ya mpesa ,tigopesa nk.
acheni visingizio jamani,Mungu anawaona.mbona sisi tunawapenda tu.hela kidogo tu ndo mnachukia jamani? kweli mwanamke nikupende,nikuheshimu,nikithamini,nikujali nikupe tunda kumbe mnatuponda hivo kisa elf 50 kwa week/mwezi .nyie mnakunywa bia ngapi kwa mwezi? zinawapa nini? acheni hizo .hata nikija kuingia kwenye mahusiano rasmi sijui kama nitaweza kukaa bila kupewa vijisenti sijui
Si bora iwe elfu 50 au kilo 1 kwa wiki? Wanawake wa sasa ni laki 5 kwenda juu.

Hao wa laki 1 au elfu 50 ni wanafunzi.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Jamani umenifurshisha sana, kama ulienda ukajionesha uko vizuri angefanyaje zaidi kukuuzia kwa Lk 7. Njoo kwangu nitakupa bureeeeee malipo yako unifikishe tu basi inatosha.
Mhhh
 
Wew nilikufuata Pm ukanichunia, nikaangukia kwenye ID ya mizinga, anataka kuniuzia papuchi kwa lk 7. Wakati siku hiyo ya kwanza analia eti utamuu hajawah kukunwa namna hiyo, nilimzamia chumvini kama dk 30 mtoto akawa hoi kidogo apoteze fahamu, kwa utamu aliopata alitakiwa anilipe mim sio mim kumlipa.
unadhani papuchi ni sh ngapi thamani yake?ambayo haiuzwi kama pale mwananyamala papuchi ambayo inatumika rarely!be generous
 
Haahah hawajiulizi tunawapa vingapi sisi
Hivy vijisent ndio wanalalamikia
M mwanaume w hivy sitak anisogeleee kbisaaaa
 
ha ha ha ha wanawake kuacha kuomba hela jua na wanaume nao wataacha kufukuzia papuchi yaan ziko direct propotional to each other
 
Haahah hawajiulizi tunawapa vingapi sisi
Hivy vijisent ndio wanalalamikia
M mwanaume w hivy sitak anisogeleee kbisaaaa
ahahaa yule kipipa alikuwa anatoa hela au kazi kulea tu kitambi?
 
ili usiombe ,inabidi utafute zako ,inawezekana kutoka kwenye huo utumwa wa kupewa .''Our life is what our thoughts make it''
Sio utumwa point of correction
Mbona sisi tunawapa vyetu for free
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Jamani umenifurshisha sana, kama ulienda ukajionesha uko vizuri angefanyaje zaidi kukuuzia kwa Lk 7. Njoo kwangu nitakupa bureeeeee malipo yako unifikishe tu basi inatosha.
come on, me naitaka iyo chance nilikuwa natafuta bint kama wewe.
 
Wew nilikufuata Pm ukanichunia, nikaangukia kwenye ID ya mizinga, anataka kuniuzia papuchi kwa lk 7. Wakati siku hiyo ya kwanza analia eti utamuu hajawah kukunwa namna hiyo, nilimzamia chumvini kama dk 30 mtoto akawa hoi kidogo apoteze fahamu, kwa utamu aliopata alitakiwa anilipe mim sio mim kumlipa.
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] jamani looh!!
hataree!!
msitutangaze basi mkishatugonga looh!!
jamanii[emoji85] [emoji85] [emoji85]
 
Tatizo ni pale wanawake wanapo ona kuwa eti kwenye relation wao wapo kama kutusaidia, wakati mapenzi ni kitu ambacho wote kwanza tuna ki hitaji, ukisema umenithamini na mimi si nna kuthamini!!? Wakati wa kunipa tunda si wote tunaenjoy!!?
Kwa hiyo wewe kuwa mpenzi wangu si bidhaa kusema ni kununue, na wala si msaada kusema uwe na masharti. Sote ni wapenzi sote tunafurahia penzi.
Hivo tuvumiliane tuu.

*ila mwanaume na wewe sio sasa ndo ubahili kila siku, watakusaidia wenzio, wapenzi wetu wenyewe ndo type hizi, ukiwa nazo toa, usipo kuwa nazo sema ili mvumiliane, kina dada na nyie tukiwa makapuku kuweni waelewa basi khaa!!
Unanikoshaga n comments zako hapo mwisho nimefurah
Kuna wanaume wengine kutoa hata hela ya nauli mpaka akupe umeongea kila aina y sentes
 
Back
Top Bottom