Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 28,122
- 52,866
Eti wanaume wanadai hatudumu nao kwenye mahusiano maana tunawapiga sana miamala ya mpesa ,tigopesa nk. Acheni visingizio jamani, Mungu anawaona. Mbona sisi tunawapenda tu, hela kidogo tu ndo mnachukia jamani?
Kweli mwanamke nikupende, nikuheshimu, nikithamini, nikujali, nikupe tunda halafu unaniponda hivo kisa elf 50 kwa week/mwezi? Nyie mnakunywa bia ngapi kwa mwezi? Zinawapa nini?
Acheni hizo, hata nikija kuingia kwenye mahusiano rasmi sijui kama nitaweza kukaa bila kupewa vijisenti.
Kweli mwanamke nikupende, nikuheshimu, nikithamini, nikujali, nikupe tunda halafu unaniponda hivo kisa elf 50 kwa week/mwezi? Nyie mnakunywa bia ngapi kwa mwezi? Zinawapa nini?
Acheni hizo, hata nikija kuingia kwenye mahusiano rasmi sijui kama nitaweza kukaa bila kupewa vijisenti.