zwenge ndaba
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 2,039
- 3,613
kwani wakati wa kepeana mambo utamu tunasikia wenyewe?Dada tuonee huruma
hawanaga shida na wanajua majukumu yao...[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] ndiomaana nawapenda Wababa na Wababu sitaki shida.
eeh wa kwako ndio usilalamike ukiombwa pesa mnatia aibu!Mungu Wangu....!!
Tatizo ni pale wanawake wanapo ona kuwa eti kwenye relation wao wapo kama kutusaidia, wakati mapenzi ni kitu ambacho wote kwanza tuna ki hitaji, ukisema umenithamini na mimi si nna kuthamini!!? Wakati wa kunipa tunda si wote tunaenjoy!!?
Kwa hiyo wewe kuwa mpenzi wangu si bidhaa kusema ni kununue, na wala si msaada kusema uwe na masharti. Sote ni wapenzi sote tunafurahia penzi.
Hivo tuvumiliane tuu.
*ila mwanaume na wewe sio sasa ndo ubahili kila siku, watakusaidia wenzio, wapenzi wetu wenyewe ndo type hizi, ukiwa nazo toa, usipo kuwa nazo sema ili mvumiliane, kina dada na nyie tukiwa makapuku kuweni waelewa basi khaa!!
umejibiwa[emoji116] [emoji116] hapokwani wakati wa kepeana mambo utamu tunasikia wenyewe?Dada tuonee huruma
Sijui wanaume mkoje, wewe ndio unashida unataka mkutane na binti ukamgede hata bei ya chupi aliovaa hujui bei, na unataka aje na nauli yake, na wewe moyoni unajua kabisa hauna mpango wa kumuoa alafu akikuomba pesa mnachukia , sasa apate pesa wapi ya Kuja kukuhudumia bure bure kila kitu ni gharama, kulala mnataka mkalale guest sio nyumbani kwako.
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] wewe huyoo...Tatizo linakuja pale unapogeuka kuwa matonya Mkuu.
Leo umeomba nimekupa kilo 3 umeenda...kesho tena unataka ile ya Jana ulipeleka wapi unakuta huna majibu ya kujitosheleza. Lazima usemwe.
Pia kitu kingine sio kwamba wanaume wote ni hawatoi pesa tunapenda sana sema wanawake nyie sio watu wazuri kabisa unakuta unampa hela na yeye anaenda kuhonga kimchepuko chake huko.
Kwa upande wangu mpenzi wangu kila siku lazima nimpe 50 elfu ingawa ana kazi yake. Nafanya hivyo kwa sababu ni jukumu langu kama mwanaume kumhudumia mpenzi wangu.
Kwa upande wangu mpenzi wangu kila siku lazima nimpe 50 elfu ingawa ana kazi yake. Nafanya hivyo kwa sababu ni jukumu langu kama mwanaume kumhudumia mpenzi wangu.
Yaani wewe na miss chagga nawazimia kwa misimamo yenu hata kama wapiga mizinga siwazimii, ila nyinyi mna msimamo![emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] ndiomaana nawapenda Wababa na Wababu sitaki shida.
Sijui wanaume mkoje, wewe ndio unashida unataka mkutane na binti ukamgede hata bei ya chupi aliovaa hujui bei, na unataka aje na nauli yake, na wewe moyoni unajua kabisa hauna mpango wa kumuoa alafu akikuomba pesa mnachukia , sasa apate pesa wapi ya Kuja kukuhudumia bure bure kila kitu ni gharama, kulala mnataka mkalale guest sio nyumbani kwako.
Hahahah[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] wewe huyoo...
umemkimbia babu kule...!
Miss natafuta kwenye ubora wake wa kutafuta [emoji85] [emoji85] [emoji23] [emoji23] [emoji23]eti wanaume wanadai hatudumu nao kwenye mahusiano maana tunawapiga sana miamala ya mpesa ,tigopesa nk.
acheni visingizio jamani,Mungu anawaona.mbona sisi tunawapenda tu.hela kidogo tu ndo mnachukia jamani? kweli mwanamke nikupende,nikuheshimu,nikithamini,nikujali nikupe tunda kumbe mnatuponda hivo kisa elf 50 kwa week/mwezi .nyie mnakunywa bia ngapi kwa mwezi? zinawapa nini? acheni hizo .hata nikija kuingia kwenye mahusiano rasmi sijui kama nitaweza kukaa bila kupewa vijisenti sijui
Nampenda mkuu!Unampa elfu 50 kila siku? Kwa mwezi ni 1.5M umemuajiri awe anakupa penzi au?
a guydate aguy with money all mens are not faithfull its better your heart to be broken in dubay than some were in semtema nimeikopy tu mmeamkaje