Habari zenu wanajamii forum,
Leo ngoja niongee na kina dada na tabia zao za ubahili.
Yaani utakuta hata mpenzi wako anakuwa mgumu kukusaidia inapotoke shida fulani lakini wao ni wepesi sana kuomba kusaidiwa sijui hizo hela zenu mnapeleka wapi jamani.
Hii nimeishuhudia hata kwa kaka yangu mke wake ni mgumu sana inapofika mumewe kaishiwa.
Hata utakuta msichana mnapendana sana ila suala la kutoa ni wagumu hawa viumbe aisee yaani yupo radhi akuachie ulipie kodi nyumba,ulipie watoto ada na mahitaji mengine yeye anauchunaa mpaka ukute mmekabwa sana ndio utaona anajitoa tena kiubahili.
Labda niwaulize hela zenu wakina dada huwa mnazipeleka wapi hata kusema baba ni kichwa cha familia muda mwingine jamani wanaume tunachoka sana tuwe tunasaidiana jamani sometimes.
Ni hayo tu, nawasilisha
Hapa sawa, kumbe uelewa wako na wangu ni sawa ktk hili
nafanya kazi na hela yako natakahapa kazi 2 hakuna hela za kutoa fanya kazi
Habari zenu wanajamii forum,
Leo ngoja niongee na kina dada na tabia zao za ubahili.
Yaani utakuta hata mpenzi wako anakuwa mgumu kukusaidia inapotoke shida fulani lakini wao ni wepesi sana kuomba kusaidiwa sijui hizo hela zenu mnapeleka wapi jamani.
Hii nimeishuhudia hata kwa kaka yangu mke wake ni mgumu sana inapofika mumewe kaishiwa.
Hata utakuta msichana mnapendana sana ila suala la kutoa ni wagumu hawa viumbe aisee yaani yupo radhi akuachie ulipie kodi nyumba,ulipie watoto ada na mahitaji mengine yeye anauchunaa mpaka ukute mmekabwa sana ndio utaona anajitoa tena kiubahili.
Labda niwaulize hela zenu wakina dada huwa mnazipeleka wapi hata kusema baba ni kichwa cha familia muda mwingine jamani wanaume tunachoka sana tuwe tunasaidiana jamani sometimes.
Ni hayo tu, nawasilisha
Huyo dada hajakupenda brother.
Kama amekupenda atakuhonga tu bila shida.
Kamuulize yule jamaa aliyeambiwa ahamie kwa bibi kule Mwanza kisa eti jamaa alimtibia huyo mama wakapendana wakaanza mapenzi jamaa akaambiwa ahamie kabisa nyumbani kwa bibie Evelyn Salt njoo utoe ushuhuda hapa manake ile story naona kama ina mizaha mingi sana.
Samahani na mwanaume akianza ku cheat na kuhonga nyumba ndogo mnarudi tena kuainisha matumizi ya "pool" money au inakuwaje?!Tatizo linaanzia kwa wanaume. Mnajikakamua kwamba mna pesa na mtaweza kumtunza. Sasa akibania hela yake usilalamike. Kuna mambo yanatakiwa kuwekewa utaratibu tangu siku ya kwanza. Mojawapo ni kuhusu kipato na matumizi ya familia. Pesa ya baba na mama ni ya familia, inakaa kwenye POOL, kisha mna orodhesha mahitaji yenu kama familia.
Mpendwa anacheat afu utoe tena hela while anazo za kutosha hadi za kuhonga?Samahani na mwanaume akianza ku cheat na kuhonga nyumba ndogo mnarudi tena kuainisha matumizi ya "pool" money au inakuwaje?!
Au ndo unatakiwa kuendelea kumlisha mke mwenzio?
Hehe my kaka, he is still my man ujue, sitopenda pia ndoto zake zikwame na at the same time sitotaka akikwama tu anitilie mie jicho la huruma. Huku kwenye urafiki/ uchumba namkomaza kuwa mwanaume responsible, anayejua kutokwa jasho pasipo kukata tamaa asije akaniletea mabalaa kwenye ndoa kumbe mimi mwenyewe ndo nilimlemaza.
Hahaha sawa leo mjanja wewe. Ntakubamba tuNilikuelewa vizuri, sema nilitaka ufunguke zaidi nifaidi,kama hivi teh teh!!!
Maisha ni kusaidiana..........
Mie kama ninayo huwa natoa
Life is so beautiful If we help each other
Nunua vocha ya 10000 ahaaaa alafu nenda PM unamdondoshea zile namba aweke kwenye simu hiyo ela ili 10000 ambayo angetumia kwa vocha ndo inakuwa kama umempa Heaven on EarthHeaven on earth una akili sana wewe ningekuwa na namba yako hata buku 10 ningekurushia
Nunua vocha ya 10000 ahaaaa alafu nenda PM unamdondoshea zile namba aweke kwenye simu hiyo ela ili 10000 ambayo angetumia kwa vocha ndo inakuwa kama umempa Heaven on Earth
Joking but ngoja aje bidada au nitumie namfahamu anapokaa airtel tusasa vocha gani, mitandao ishakuwa mingi, halotel au