Wakinadada ni wabahili jamani

Wakinadada ni wabahili jamani

Quinton Canosa

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2012
Posts
1,224
Reaction score
1,258


Habari zenu wanajamii forum,

Leo ngoja niongee na kina dada na tabia zao za ubahili.

Yaani utakuta hata mpenzi wako anakuwa mgumu kukusaidia inapotoke shida fulani lakini wao ni wepesi sana kuomba kusaidiwa sijui hizo hela zenu mnapeleka wapi jamani.

Hii nimeishuhudia hata kwa kaka yangu mke wake ni mgumu sana inapofika mumewe kaishiwa.

Hata utakuta msichana mnapendana sana ila suala la kutoa ni wagumu hawa viumbe aisee yaani yupo radhi akuachie ulipie kodi nyumba,ulipie watoto ada na mahitaji mengine yeye anauchunaa mpaka ukute mmekabwa sana ndio utaona anajitoa tena kiubahili
.

Labda niwaulize hela zenu wakina dada huwa mnazipeleka wapi hata kusema baba ni kichwa cha familia muda mwingine jamani wanaume tunachoka sana tuwe tunasaidiana jamani sometimes.

Ni hayo tu, nawasilisha
 
Koh koh koh.... Mwanaume aliwekwa kumtunza mwanamke
 
see young man, be careful and think twice before you choose to use your device
 
Mkuu unapaka rangi upepo..Hii topic ishaletwa humu zaidi ya mara 9999999 lakini wadada wengi hawaelewi.
 
Alichosema mtoa mada ni kweli,kwenye mahusiano ya kimapenzi mara nyingi pesa ya mwanamke ni chungu... Heaven on Earth
 
Last edited by a moderator:
Slugs with no one's name, flying around. Let's see who gets hit. It's finna be interesting.
 
Mi nachokaga kitu kimoja, akiwa peke yake anaishi kwa hela zake ni kibahili balaaa, sasa muoe weeeeee!!! matumizi anafanya kujiachia tu, daaah!!


Tatizo linaanzia kwa wanaume. Mnajikakamua kwamba mna pesa na mtaweza kumtunza. Sasa akibania hela yake usilalamike. Kuna mambo yanatakiwa kuwekewa utaratibu tangu siku ya kwanza. Mojawapo ni kuhusu kipato na matumizi ya familia. Pesa ya baba na mama ni ya familia, inakaa kwenye POOL, kisha mna orodhesha mahitaji yenu kama familia.
 
Sio wote jamani.Mimi siwezi kusubiri mwanaume afanye kila kitu mwenyewe ndani, kwa sababu nampenda vyote vilivo ndani ya uwezo wangu(financially)huwa navitekeleza nisipo fanya ujue kweli sina hela.
Hayo ya ubahili labda kwenye courtship ndo yanakuwepo ila mtu ambae ni nyama katika nyama zangu siwezi kumfanyia ubahili.Letu lazima liwe moja.
 
Mi nachokaga kitu kimoja, akiwa peke yake anaishi kwa hela zake ni kibahili balaaa, sasa muoe weeeeee!!! matumizi anafanya kujiachia tu, daaah!!


Tatizo linaanzia kwa wanaume. Mnajikakamua kwamba mna pesa na mtaweza kumtunza. Sasa akibania hela yake usilalamike. Kuna mambo yanatakiwa kuwekewa utaratibu tangu siku ya kwanza. Mojawapo ni kuhusu kipato na matumizi ya familia. Pesa ya baba na mama ni ya familia, inakaa kwenye POOL, kisha mna orodhesha mahitaji yenu kama familia.
 
Hizi nguvu za kuanzishia thread bora ungetafutia usingizi... sio kwa wanawake wa humu!!!
 
Tatizo linaanzia kwa wanaume. Mnajikakamua kwamba mna pesa na mtaweza kumtunza. Sasa akibania hela yake usilalamike. Kuna mambo yanatakiwa kuwekewa utaratibu tangu siku ya kwanza. Mojawapo ni kuhusu kipato na matumizi ya familia. Pesa ya baba na mama ni ya familia, inakaa kwenye POOL, kisha mna orodhesha mahitaji yenu kama familia.

Mkuu umeolewa?
 
Back
Top Bottom