Wakili Peter Kibatala amuumbua IGP Simon Sirro katika Sakata la kesi ya Freeman Mbowe

Dear Mr. IGP, Esq; Simon Sirro

1. When a matter is in Court, U are no longer the spokesperson in terms of the charges, or the evidence to be adduced in that regard. U, and those subordinate to U, of whom we will cherish the opportunity to cross-examine thoroughly, are just witnesses. The DPP's Office prosecutes, and it ought to be spokes-institution in the matter; if at all such a need is logically and legally necessary when they have notified the Court that investigation is complete and we expect the judicial process to take its course. Mbowe will tell his story, too; do not forget that.

Unasema suala lipo Mahakamani; and yet unaenda kwenye contents in a Press Conference .

Anyways; Thank U for making Urself eligible to be summoned by us.

2. Nimesikia unasema watu wakamuulize Mbowe awaambie ukweli; do U also mean waende wakawaulize wale vijana waliokuwa wanajeshi wa zamani, ambao wanashtakiwa pamoja na Mbowe, namna walivyotuambia sisi Mawakili kwamba waliteswa sana kabla ya kufikishwa Mahakamani? Mmoja wa hao vijana anasema hawezi hata kutembea vyema (ni kama amepata ulemavu) kwa sababu hiyo, na mwingine ametuonesha kile anachosema ni makovu aliyoyapata kutokana na mateso makali wakati wa mahojiano. Did U mean they should also have the opportunity to air their grievances of torture at this moment in time; to say that they were pressurized into implicating Mbowe, something they steadfastly refused to do?

I mean; what is good for the goose, must be good for the gander.

3. I am sure, upon reflection, U will find that Ur Presser was a contradiction in terms, inopportune and very ill-advised; and that the professional thing for U to do was to muster Ur witnesses and bring them to Court, where they will meet us fully prepared.
Kibatala wacha kutapatapa. court haina muda wa kuhangaika na hoja dhaifu kama hiyo, haswa ukizingatia kuwa Mbowe anakabiliwa na kesi nzito ya Ugaidi ambayo nadhani akikutwa na hatia adhabu yake kama sijakosea ni kifungo cha maisha gerezani, ndio maana haina dhamana wala haina ukomo wa upelelezi.hii ngoma ni zito wala sio ya kuleta maigizo na ngojera.
 
Dear Mr. IGP, Esq; Simon Sirro

1. When a matter is in Court, U are no longer the spokesperson in terms of the charges, or the evidence to be adduced in that regard. U, and those subordinate to U, of whom we will cherish the opportunity to cross-examine thoroughly, are just witnesses. The DPP's Office prosecutes, and it ought to be spokes-institution in the matter; if at all such a need is logically and legally necessary when they have notified the Court that investigation is complete and we expect the judicial process to take its course. Mbowe will tell his story, too; do not forget that.

Unasema suala lipo Mahakamani; and yet unaenda kwenye contents in a Press Conference 🤷‍♂️.

Anyways; Thank U for making Urself eligible to be summoned by us.

2. Nimesikia unasema watu wakamuulize Mbowe awaambie ukweli; do U also mean waende wakawaulize wale vijana waliokuwa wanajeshi wa zamani, ambao wanashtakiwa pamoja na Mbowe, namna walivyotuambia sisi Mawakili kwamba waliteswa sana kabla ya kufikishwa Mahakamani? Mmoja wa hao vijana anasema hawezi hata kutembea vyema (ni kama amepata ulemavu) kwa sababu hiyo, na mwingine ametuonesha kile anachosema ni makovu aliyoyapata kutokana na mateso makali wakati wa mahojiano. Did U mean they should also have the opportunity to air their grievances of torture at this moment in time; to say that they were pressurized into implicating Mbowe, something they steadfastly refused to do?

I mean; what is good for the goose, must be good for the gander.

3. I am sure, upon reflection, U will find that Ur Presser was a contradiction in terms, inopportune and very ill-advised; and that the professional thing for U to do was to muster Ur witnesses and bring them to Court, where they will meet us fully prepared.
Sirro anastahili kulaniwa mpaka kizazi chake cha4
 
Siro niliyemjua, alikuwa smart Sana! Nashindwa kujua ninini wataalam na wasomi wetu huwa wanakutana nacho wakisha funga ndoa na CCM. Maana wanageuka kuchekesho na na wa hovyo isivyoelezeka.!
Bashite alishamkata mkia Afande Sirro pale alipommwagia tuhuma lukuki za kula rushwa kwa kuwalinda watuhumiwa wa madawa ya kulevya na Sirro kuwa mpole na kukaa kimya kama kamwagiwa maji baridi!

Na kuhusu tuhuma kwa polisi...mshuhudie Sirro akimtetea polisi aliyemfokea Mbowe kwamba hashindi ambaye licha ya video alidai lazima watu wasikilize utetezi kutoka pande zote mbili eti kabla ya kumhukumu.


Huyu Sirro ana chuki binafsi na Mbowe, sijui ni kwa sababu zipi! Sijui ni wivu au ulimbukeni tu! Sijawahi kumuona IGP limbukeni kama huyu!
 
Afu anamhusisha Yesu Kristo wa Nazareth kwenye ufashisti wao. Najiuliza toka moyoni... kwanini IGP azungumzie imani? Kwamba eti kama anamwani Yesu basi Mbowe aseme ukweli? Why Jesus? Nadhiri inamsuta?

Iko siku Siro atamrudia Mungu ndio siku atajua mamlaka ya dunia haina kibali mbinguni. Unavaa gwanda duniani lakini mbingu haina gwanda
Halafu eti ndiye mtu alitaka kuwa padre!!
Ngoja siku nitamkumbusha alipotoka nikikutana naye pale Makongo - DTV kwenye lodge yake.
 
Dear Mr. IGP, Esq; Simon Sirro

1. When a matter is in Court, U are no longer the spokesperson in terms of the charges, or the evidence to be adduced in that regard. U, and those subordinate to U, of whom we will cherish the opportunity to cross-examine thoroughly, are just witnesses. The DPP's Office prosecutes, and it ought to be spokes-institution in the matter; if at all such a need is logically and legally necessary when they have notified the Court that investigation is complete and we expect the judicial process to take its course. Mbowe will tell his story, too; do not forget that.

Unasema suala lipo Mahakamani; and yet unaenda kwenye contents in a Press Conference .

Anyways; Thank U for making Urself eligible to be summoned by us.

2. Nimesikia unasema watu wakamuulize Mbowe awaambie ukweli; do U also mean waende wakawaulize wale vijana waliokuwa wanajeshi wa zamani, ambao wanashtakiwa pamoja na Mbowe, namna walivyotuambia sisi Mawakili kwamba waliteswa sana kabla ya kufikishwa Mahakamani? Mmoja wa hao vijana anasema hawezi hata kutembea vyema (ni kama amepata ulemavu) kwa sababu hiyo, na mwingine ametuonesha kile anachosema ni makovu aliyoyapata kutokana na mateso makali wakati wa mahojiano. Did U mean they should also have the opportunity to air their grievances of torture at this moment in time; to say that they were pressurized into implicating Mbowe, something they steadfastly refused to do?

I mean; what is good for the goose, must be good for the gander.

3. I am sure, upon reflection, U will find that Ur Presser was a contradiction in terms, inopportune and very ill-advised; and that the professional thing for U to do was to muster Ur witnesses and bring them to Court, where they will meet us fully prepared.
Maelezo ya Sirro ukiyatafsiri tu unajua hakuna kesi. Kulikuwa na sababu gani Sirro kwenda ahead na kutaka kuiaminisha jamii ya watanzania kuwa Mbowe is guilty? Si ndio kazi ya mahakama hii, kusikiliza pande mbili za kesi mshtaki na mshtakiwa na kuamua haki iko wapi? Hivi ni kweli Sirro hajui hata uwe na ushahidi wa wazi kiasi gani ni lazima mahakama isikilize pande zote mbili na kutoa maamuzi. Si ilikuwa busara angesema tuiachie mahakama itafanya kazi yake sisi tutawakilisha ushahidi mahakamani? Pengine alisema kwa sababu watu wengi wanasikika ku voice out upande wa mbowe kwamba anaonewa na sio gaidi, lakini kwa nafasi yake yeye hakupaswa naye kuingia kulisemea hili kwa namna alivyofanya.
 
IGP hakuonyesha weledi katika hili,lakini kibatala kama msomi mbobezi sioni kama kulikuwa na haja ya kutoka na topic hii,ambayo hata watoto wa sekondari hawawezi poteza muda kuijadili.

Yaani yeye mwenzetu ndio anagundua leo kwamba polisi hawasimamiii miiko ya kazi kitaalam,no wonder huwa wanatumia nguvu kubwa kuwauliza mswali mahakamani,watu wanacheka weeew,halafu mwisho hakimu anatoa hukumu,ile ile kwa mteja wake.
 
Kama yule wa RPC wa Abdul Nondo.

Akafanya Preess na Nondo yupo pembeni kuwa alijiteka mwenyewe. Mahakama ikamuachia huru, RPC sijamsikia tena.

Mambo ya wakuu wa Polisi kufanya press za kuwahukumu watuhumiwa sijui zimetoka wap
Hadi mwigulu mishipa ilimtoka akasisitiza nondo amejiteka eti kwasababu mkoba wake umekutwa kabeba perfume 🤣
 
Dear Mr. IGP, Esq; Simon Sirro

1. When a matter is in Court, U are no longer the spokesperson in terms of the charges, or the evidence to be adduced in that regard. U, and those subordinate to U, of whom we will cherish the opportunity to cross-examine thoroughly, are just witnesses. The DPP's Office prosecutes, and it ought to be spokes-institution in the matter; if at all such a need is logically and legally necessary when they have notified the Court that investigation is complete and we expect the judicial process to take its course. Mbowe will tell his story, too; do not forget that.

Unasema suala lipo Mahakamani; and yet unaenda kwenye contents in a Press Conference 🤷‍♂️.

Anyways; Thank U for making Urself eligible to be summoned by us.

2. Nimesikia unasema watu wakamuulize Mbowe awaambie ukweli; do U also mean waende wakawaulize wale vijana waliokuwa wanajeshi wa zamani, ambao wanashtakiwa pamoja na Mbowe, namna walivyotuambia sisi Mawakili kwamba waliteswa sana kabla ya kufikishwa Mahakamani? Mmoja wa hao vijana anasema hawezi hata kutembea vyema (ni kama amepata ulemavu) kwa sababu hiyo, na mwingine ametuonesha kile anachosema ni makovu aliyoyapata kutokana na mateso makali wakati wa mahojiano. Did U mean they should also have the opportunity to air their grievances of torture at this moment in time; to say that they were pressurized into implicating Mbowe, something they steadfastly refused to do?

I mean; what is good for the goose, must be good for the gander.

3. I am sure, upon reflection, U will find that Ur Presser was a contradiction in terms, inopportune and very ill-advised; and that the professional thing for U to do was to muster Ur witnesses and bring them to Court, where they will meet us fully prepared.
Well said Adv.Kibatala.The IGP seem doomed by his aggression.
 
Hawa ndio mawakili walioenda shule na wakaelimika, na ndio wanaopaswa kuitwa "wakili msomi".

Polisi mkuu anaizungumzia kesi ambayo ipo mahakamani na yeye ndiye shahidi!!
Only in Tanzania!
Pia Hawa ndo wanatakiwa wapitie rasmu ya walioba ili kufanya maboresho ya upatikanaji wa katiba mpya siyo wanaccm wanatetea matumbo yao
 
Dear Mr. IGP, Esq; Simon Sirro

1. When a matter is in Court, U are no longer the spokesperson in terms of the charges, or the evidence to be adduced in that regard. U, and those subordinate to U, of whom we will cherish the opportunity to cross-examine thoroughly, are just witnesses. The DPP's Office prosecutes, and it ought to be spokes-institution in the matter; if at all such a need is logically and legally necessary when they have notified the Court that investigation is complete and we expect the judicial process to take its course. Mbowe will tell his story, too; do not forget that.

Unasema suala lipo Mahakamani; and yet unaenda kwenye contents in a Press Conference .

Anyways; Thank U for making Urself eligible to be summoned by us.

2. Nimesikia unasema watu wakamuulize Mbowe awaambie ukweli; do U also mean waende wakawaulize wale vijana waliokuwa wanajeshi wa zamani, ambao wanashtakiwa pamoja na Mbowe, namna walivyotuambia sisi Mawakili kwamba waliteswa sana kabla ya kufikishwa Mahakamani? Mmoja wa hao vijana anasema hawezi hata kutembea vyema (ni kama amepata ulemavu) kwa sababu hiyo, na mwingine ametuonesha kile anachosema ni makovu aliyoyapata kutokana na mateso makali wakati wa mahojiano. Did U mean they should also have the opportunity to air their grievances of torture at this moment in time; to say that they were pressurized into implicating Mbowe, something they steadfastly refused to do?

I mean; what is good for the goose, must be good for the gander.

3. I am sure, upon reflection, U will find that Ur Presser was a contradiction in terms, inopportune and very ill-advised; and that the professional thing for U to do was to muster Ur witnesses and bring them to Court, where they will meet us fully prepared.
Hiyo lugha siro haelewi kitu,plus huyo macho kumchuzi nae haelewi kitu kazi kurembua tu,alifikiria mcherengwa ndio atambeba 2025
 
Back
Top Bottom