Wakili Mwabukusi ni pandikizi?

Wakili Mwabukusi ni pandikizi?

A
Kabla ya kukimbilia kwenye hukumu, ni vyema mngezichambua na hoja zake kwanza ili kufahamu kama zina ukweli ndani yake, au la.

Maana hata na nyinyi wapinzani wa nchini pia siyo malaika! Kutokana na kuwa na mapungufu yenu mengi tu, kiasi cha baadhi yenu pia kuhisiwa kuwa mamluki na mapandikizi ya CCM.

Kwa mfano mimi kama mimi mpaka kesho naamini mpinzani wa kweli kuwahi kutokea ndani ya nchi hii; alikuwa ni Mchungaji Christopher Mtikila tu.
Siku zimepita lakini naungana nawe katika hili, nakumbuka hoja ya huyu mzee kuhusu mgombea binafsi ingetuondolea maslahi ya magenge kwa majina ya vyama.
 
Back
Top Bottom