Una tatizo la ujuaji usiokuwa na maana.
Huamini kama mtoto wa mkulima anaweza kuunga unga mwishowe akazifikia ndoto zake, umekariri kuwa mwanasheria lazima fulani atoke shule moja mpaka nyingine atakapomaliza masomo yake, bila kukatisha masomo husika kwa sababu yoyote.
Ajabu unawalaumu wengine kuwa na ubongo finyu, usijue wewe ndie mwenye ubongo finyu usiyejua kufikiri changamoto mbalimbali zinazoweza kumpata mwanafunzi wa sheria, kabla hajamaliza masomo yake, zinazoweza mfanya akatishe masomo husika, hasa kwa kuzingatia hali ya kiuchumi kwa familia nyingi.
- Ile IGA mahakama Mbeya ilikiri ina matatizo, judge kwa uoga wake badala ya kutoa order akaamua kurudisha mpira bungeni wakaifanyie mabadiliko, sasa wewe mjuaji unaweza kutuambia hapa, iweje IGA unayoona wewe haikuwa na tatizo mahakama ya Mbeya ikaiona ina tatizo mpaka kulitaka bunge kuifanyia marekebisho?
Sent from my SM-G900H using
JamiiForums mobile app