Wakili Mwabukusi ni pandikizi?

Mzito Kabwela

JF-Expert Member
Nov 28, 2009
18,857
7,618
Nimeuliza swali hili kufuatia series of events za MAPANDIKIZI mengi tuliyowahi kukutana nayo.
MAPANDIKIZI ni wale watu wanaokuzwa na wenye madaraka kwa kujibrand kama vile ni watetezi wa haki, huku wakifanya yote yanayoonekana kutetea haki za wananchi lakini wakilindwa na watawala katika namna ambayo mwenye macho makali tu ndiye anayeweza kutambua.

MAPANDIKIZI yanaweza kuwa mstari wa mbele kuitisha maandamano, lakini maandamano yasifanyike kwa kuwa script inaandaliwa na 'WAZEE' kuwa 'tutaizingira nyumba yako, tutaipiga mabomu ya rasharasha' halafu maandamano hayafanyiki. Wasio na macho makali wataona muitisha maandamano ni 'mtetezi' kumbe ni SCRIPT ya WAZEE.

PANDIKIZI linafunguliwa makesi yasiyoisha na yasiyopata hukumu. PANDIKIZI litafungua kesi against serikali y chama TWAWALA na kesi hizo mwishowe zinaisha kisanii na zinakosa mwendelezo.

Baada ya yote hayo kutokea PANDIKIZI linapata wafuasi na taratibu linaanza vita against wapigania haki wa ukweli.
PANDIKIZI halitapigwa risasi, halitafungwa, halitafilisiwa, halitakimbia nchi, pandikizi hata familia yake haitabughudhiwa...ila kutakuwa na script ambayo iko very articulated itakayoonyesha confrontation baina yake na WATAWALA.

Mfano mmojawapo wa MAPANDIKIZI ni Zitto Kabwe.

Mwabukusi ameangukia kwenye sifa hizi zote. Mkataba wa bandari ambao ulianza kupigiwa kelele na Chadema, Mwabukusi aliukimbilia haraka haraka, akauhodhi na akijua wazi mahakama itaumaliza akakimbilia mahakamani ili hatimaye a- waterdown harakati za Chadema kwenye kupinga bandari ambapo Chadema waliona mahakamani ni kupoteza muda watoe elimu ya uraia kwa wananchi. Mwabukusi akauhodhi, vikaibuka 'vita' kati yake na serikali vita ambayo mimi naiona ni usanii, wakatishia kumfuta uwakili, kesi ikatengenezwa na hatima yake hakuna kinachoendelea.

Katikati ya hayo Mwabukusi ameanza kuonyesha rangi zake halisi sasa. Kumponda MBOWE. Yeye kila kukicha kwenye Clubhouse na kwenye Twitter Spaces yeye ni kuuponda upinzani. Na timing yake ni hii hii kuelekea uchaguzi. Kwa jinsi anavyoongea na kuandika huoni akianika kwa wingi na kwa uzito wake mabaya ya CCM. Yeye ni kuuponda upinzani na hasa Mbowe. Akiamka anatweet maudhui ya wananchi kutouamini upinzani eti akina Mbowe wanatafuta maslahi yao badala ya maslahi ya wananchi.
Mwabukusi huyu ambaye hajawahi kufilisiwa, hajawahi kuwa na kesi hata moja mahakamani, familia yake haijawahi kusumbuliwa, rumande yenyewe alipelekwa tu katika yale ninayoyaona ni mwendelezo wa kumtengeneza aonekane ni mpambanaji, hajawahi kupata msukosuko wowote unaotokana na kutetea watu zaidi ya 'misukosuko' iliyokuwa scripted kwa malengo ya haya anayoyafanya sasa, eti ananyanyua mdomo kumtangaza Mbowe na Chadema sio watetezi wa watu bali yeye ndiye mtetezi.
Na anafanya haya kwa nguvu kubwa kipindi hiki kuelekea Uchaguzi.

Je Mwabukusi sio PANDIKIZI? Karibuni kwa mjadala
 
Kabla ya kukimbilia kwenye hukumu, ni vyema mngezichambua na hoja zake kwanza ili kufahamu kama zina ukweli ndani yake, au la.

Maana hata na nyinyi wapinzani wa nchini pia siyo malaika! Kutokana na kuwa na mapungufu yenu mengi tu, kiasi cha baadhi yenu pia kuhisiwa kuwa mamluki na mapandikizi ya CCM.

Kwa mfano mimi kama mimi mpaka kesho naamini mpinzani wa kweli kuwahi kutokea ndani ya nchi hii; alikuwa ni Mchungaji Christopher Mtikila tu.
 
Nimeuliza swali hili kufuatia series of events za MAPANDIKIZI mengi tuliyowahi kukutana nayo.
MAPANDIKIZI ni wale watu wanaokuzwa na wenye madaraka kwa kujibrand kama vile ni watetezi wa haki, huku wakifanya yote yanayoonekana kutetea haki za wananchi lakini wakilindwa na watawala katika namna ambayo mwenye macho makali tu ndiye anayeweza kutambua.

MAPANDIKIZI yanaweza kuwa mstari wa mbele kuitisha maandamano, lakini maandamano yasifanyike kwa kuwa script inaandaliwa na 'WAZEE' kuwa 'tutaizingira nyumba yako, tutaipiga mabomu ya rasharasha' halafu maandamano hayafanyiki. Wasio na macho makali wataona muitisha maandamano ni 'mtetezi' kumbe ni SCRIPT ya WAZEE.

PANDIKIZI linafunguliwa makesi yasiyoisha na yasiyopata hukumu. PANDIKIZI litafungua kesi against serikali y chama TWAWALA na kesi hizo mwishowe zinaisha kisanii na zinakosa mwendelezo.

Baada ya yote hayo kutokea PANDIKIZI linapata wafuasi na taratibu linaanza vita against wapigania haki wa ukweli.
PANDIKIZI halitapigwa risasi, halitafungwa, halitafilisiwa, halitakimbia nchi, pandikizi hata familia yake haitabughudhiwa...ila kutakuwa na script ambayo iko very articulated itakayoonyesha confrontation baina yake na WATAWALA.

Mwabukusi ameangukia kwenye sifa hizi zote. Mkataba wa bandari ambao ulianza kupigiwa kelele na Chadema, Mwabukusi aliukimbilia haraka haraka, akauhodhi na akijua wazi mahakama itaumaliza akakimbilia mahakamani ili hatimaye a- waterdown harakati za Chadema kwenye kupinga bandari ambapo Chadema waliona mahakamani ni kupoteza muda watoe elimu ya uraia kwa wananchi. Mwabukusi akauhodhi, vikaibuka 'vita' kati yake na serikali vita ambayo mimi naiona ni usanii, wakatishia kumfuta uwakili, kesi ikatengenezwa na hatima yake hakuna kinachoendelea.

Katikati ya hayo Mwabukusi ameanza kuonyesha rangi zake halisi sasa. Kumponda MBOWE. Yeye kila kukicha kwenye Clubhouse na kwenye Twitter Spaces yeye ni kuuponda upinzani. Na timing yake ni hii hii kuelekea uchaguzi. Kwa jinsi anavyoongea na kuandika huoni akianika kwa wingi na kwa uzito wake mabaya ya CCM. Yeye ni kuuponda upinzani na hasa Mbowe. Akiamka anatweet maudhui ya wananchi kutouamini upinzani eti akina Mbowe wanatafuta maslahi yao badala ya maslahi ya wananchi.
Mwabukusi huyu ambaye hajawahi kufilisiwa, hajawahi kuwa na kesi hata moja mahakamani, familia yake haijawahi kusumbuliwa, rumande yenyewe alipelekwa tu katika yale ninayoyaona ni mwendelezo wa kumtengeneza aonekane ni mpambanaji, hajawahi kupata msukosuko wowote unaotokana na kutetea watu zaidi ya 'misukosuko' iliyokuwa scripted kwa malengo ya haya anayoyafanya sasa, eti ananyanyua mdomo kumtangaza Mbowe na Chadema sio watetezi wa watu bali yeye ndiye mtetezi.
Na anafanya haya kwa nguvu kubwa kipindi hiki kuelekea Uchaguzi.

Je Mwabukusi sio PANDIKIZI? Karibuni kwa mjadala
Mwabukusi sio pandikizi ila ni mkweli kabisa. Na hata, mm nauona huo ukweli wa Advocate Mwabukusi. Kama huna uwezo mzuri wa kufikiria hauwezi kuuona huo ukweli. Vyama vya siasa hapa Tanzania vinajua, ukweli kabisa kuwa, haviwez kuiondoa CCM madarakani. Kwa sababu, katiba ya Tanzania hairuhusu hivyo.Kwa hiyo ambacho wameamua ni kijifanya wanawatetea, watanzania ili angalau wapate ruzuku wale wafulai. Wapate mkate kidogo wa ubunge lakin sio kuiondoa CCM madarakani. Na juzi wameamua kujifanya kuna maridhiano, wamepewa mabilion ya mapesa, ndio maana Mbowe ametepeta kabisa. Mwabukusi anataka, mapambano ya kweli ya katiba mpya ili kuiondoa kabisa CCM.
 
Umekosea ulipoandika Adv. Mwabukusi alikimbilia issue ya mkataba wa bandari iliyoanzishwa na Chadema akaamua kujimilikisha..

Kumbe Tanzania hii wapo watu/kikundi cha watu chenye hati miliki ya kupigania rasilimali za taifa, na wala sio watanzania wote?

Muache Adv. Mwabukusi azungumze kile anachoona hakipo sawa, na haijalishi anakiona upande gani, iwe upinzani au CCM, kama kote anaziona kasoro ni haki yake kuzisema bila kuficha chochote.

Kuwa mpinzani, hakukuzuii kuwasema wapinzani kama utaiona kasoro kwa upande wao, yeyote ana haki ya kusema na kusemwa ilimradi anashikilia ofisi ya umma.

Kama yupo asiyetaka kusemwa vyema aache ofisi aliyopo aende nyumbani kulea watoto na wajukuu, but usimfundishe Adv. Mwabukusi unafiki afiche mabaya atakayoyaona upinzani, jicho lake liwe CCM kila siku!.



Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Fala mmoja tu, toka lini konda akaunga unga hadi kuwa mwanasheria.

Ana audience yake ya ku-support upuuzi wake na kuwalia hela. zake.

Shida kwa taifa inakuja kwa mapoyoyo kama huyu wasioelewa mantiki ya IGA, halafu mnwapa majukwaa ya kupotosha na kuwapa muda kuchezea court hours.

Sidhani kama mnaelewa ni kwa kiasi mnavyo ji expose uelewa wenye ulivyo flinyu kwenye contract law.

Tanzania aiwezi shinda kesi ya mikataba kwenye mahakama za usuluhishi uelewa wa maswala ya sheria kwenye hiyo nchi ni mdogo sana.

Ndio ukweli wenyewe
 
Fala mmoja tu, toka lini konda akaunga unga hadi kuwa mwanasheria.

Ana audience yake ya ku-support upuuzi wake na kuwalia hela. zake.

Shida kwa taifa inakuja kwa mapoyoyo kama huyu wasioelewa mantiki ya IGA, halafu mnwapa majukwaa ya kupotosha na kuwapa muda kuchezea court hours.

Sidhani kama mnaelewa ni kwa kiasi mnavyo ji expose uelewa wenye ulivyo flinyu kwenye contract law.

Tanzania aiwezi shinda kesi ya mikataba kwenye mahakama za usuluhishi uelewa wa maswala ya sheria kwenye hiyo nchi ni mdogo sana.

Ndio ukweli wenyewe
Una tatizo la ujuaji usiokuwa na maana.

Huamini kama mtoto wa mkulima anaweza kuunga unga mwishowe akazifikia ndoto zake, umekariri kuwa mwanasheria lazima fulani atoke shule moja mpaka nyingine atakapomaliza masomo yake, bila kukatisha masomo husika kwa sababu yoyote.

Ajabu unawalaumu wengine kuwa na ubongo finyu, usijue wewe ndie mwenye ubongo finyu usiyejua kufikiri changamoto mbalimbali zinazoweza kumpata mwanafunzi wa sheria, kabla hajamaliza masomo yake, zinazoweza mfanya akatishe masomo husika, hasa kwa kuzingatia hali ya kiuchumi kwa familia nyingi.

- Ile IGA mahakama Mbeya ilikiri ina matatizo, judge kwa uoga wake badala ya kutoa order akaamua kurudisha mpira bungeni wakaifanyie mabadiliko, sasa wewe mjuaji unaweza kutuambia hapa, iweje IGA unayoona wewe haikuwa na tatizo mahakama ya Mbeya ikaiona ina tatizo mpaka kulitaka bunge kuifanyia marekebisho?

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Maoni binafsi[✓]
Consipiracy theory[✓]
Spinning[✓]....

Nontheless, ukweli kuhusu haya chini👇
Mwabukusi ameangukia kwenye sifa hizi zote. Mkataba wa bandari ambao ulianza kupigiwa kelele na Chadema, Mwabukusi aliukimbilia haraka haraka, akauhodhi na akijua wazi mahakama itaumaliza akakimbilia mahakamani ili hatimaye a- waterdown harakati za Chadema kwenye kupinga bandari
...the reverse is the truth. CHADEMA ndio walioparamia na kupora sakata la Bandari kama muunganisho wa kampeni yao ya 255 ambayo lilikuwa inabuma taratibu.

Nafikiri swali lakuulizwa hapa liwe Mbowe ni pandikizi?
fb_img_1680258242993-jpg.2572153
 
Nimeuliza swali hili kufuatia series of events za MAPANDIKIZI mengi tuliyowahi kukutana nayo.
MAPANDIKIZI ni wale watu wanaokuzwa na wenye madaraka kwa kujibrand kama vile ni watetezi wa haki, huku wakifanya yote yanayoonekana kutetea haki za wananchi lakini wakilindwa na watawala katika namna ambayo mwenye macho makali tu ndiye anayeweza kutambua.

MAPANDIKIZI yanaweza kuwa mstari wa mbele kuitisha maandamano, lakini maandamano yasifanyike kwa kuwa script inaandaliwa na 'WAZEE' kuwa 'tutaizingira nyumba yako, tutaipiga mabomu ya rasharasha' halafu maandamano hayafanyiki. Wasio na macho makali wataona muitisha maandamano ni 'mtetezi' kumbe ni SCRIPT ya WAZEE.

PANDIKIZI linafunguliwa makesi yasiyoisha na yasiyopata hukumu. PANDIKIZI litafungua kesi against serikali y chama TWAWALA na kesi hizo mwishowe zinaisha kisanii na zinakosa mwendelezo.

Baada ya yote hayo kutokea PANDIKIZI linapata wafuasi na taratibu linaanza vita against wapigania haki wa ukweli.
PANDIKIZI halitapigwa risasi, halitafungwa, halitafilisiwa, halitakimbia nchi, pandikizi hata familia yake haitabughudhiwa...ila kutakuwa na script ambayo iko very articulated itakayoonyesha confrontation baina yake na WATAWALA.

Mfano mmojawapo wa MAPANDIKIZI ni Zitto Kabwe.

Mwabukusi ameangukia kwenye sifa hizi zote. Mkataba wa bandari ambao ulianza kupigiwa kelele na Chadema, Mwabukusi aliukimbilia haraka haraka, akauhodhi na akijua wazi mahakama itaumaliza akakimbilia mahakamani ili hatimaye a- waterdown harakati za Chadema kwenye kupinga bandari ambapo Chadema waliona mahakamani ni kupoteza muda watoe elimu ya uraia kwa wananchi. Mwabukusi akauhodhi, vikaibuka 'vita' kati yake na serikali vita ambayo mimi naiona ni usanii, wakatishia kumfuta uwakili, kesi ikatengenezwa na hatima yake hakuna kinachoendelea.

Katikati ya hayo Mwabukusi ameanza kuonyesha rangi zake halisi sasa. Kumponda MBOWE. Yeye kila kukicha kwenye Clubhouse na kwenye Twitter Spaces yeye ni kuuponda upinzani. Na timing yake ni hii hii kuelekea uchaguzi. Kwa jinsi anavyoongea na kuandika huoni akianika kwa wingi na kwa uzito wake mabaya ya CCM. Yeye ni kuuponda upinzani na hasa Mbowe. Akiamka anatweet maudhui ya wananchi kutouamini upinzani eti akina Mbowe wanatafuta maslahi yao badala ya maslahi ya wananchi.
Mwabukusi huyu ambaye hajawahi kufilisiwa, hajawahi kuwa na kesi hata moja mahakamani, familia yake haijawahi kusumbuliwa, rumande yenyewe alipelekwa tu katika yale ninayoyaona ni mwendelezo wa kumtengeneza aonekane ni mpambanaji, hajawahi kupata msukosuko wowote unaotokana na kutetea watu zaidi ya 'misukosuko' iliyokuwa scripted kwa malengo ya haya anayoyafanya sasa, eti ananyanyua mdomo kumtangaza Mbowe na Chadema sio watetezi wa watu bali yeye ndiye mtetezi.
Na anafanya haya kwa nguvu kubwa kipindi hiki kuelekea Uchaguzi.

Je Mwabukusi sio PANDIKIZI? Karibuni kwa mjadala
Ninachojuwa ni kwamba MWABUKUSI alipewa Tsh 400 Millioni na wenye masilahi na TICTS ili aipinge DP WORLD isiingie mkataba na Tanzania. Ndipo kajifanya mzalendo wa kutaka Tanganyika na Katiba Mpya.

Akaweza kuungana na Dr Slaa na Mdude_Nyagali ili kuipa presha Serikali.

Niliingia kwenye page yake ya Twitter nikaandika hii taarifa, akani BLOCK immediately
 
Ninachojuwa ni kwamba MWABUKUSI alipewa Tsh 400 Millioni na wenye masilahi na TICTS ili aipinge DP WORLD isiingie mkataba na Tanzania. Ndipo kajifanya mzalendo wa kutaka Tanganyika na Katiba Mpya.

Akaweza kuungana na Dr Slaa na Mdude_Nyagali ili kuipa presha Serikali.

Niliingia kwenye page yake ya Twitter nikaandika hii taarifa, akani BLOCK immediately
Kuingia kwenye page yake ya twitter na kuandika hiki ulichoandika hapa, mpaka yeye kuamua kuku block immediately kuna maana nyingi.

Kubwa kabisa naamini itakuwa aliona umeandika ujinga, kama unajiona hukumuandikia ujinga, hebu tuwekee hapa ushahidi wako unaoonesha Adv. Mwabukusi alipokea kiasi hicho cha pesa toka kwa hao uliowataja.

Vinginevyo unastahili kuwa blocked hata hapa JF, hili sio jukwaa la kupiga ramli chonganishi ili kuwachafua watu wanaokemea uozo kwenye serikali yetu, bila kuwa na ushahidi wowote.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Kuingia kwenye page yake ya twitter na kuandika hiki ulichoandika hapa mpaka kuamua kuku block immediately kuna maana nyingi.

Kubwa kabisa itakuwa aliona umeandika ujinga, kama unajiona hukumuandikia ujinga, hebu tuwekee hapa ushahidi wako unaoonesha Adv. Mwabukusi alipokea kiasi hicho cha pesa toka kwa hao uliowataja.

Vinginevyo unastahili kuwa blocked hata hapa JF, hili sio jukwaa la kupiga ramli chonganishi.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Waambie JF wani BLOCK basi!! Yeye alipaswa anijibu kwenye page yake nimtolee ushahidi, ajabu kwa mnayemwita "Wakili" akasahau misingi ya sheria ya right to be heard akaniondolea haki yangu ya kusikilizwa.

Kwangu ni USHAHIDI tosha kuwa Mwabukusi alipokea fedha toka kwa "MABWANA" zake ili kuipinga serikali
 
Back
Top Bottom