mushora
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 330
- 798
Kwani mnahitaji kushirikiana na mabeberu?Sasa ukienda huko duniani kushawishi waache kushirikiana na nchi unakomoa serikali?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani mnahitaji kushirikiana na mabeberu?Sasa ukienda huko duniani kushawishi waache kushirikiana na nchi unakomoa serikali?
Sent using Jamii Forums mobile app
Jaji Lubuva bana hilo kabila la warangi ni wanaa sana kina Nkamia!Serikali ya Jiwe imechagulia na Tume Ya Uchaguzi sio wananchi.
Ndugu mleta mada Tafadhali badilisha jina unalotumia. Uhilitendei haki hilo jina, habari zako zinapendelea upande mmoja.
Ndugu mleta mada Tafadhali badilisha jina unalotumia. Uhilitendei haki hilo jina, habari zako zinapendelea upande mmoja.
Afadhali Ungejiita MWANAHABARI MPINZANI
Sent using Jamii Forums mobile app
Huwezi kulipenda Taifa lako bila kuipenda serikali yako,sababu Taifa ndio linakuwa limeichagua serikali iliyoko madarakani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna tofauti kubwa kati ya nchi na serikali. Hivi ni vitu viwili tofauti. Serikal ni governing body tu lakini si nchiSasa ukienda huko duniani kushawishi waache kushirikiana na nchi unakomoa serikali?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kesi kibao tu. Ni moja ya mawakili famous sana hapa nchini. Sababu sikuzotw huwez kupata jina kwenye kazi ya uwakili bila ushinda kesi kadhaa.Hivi huyo wakili amesha simamiA case gani akashinda?
Sasa ukienda huko duniani kushawishi waache kushirikiana na nchi unakomoa serikali?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanashawishi waache kushirikiana na serikali siyo nchi, uelewa wako wa kutofautisha mambo ni mdogo.Sasa ukienda huko duniani kushawishi waache kushirikiana na nchi unakomoa serikali?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kesi kibao tu. Ni moja ya mawakili famous sana hapa nchini. Sababu sikuzotw huwez kupata jina kwenye kazi ya uwakili bila ushinda kesi kadhaa.
Kuipenda nchi yako hakuna MJADALA.... By the way, tuna wimbo unaoimbwa,... TANZANIA TANZANIA NAKUPENDA KWA MOYO WOTE...Huwezi kulipenda Taifa lako bila kuipenda serikali yako,sababu Taifa ndio linakuwa limeichagua serikali iliyoko madarakani.
Sent using Jamii Forums mobile app