Mtu ambaye ni mzalendo ni yule anayeipenda Nchi yake na sio serikali yake! Wakoloni walikuwa wanaserikali ulitaka wapendwe? Makaburu wa South Africa walikuwa wanaserikali ulitaka wapendwe, Mobutu, Idd Amin, Hitler wote walikuwa na serikali ulitaka wapendwe ?
Akili za form two hizi...kwani nchi serikali za nchi mbili zikitofautiana nchi zitaelewanaWanashawishi waache kushirikiana na serikali siyo nchi, uelewa wako wa kutofautisha mambo ni mdogo.
Kushirikiana au kujikomba kupewa misaada? Na nchi inayojitosheleza kwanini tuhofie au kuuhitaji uhusiano na mabeberu?Sasa ukienda huko duniani kushawishi waache kushirikiana na nchi unakomoa serikali?
Sent using Jamii Forums mobile app
Huwezi kulipenda Taifa lako bila kuipenda serikali yako,sababu Taifa ndio linakuwa limeichagua serikali iliyoko madarakani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huwezi kulipenda Taifa lako bila kuipenda serikali yako,sababu Taifa ndio linakuwa limeichagua serikali iliyoko madarakani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Serikali ya Jiwe imechagulia na Tume Ya Uchaguzi sio wananchi.
Hivi huyo wakili amesha simamiA case gani akashinda?
Rudia kusoma uone upuuuzi wakoHuwezi kulipenda Taifa lako bila kuipenda serikali yako,sababu Taifa ndio linakuwa limeichagua serikali iliyoko madarakani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtu ambaye ni mzalendo ni yule anayeipenda Nchi yake na sio serikali yake! Wakoloni walikuwa wanaserikali ulitaka wapendwe? Makaburu wa South Africa walikuwa wanaserikali ulitaka wapendwe, Mobutu, Idd Amin, Hitler wote walikuwa na serikali ulitaka wapendwe ?
Taifa ni nchi?Serikali ni nchi?Kinachokosolewa ni Serikali,je,wewe ndiyo mtetezi/msemaji wa Serikali?Huwezi kulipenda Taifa lako bila kuipenda serikali yako,sababu Taifa ndio linakuwa limeichagua serikali iliyoko madarakani.
Sent using Jamii Forums mobile app