Wakili Godfrey Wasonga Jitafakari

Wakili Godfrey Wasonga Jitafakari

Kweli hatuna mawakili Tanzania bali tuna wachumia tumbo, mnamchaguaje mtu ambaye hawezi hata kujenga hoja???? Yaani mihemuko ndiyo mnadhani itawapeleka huko mnakodhani??? Shame on hawa mawakili.
Mawakili sio BAKWATA wala CWT
 
Mawakili ni miongoni mwa jamii ya wasomi wa Tz ambao hawataki kabisa kasumba ya ccm na wasonga no ficho la ccm magufuli hivyo ilikua ni lazima mwenye mbwa apewe ujumbe ulio clear kabisa kwamba huo uchwara wake abaki nao hukohuko
 
Kweli hatuna mawakili Tanzania bali tuna wachumia tumbo, mnamchaguaje mtu ambaye hawezi hata kujenga hoja???? Yaani mihemuko ndiyo mnadhani itawapeleka huko mnakodhani??? Shame on hawa mawakili.
Huna akili mwanamke..
Umeshazoea wizi wa kura..
Ulitaka nani ashinde katika hao wagombea wa4??
Yupi kwa akili yako fupi ana uwezo wa kujenga hoja hapo?
Ulifikiri msimamizi ni Kailima au yule DED muhuni wa Kinondoni?
Shame on u.
 
Kwenye kugombea kuna kushinda na kushindwa hio ndo demokrasia mbona kuna vyama kila uchaguz mkuu vinapata kura ndogo lakin havijitafakari.
Ni ujinga kulingnisha scale ya

vyama na mtu mmoja mmoja .
 
Halafu akishafanya self assessment ajiue?
Anyway, huwa sitaki kujibizana na Lumumba teams, but let me break the norm, self assessment leads, for a sensible man , to reformation, a way to perfection!
 
Godfrey wasonga WA dodoma namkumbuka Sana. Kuna mzee WA kutoka Uganda alijifanya Anauza madini nikawa nimepata wanunuzi WA Italy. Mzee akasema tuende dodoma kusaini mkataba kwa wakili wake wasonga kabla biashara haijaanza,mkataba akaandika wasonga tukaenda dodoma kusaini na mzee tukamgaramia usafiri.Tukasaini mkataba wasonga akata alipwe asilimia Fulani ya garama ya mkataba tukagoma mpaka tuuziwe Mali na iwe ya ukweli.mzee akasisitiza Sana tumlipe wasonga tukagoma na yule mzee kiukweli hakuleta Mali mpaka hivi Leo toka mwaka 2008/2009.
sasa mpaka Leo najiuliza ule utapeli ulikuwa umetengenezwa na mzee au wasonga alishiriki??
sometimes nakiri kufikiri baadhi ya wanasheria Ni matapeli
 
Kwenye kugombea kuna kushinda na kushindwa hio ndo demokrasia mbona kuna vyama kila uchaguz mkuu vinapata kura ndogo lakin havijitafakari.
Huyu hakushindwa bali walimtupa nje, kura sake hazihesabiki bali zinaangalika; Wanaoshindwa ni wenye kura zinazohesabika.
 
Back
Top Bottom