Quick observation, zinaonyesha jamii inahamasika sana kwenye chaguzi yeyote au malumbano yeyote ambayo mtu anayeonekana vocal against government anashiriki, na waliowengi hufurahi akishinda dhidi ya perceived resistance kutoka serikalini. Hii ni dalili kwamba waliowengi wanapinga serikali ila hawana wa kuwasemea na ni dalili kwamba serikali inaminya uhuru wa Wananchi wake. Kama ningekuwa nashauri serikali ningewaambiwa waanze kujitathmini na kuchukua corrective measure, ukiondoa ushabiki wa kisiasa na ukifuata kanuni ya sayansi ya jamii, this is not health for our nation.