Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 56,746
- 46,268
Hii dunia wote tunapita labda wewe utaishi milele, wala wewe siyo wa kwanza kufarahia waislam kuchinywaNenda kapigane Jihad CAR kule hakuna mzaha Waislamu wanachinjwa kama kuku.
Hii dunia wote tunapita labda wewe utaishi milele, wala wewe siyo wa kwanza kufarahia waislam kuchinywaNenda kapigane Jihad CAR kule hakuna mzaha Waislamu wanachinjwa kama kuku.
Andika kiswahili tu kingereza unakipenda lakini bahati mbaya chenyewe akikupendi.Waberoya with all due respect sikutegemea wewe uje na comment dhaifu kiasi hiki, unless uniambie kile kimya chako chote cha kutoonekana hapa JF kwa Mwaka mzima na ushehe basi Id hii sasa inatumika kama taasisi na si Waberoya yule ninayemjuwa mimi.
Na wewe ni Mm ngapi?
Teh teh teh, eti chapter is closed...mbavu zangu.Kwamba hapa umejipachika uanalist kwamba unalowaza wewe na kuona wewe sahihi ndio sahihi? upogo huu.
What if kama unazooengea hapa ni pumba tupu? hata Mansoor kule Zanziber alipata wafuasi wa kusikiliza song lake la Zanziber huru yenye mamlaka kamili lakini walipomsuck out wale mashabiki wake hawaonekani.
Zitto kama yeye ni mmarufu kuliko taasisi ahame chama au aanzishe chama chake. chapter is closed
Acha unafiki wewe kamanda wa lema. Kwani mwanzo ulijua alitumia nini kumtetea zitto!
Kwikwikwi mtaanza kuelewa taratibu na wewe lazima hutwe msaliti.
Yani unajaribu kuwadanganya watu ulikuwa hujui MsandoAlberto ni nani katika swala la Zitto? Chadema himewafanya mmekuwa vipofu.
cc Ritz THE BIG SHOW MSALANI mwekundu CHAMVIGA
Kama vile Marando wa Chadema anavyotumia taaluma yake kuwatetea wezi wa EPA.Unahangaika sana we boya.................... Narudia tena. Albert Msando ametumia taaluma yake ya kisheria kumtetea zitto. yupo vizuri.
Hakutoka mabogini kuhubiri injili, subiri ziliwe tuone kama watakuwa pamoja.
Unahangaika sana we boya.................... Narudia tena. Albert Msando ametumia taaluma yake ya kisheria kumtetea zitto. yupo vizuri.
Hakutoka mabogini kuhubiri injili, subiri ziliwe tuone kama watakuwa pamoja.
Ng'wama naungana mkono na wewe
kuna mtu leo anaamini kuwa eti Chadema au NCCR kuwa zikiingia ikulu ndio tutaendelea. I do hate CCM, oh I do
lakini tatizo letu liko deeped zaidi, tukiweza kujenga Familia zenye nguvu, taasisi zenye nguvu, ndio tutapata Taifa lenye nguvu
I cant imagine, kuwa someone ni baba wa familia lakini ni gullible, anaweza kudanganywa na wahuni wachache, akapelekeshwa kama upepo , yet these men are 'family men'
Ujinga wetu, na upofu wetu ni kama maiti, watu hawajiulizi, hawaulizi, wanapelekwa kama kundi la nyumbu, it is pity
I have been waiting over and over, mtu aje na incontrovertible truth kuwa ubaya wa zitto ni huu hapa. Hamna
just imagine starting from Lissu, lema, mnyika, n.k watu tuliowategemea kuwa watakuwa icon of changes, wamekuwa icon ya ujinga wa kutumika na wachache, yet these men we are expecting to lead us????? ney
ukiweza kudanganywa na kupumbazwa na Mbowe na Slaa kutimiza malengo yao; hao mababa wa uongo ( wazungu) utaweza vipi kuwapinga??
kwa nini tumekuwa so cheap wa kuaminishwa kitu, kama vile dini, ukakiamini na kukiingiza kabisa moyoni na ukaishi katika huo uongo??
Wale wana CCM tuliokuwa tunawaona wame hehuka kwa Kikwete kuwa chaguo la Mungu, baada ya Kikwete kuwadanganya over ten years; ndiyo tunaowaona chadema kwa style nyingine wakiwa wameaminishwa over just 4 years kuwa zitto ni msaliti
Kosa letu ni nini? kwa nini wanasiasa wahuni?? ukienda nyumba za ibada nako utawakuta wahuni wahuni tu, YET we are royal followers of these thieves; whom we can never QUESTION THEM?? any question??
Ng'wama huwa najaiuliza naumia sana, kama jamii yetu hatuwezi kujiuliza, tukauliza, tukakataa kupumbazwa na kuendeshwa kwa hisia, nani wa kutuokoa??
Unahangaika sana we boya.................... Narudia tena. Albert Msando ametumia taaluma yake ya kisheria kumtetea zitto. yupo vizuri.
Hakutoka mabogini kuhubiri injili, subiri ziliwe tuone kama watakuwa pamoja.
Pole sana ukona kijana unatoa maneno ya uongo kama haya, basi tujue taifa limekwisha. Labda alilala na dadako hakumlpaAlberto amekataliwa na wananchi wake mabogin leo hii atatuambia nn watanzania.Kazi yake kulala na wasanii wa kike na hata mkewe Jack amechoshwa na tabia ya dume hili.Kuwa bright darasani haimaanishi kuwa na uwezo wa kutawala au kuwa na elimu dunia ya kujua mahusiano na watu au makundi nbalimbali
li katika jamii.Msando like his friend ni watu wanaopenda umaarufu na mamlaka.
Mie binafsi naunga mkono hoja.
Na hapo zamani za kale, nilishasema mawazo yangu kuwa,tatizo la Tanzania sio CCM, nikaongeza virtual entity kama CCM haiwezi leta matatizo ya uchumi ama virtual entity kama CHADEMA haiwezi leta maendeleo ama ukombozi wowote. Nikasema, tatizo letu ni ile physical processing unit iliyo ktk virtual machine na hii ni watanzania. Tatizo letu hakika sio chama bali ni watanzania wenyewe.
Bila kufanyia maarifa hii processing unit yani watanzania wenyewe hakika tutabaki tunaiba tu karne na karne.
Unachokionyesha kwenye andiko lako hili kina ishara zote za kuwa na fikra ambazo zinajongea hoja huku zimetawaliwa na inferiority complex.
Utaonekana umejenga hoja isiyosukumwa na mapungu yenye inferiority complex kihoja kama utaonyesha wapi nimelazima kuwa hoja yangu ni Alfa and Omega.
Kama ungefahamu kuwa moja ya nguzo kuu za binadamu ni mapungufu, basi hata andiko lako hili lingekuwa ni kaput hata kabla ya kulileta hapa.
Haya ni mawazo yangu kama yalivyo mawazo yako lakini kinachosimama zaidi katika hoja nyingi ni nguvu iliyoko ndani ya hoja ambayo inabebwa na ukweli/uharisia na siyo nguvu iliyoko nje ya hoja, kwa maana nyingine, hoja ya nguvu.
Hatuko hapa kwenye probability kihoja, bali tuko katika upembuzi wa hoja iliyoko mezani. Mambo ya what if inadhihirisha hata hufahamu hata hiyo hoja achilia mbali position ya hoja na kwa maana hiyo, huwezi hata kutafuta angalizo katika hoja.
Tunarudi kule kule kwenye siasa za Tanzania ambapo andiko lako linachagiza/linakubaliana na kile ambacho nilikisema pamoja na kwamba wewe unafikiria hoja yako inaipinga hoja yangu.
Nilisema kwenye bandiko langu hapo juu kuwa wananchi wengi wa Tanzania ni bendera fuata upepo kwa vile hawajitambui nikiwa na maana kuwa, wale waliokuwa wafuasi wake wameishageuzwa na upepo wa wanasiasa wengine na kumuacha Mansoor kwa sababu walikuwa hawajitambui, na hata kule walikoenda watakuwa vile vile hawafahamu na hawajitambui. Ili mradi bendera fuata upepo.
Ni wapi ulimnukuu au ulimsikia Mh. Zitto akisema kuwa yeye ni maarufu kuliko taasisi?.
Ndiyo yale yale ya kuishi kwa hisia zinazochagizwa na mapungufu kifkra na kimtazamo ambao inakuwa ni rahisi sana kulishwa maneno na kumeza bila kuuliza WHY?.
By the way, kuhama chama ni maamuzi ya muhusika kwa matakwa yake na hili wala siyo kosa lake wala la chama chake. Kosa la chama na wafuasi ambao ni fuata bendera ni kumlisha maneno au matukio ili kumshinikiza kwa nguvu ahame na asipohama, basi chama kimfukuze.
Kama ungefahamu kuwa kuweka sahihi kwenye contract yoyoye haichukui hata sekunde tano lakini kuvunja contract huwa ni kama kuusukuma mlima, basi usingekuja na hoja nyepesi kama hii ya kusema ahame chama.
nimemsikiliza yupo vizuri. ametumia taaluma yake kumtetea zitto
We nani umpangie mtu kitu cha kuandika? Lema, Msigwa na Sugu wameandikwa kwa sababu ni mbumbumbu. In short, waliangukia pua kwenye mitihani yao
Alberto amekataliwa na wananchi wake mabogin leo hii atatuambia nn watanzania.Kazi yake kulala na wasanii wa kike na hata mkewe Jack amechoshwa na tabia ya dume hili.Kuwa bright darasani haimaanishi kuwa na uwezo wa kutawala au kuwa na elimu dunia ya kujua mahusiano na watu au makundi nbalimbali
li katika jamii.Msando like his friend ni watu wanaopenda umaarufu na mamlaka.