Wakili Albert Msando EATV kwenye mikasi!

Wakili Albert Msando EATV kwenye mikasi!

Waberoya with all due respect sikutegemea wewe uje na comment dhaifu kiasi hiki, unless uniambie kile kimya chako chote cha kutoonekana hapa JF kwa Mwaka mzima na ushehe basi Id hii sasa inatumika kama taasisi na si Waberoya yule ninayemjuwa mimi.

Na wewe ni Mm ngapi?

Teh teh teh sukule anajinyea nyea na lugha ya malkia...vipi mkuu au ile dili ya kusomeshwa english kozi na yule kibosile imetiki?? Sasa utamlipa nini??? Kabang au shemeji??
 
Last edited by a moderator:
Mkuu hizo ndizo sifa zetu watanzania wengi ambazo mojawapo ni kuamini amini tu bila hata kuhoji kwa nini unaamini.

Kuna watu hapa ukiwauliza sababu za kuwepo katika position na mtazamo fulani watakwambia wapo kwa sababu WANAANIMI kwa vile FULANI alisema hivi au vile.

Ndiyo maana utaona kwenye mikutano ya vyama vya siasa watu wanabadilisha kadi kama mzunguko wa pesa ulivyo na ukiwauliza kwa nini wanahama vyama, basi utakuwa na bahati sana kumpata yule anayeelezea sababu isiyojengwa na imani.

Watanzania wengi ni bendera fuata upepo, na ndiyo maana hata wanasiasa wanawatumia vizuri sana katika malengo yao.

Siyo bahati mbaya kwa Taifa kuwa hapa lilipo. Watu wa aina hii ni janga kwa taifa kwa sababu hawajitabui na usitegemee mtu asiyejitambua anaweza kumtambua mtu mwingine. NEVER!.

Mpaka pale wananchi wataweza kuyajongea mambo huku wametanguliza neno WHY, ndiyo tutaweza angalau kukimbia kisiasa, kiuchumi na kijamii.

Kwamba hapa umejipachika uanalist kwamba unalowaza wewe na kuona wewe sahihi ndio sahihi? upogo huu.

What if kama unazooengea hapa ni pumba tupu? hata Mansoor kule Zanziber alipata wafuasi wa kusikiliza song lake la Zanziber huru yenye mamlaka kamili lakini walipomsuck out wale mashabiki wake hawaonekani.

Zitto kama yeye ni mmarufu kuliko taasisi ahame chama au aanzishe chama chake. chapter is closed
 
nimemsikiliza yupo vizuri. ametumia taaluma yake kumtetea zitto

Msando yuko na Zitto kibiashara tu, pale anafanya advertisement coz kesi ya Zitto imevuta watu wengi na yeye Albert ndiyo atakapopatia jina la kupata kazi
 
Last edited by a moderator:
Acha unafiki wewe kamanda wa lema. Kwani mwanzo ulijua alitumia nini kumtetea zitto!
Kwikwikwi mtaanza kuelewa taratibu na wewe lazima hutwe msaliti.
Yani unajaribu kuwadanganya watu ulikuwa hujui MsandoAlberto ni nani katika swala la Zitto? Chadema himewafanya mmekuwa vipofu.
cc Ritz THE BIG SHOW MSALANI mwekundu CHAMVIGA

Hujiamini au huwezi simama mwenyewe na miguu yako??
Nakushauri nextime m-cc mama na baba yako
 
Last edited by a moderator:
Hujiamini au huwezi simama mwenyewe na miguu yako??
Nakushauri nextime m-cc mama na baba yako
Hana ujasiri huo, ndio maana amekimbia alivyoona vibwengo wenzake wameshaishiwa vibundle vyao vya promotion vya 50mb.
 
Kwamba hapa umejipachika uanalist kwamba unalowaza wewe na kuona wewe sahihi ndio sahihi? upogo huu.
Unachokionyesha kwenye andiko lako hili kina ishara zote za kuwa na fikra ambazo zinajongea hoja huku zimetawaliwa na inferiority complex.

Utaonekana umejenga hoja isiyosukumwa na mapungu yenye inferiority complex kihoja kama utaonyesha wapi nimelazima kuwa hoja yangu ni Alfa and Omega.

Kama ungefahamu kuwa moja ya nguzo kuu za binadamu ni mapungufu, basi hata andiko lako hili lingekuwa ni kaput hata kabla ya kulileta hapa.

Haya ni mawazo yangu kama yalivyo mawazo yako lakini kinachosimama zaidi katika hoja nyingi ni nguvu iliyoko ndani ya hoja ambayo inabebwa na ukweli/uharisia na siyo nguvu iliyoko nje ya hoja, kwa maana nyingine, hoja ya nguvu.
What if kama unazooengea hapa ni pumba tupu?
Hatuko hapa kwenye probability kihoja, bali tuko katika upembuzi wa hoja iliyoko mezani. Mambo ya what if inadhihirisha hata hufahamu hata hiyo hoja achilia mbali position ya hoja na kwa maana hiyo, huwezi hata kutafuta angalizo katika hoja.
hata Mansoor kule Zanziber alipata wafuasi wa kusikiliza song lake la Zanziber huru yenye mamlaka kamili lakini walipomsuck out wale mashabiki wake hawaonekani
Tunarudi kule kule kwenye siasa za Tanzania ambapo andiko lako linachagiza/linakubaliana na kile ambacho nilikisema pamoja na kwamba wewe unafikiria hoja yako inaipinga hoja yangu.

Nilisema kwenye bandiko langu hapo juu kuwa wananchi wengi wa Tanzania ni bendera fuata upepo kwa vile hawajitambui nikiwa na maana kuwa, wale waliokuwa wafuasi wake wameishageuzwa na upepo wa wanasiasa wengine na kumuacha Mansoor kwa sababu walikuwa hawajitambui, na hata kule walikoenda watakuwa vile vile hawafahamu na hawajitambui. Ili mradi bendera fuata upepo.

Zitto kama yeye ni mmarufu kuliko taasisi ahame chama au aanzishe chama chake. chapter is closed
Ni wapi ulimnukuu au ulimsikia Mh. Zitto akisema kuwa yeye ni maarufu kuliko taasisi?.

Ndiyo yale yale ya kuishi kwa hisia zinazochagizwa na mapungufu kifkra na kimtazamo ambao inakuwa ni rahisi sana kulishwa maneno na kumeza bila kuuliza WHY?.

By the way, kuhama chama ni maamuzi ya muhusika kwa matakwa yake na hili wala siyo kosa lake wala la chama chake. Kosa la chama na wafuasi ambao ni fuata bendera ni kumlisha maneno au matukio ili kumshinikiza kwa nguvu ahame na asipohama, basi chama kimfukuze.

Kama ungefahamu kuwa kuweka sahihi kwenye contract yoyoye haichukui hata sekunde tano lakini kuvunja contract huwa ni kama kuusukuma mlima, basi usingekuja na hoja nyepesi kama hii ya kusema ahame chama.
 
Waberoya with all due respect sikutegemea wewe uje na comment dhaifu kiasi hiki, unless uniambie kile kimya chako chote cha kutoonekana hapa JF kwa Mwaka mzima na ushehe basi Id hii sasa inatumika kama taasisi na si Waberoya yule ninayemjuwa mimi.

Na wewe ni Mm ngapi?

ha haa, ni hivi, achana kuwa kama hawa watoto. I believe, I am sure, trust me, ukisema uweke ubaya wa Zitto hapa jamvini you will never ever prove kuwa ni m'baya kiasi hicho, sijaona kutoka kwa mwanachadema yeyote kuanzia Mtei ambaye anaweza kusema huu hapa ni ubaya wa zitto, hayupo. I thought you could be the one to englight me, lakini naona unakuja na mada eti ID iliyokuwa likizo mwaka mmoja,hoja dhaifu n.k, n.k I mean utaendelea kutafuta sababu na kukwepa kusema ubaya wa zitto kupitia aidha post yangu, kosa langu, na chochote kile ili mradi ukwepe tu

Nakuuliza wewe kwa sababu ni GT na unaweza kujibu hoja, na ni wa siku nyingi humu ndani, tofauti na wengine ambao anaweza kwanza kukutukana tu

au ni re-phrase

unaweza kunieleza kwa maneno machache ukaniaminisha kuwa zitto ni mbaya kiasi cha wewe kumchukia hivyo?

please help
 
Mkuu hizo ndizo sifa zetu watanzania wengi ambazo mojawapo ni kuamini amini tu bila hata kuhoji kwa nini unaamini.

Kuna watu hapa ukiwauliza sababu za kuwepo katika position na mtazamo fulani watakwambia wapo kwa sababu WANAANIMI kwa vile FULANI alisema hivi au vile.

Ndiyo maana utaona kwenye mikutano ya vyama vya siasa watu wanabadilisha kadi kama mzunguko wa pesa ulivyo na ukiwauliza kwa nini wanahama vyama, basi utakuwa na bahati sana kumpata yule anayeelezea sababu isiyojengwa na imani.

Watanzania wengi ni bendera fuata upepo, na ndiyo maana hata wanasiasa wanawatumia vizuri sana katika malengo yao.

Siyo bahati mbaya kwa Taifa kuwa hapa lilipo. Watu wa aina hii ni janga kwa taifa kwa sababu hawajitabui na usitegemee mtu asiyejitambua anaweza kumtambua mtu mwingine. NEVER!.

Mpaka pale wananchi wataweza kuyajongea mambo huku wametanguliza neno WHY, ndiyo tutaweza angalau kukimbia kisiasa, kiuchumi na kijamii.

Ng'wama naungana mkono na wewe

kuna mtu leo anaamini kuwa eti Chadema au NCCR kuwa zikiingia ikulu ndio tutaendelea. I do hate CCM, oh I do

lakini tatizo letu liko deeped zaidi, tukiweza kujenga Familia zenye nguvu, taasisi zenye nguvu, ndio tutapata Taifa lenye nguvu

I cant imagine, kuwa someone ni baba wa familia lakini ni gullible, anaweza kudanganywa na wahuni wachache, akapelekeshwa kama upepo , yet these men are 'family men'

Ujinga wetu, na upofu wetu ni kama maiti, watu hawajiulizi, hawaulizi, wanapelekwa kama kundi la nyumbu, it is pity

I have been waiting over and over, mtu aje na incontrovertible truth kuwa ubaya wa zitto ni huu hapa. Hamna

just imagine starting from Lissu, lema, mnyika, n.k watu tuliowategemea kuwa watakuwa icon of changes, wamekuwa icon ya ujinga wa kutumika na wachache, yet these men we are expecting to lead us????? ney

ukiweza kudanganywa na kupumbazwa na Mbowe na Slaa kutimiza malengo yao; hao mababa wa uongo ( wazungu) utaweza vipi kuwapinga??

kwa nini tumekuwa so cheap wa kuaminishwa kitu, kama vile dini, ukakiamini na kukiingiza kabisa moyoni na ukaishi katika huo uongo??

Wale wana CCM tuliokuwa tunawaona wame hehuka kwa Kikwete kuwa chaguo la Mungu, baada ya Kikwete kuwadanganya over ten years; ndiyo tunaowaona chadema kwa style nyingine wakiwa wameaminishwa over just 4 years kuwa zitto ni msaliti

Kosa letu ni nini? kwa nini wanasiasa wahuni?? ukienda nyumba za ibada nako utawakuta wahuni wahuni tu, YET we are royal followers of these thieves; whom we can never QUESTION THEM?? any question??

Ng'wama huwa najaiuliza naumia sana, kama jamii yetu hatuwezi kujiuliza, tukauliza, tukakataa kupumbazwa na kuendeshwa kwa hisia, nani wa kutuokoa??
 
Sikuwahi kumfahamu sana lakini kesi ya Mh. Zitto imenifanya kumfahamu kuwa ana kipaji katika ujenzi na utetezi wa hoja mbali mbali. Huhitaji kesi zaidi ya moja katika mahakama kuu kutambua kipaji na umahiri wa mwanasheria na hasa anapopambana na wale wanaojulikana katika jamii kama ni wanasheria 'maarufu na Mahili'.

Diwani Msando is invisible political thin red line ndani ya CHADEMA.

Mkuu!
Hamna la ajabu alilofanya pale na kisheria kabla ya shauri husika kutajwa Mahakama huwa inaangalia nani ataathirika kama uamuzi utatolewa haraka!Hata mawakili wa Kafulila na Mzew Ahmad Rashid walishinda maombi yao ya kwanza!(Mansoor Himid wa Kiembe Samaki nae angeenda Mahakamani angeshinda)

Kwa nn Mahakama siku ya kwanza always huwa upande wa mshtaki kwenye kesi za uchaguzi? Sababu ni kuwa kama Mahakama itabariki uamuzi wa CC la kumvua uanachama kiongozi aliyepigiwa kura INA MAANA kesi ya msingi aliyofungua (huyu kiongozi aliyefukuzwa)itakuwa HAINA MAANA tena na atakuwa kahukumiwa bila hata ya kusikilizwa!

Tumuangalie kesi ikianza jinsi atakavyo wasilisha utetezi wake!Kumbuka kesi bado haijaanza
 
Acha unafiki wewe kamanda wa lema. Kwani mwanzo ulijua alitumia nini kumtetea zitto!
Kwikwikwi mtaanza kuelewa taratibu na wewe lazima hutwe msaliti.
Yani unajaribu kuwadanganya watu ulikuwa hujui MsandoAlberto ni nani katika swala la Zitto? Chadema himewafanya mmekuwa vipofu.
cc Ritz THE BIG SHOW MSALANI mwekundu CHAMVIGA

Hahahah naona unawaita makamishna wenzako waje wakupige tafu. Mtu wetu umetutenga sana kwenye Govinder Kumar. Au una mpango wa kuchukua form tusio na vyama tukusapoti? Wengine siasa zetu tunazifanyia baa na wahudumu.
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Anasemaje huyo msomi tapeli

kamanda acha wivu wa kike, hatuwezi kukumbatia mapoyoyo tu kama kina lema na mbowe huku tukibeza wasomi tena wachache tulionao, watu wa aina hii pamoja na akina dr kitila wanahitajika sana chadema ili kuleta fikra mbadala.
 
Msando yuko na Zitto kibiashara tu, pale anafanya advertisement coz kesi ya Zitto imevuta watu wengi na yeye Albert ndiyo atakapopatia jina la kupata kazi

kwa hiyo ulikuwa unataka zito asitumie haki yake ya kikatiba kutetewa na wakili yeyote anayemtaka, kwamba wakili huyo atakuwa anatafuta umaarufu tu kupitia kesi ya zito??!!
watetezi wengi wa mbowe na lema (sio chadema!) akili zao ni shake well b4 use!!!!!!!!!!!!
 
Ng'wama naungana mkono na wewe

kuna mtu leo anaamini kuwa eti Chadema au NCCR kuwa zikiingia ikulu ndio tutaendelea. I do hate CCM, oh I do

lakini tatizo letu liko deeped zaidi, tukiweza kujenga Familia zenye nguvu, taasisi zenye nguvu, ndio tutapata Taifa lenye nguvu

I cant imagine, kuwa someone ni baba wa familia lakini ni gullible, anaweza kudanganywa na wahuni wachache, akapelekeshwa kama upepo , yet these men are 'family men'

Ujinga wetu, na upofu wetu ni kama maiti, watu hawajiulizi, hawaulizi, wanapelekwa kama kundi la nyumbu, it is pity

I have been waiting over and over, mtu aje na incontrovertible truth kuwa ubaya wa zitto ni huu hapa. Hamna

just imagine starting from Lissu, lema, mnyika, n.k watu tuliowategemea kuwa watakuwa icon of changes, wamekuwa icon ya ujinga wa kutumika na wachache, yet these men we are expecting to lead us????? ney

ukiweza kudanganywa na kupumbazwa na Mbowe na Slaa kutimiza malengo yao; hao mababa wa uongo ( wazungu) utaweza vipi kuwapinga??

kwa nini tumekuwa so cheap wa kuaminishwa kitu, kama vile dini, ukakiamini na kukiingiza kabisa moyoni na ukaishi katika huo uongo??

Wale wana CCM tuliokuwa tunawaona wame hehuka kwa Kikwete kuwa chaguo la Mungu, baada ya Kikwete kuwadanganya over ten years; ndiyo tunaowaona chadema kwa style nyingine wakiwa wameaminishwa over just 4 years kuwa zitto ni msaliti

Kosa letu ni nini? kwa nini wanasiasa wahuni?? ukienda nyumba za ibada nako utawakuta wahuni wahuni tu, YET we are royal followers of these thieves; whom we can never QUESTION THEM?? any question??

Ng'wama huwa najaiuliza naumia sana, kama jamii yetu hatuwezi kujiuliza, tukauliza, tukakataa kupumbazwa na kuendeshwa kwa hisia, nani wa kutuokoa??

Mie binafsi naunga mkono hoja.
Na hapo zamani za kale, nilishasema mawazo yangu kuwa,tatizo la Tanzania sio CCM, nikaongeza virtual entity kama CCM haiwezi leta matatizo ya uchumi ama virtual entity kama CHADEMA haiwezi leta maendeleo ama ukombozi wowote. Nikasema, tatizo letu ni ile physical processing unit iliyo ktk virtual machine na hii ni watanzania. Tatizo letu hakika sio chama bali ni watanzania wenyewe.
Bila kufanyia maarifa hii processing unit yani watanzania wenyewe hakika tutabaki tunaiba tu karne na karne.
 
Acha unafiki wewe kamanda wa lema. Kwani mwanzo ulijua alitumia nini kumtetea zitto!
Kwikwikwi mtaanza kuelewa taratibu na wewe lazima hutwe msaliti.
Yani unajaribu kuwadanganya watu ulikuwa hujui MsandoAlberto ni nani katika swala la Zitto? Chadema himewafanya mmekuwa vipofu.
cc Ritz THE BIG SHOW MSALANI mwekundu CHAMVIGA


Sasa mbona yeye hawamfukuzi??

Wamfukuze msando kama wana uwezo huo,wachaga wa chadema wengi wao hususan hao viongoz kwa kuwa wana kengeza basi hadi akili zao zina kengeza Mkuu
 
...,haabhaahh.!!! Ni wewe umepost hii?? Au viroba??

Tanzania haikombolewi kamwe.

Ametoka mabogini kutafuta hela...................... subiria Zitto atakapopigwa chini kama ataendelea kuwa naye
 
Namzidi sana Alberto Msando, yeye ni mwanasheria mimi nina professional yake na nyingine tofauti.
Nikueleweshe tu, elimu sii kigezo ila una-deliver kinachotakiwa ktk jamii??
Hawa nawafahamu, mawakili ni matapeli tu uwa, rusha, piga watu wakili akija mpe hela atakutetea.
Niko hapa Arusha niko nao nawaelewa kijana.
Dogo yuko kwenye Advert, usiogope nchi imeshakuwa sufuria hii mahala kuna loophole za kijinga ndiyo watu kama nyie mnaona KAZI.

Ndugu msomi, neno sahihi ulilopaswa kutumia hapo ni "profession"
 
Nilikua najua utakuja tu we hayawani! Unawezaje kumchukia mtu ambaye hauko size moja nae? It shows how stupid you are. Let me tell you Zitto siyo size yako. Yuko juu sana. Size yako ni Yericko Jobless mwenzako. Humfikii Zitto kwa lolote labda unachomzidi ni hiyo bangi unayovuta!
Ni kweli Zitto yupo juu sana kwa usaliti na rushwa vitu ambavyo havipo kwa Ben,ukienda kwenye upembuzi wa mambo mbalimbali huyu dogo Ben kamwacha mbali sana huyo tapeli wenu wa kisiasa zzk anachokosa tu ni platform ya ubunge ambayo zzk anayo na nd'o kinachompa mirage kupita Ben,lakini kwenye madini ya kichwani Ben yupo vizuri zaidi.
 
Alberto amekataliwa na wananchi wake mabogin leo hii atatuambia nn watanzania.Kazi yake kulala na wasanii wa kike na hata mkewe Jack amechoshwa na tabia ya dume hili.Kuwa bright darasani haimaanishi kuwa na uwezo wa kutawala au kuwa na elimu dunia ya kujua mahusiano na watu au makundi nbalimbali
li katika jamii.Msando like his friend ni watu wanaopenda umaarufu na mamlaka.

Angelalal na wewe unge sema?
 
Back
Top Bottom