mpingauonevu
JF-Expert Member
- Feb 27, 2012
- 621
- 434
wakuu wakili huyu yuko kwenye kipindi karibuni msio na taarifa ila nilikuwa simjui kumbe ni kijana hivi!
wakuu wakili huyu yuko kwenye kipindi karibuni msio na taarifa ila nilikuwa simjui kumbe ni kijana hivi!
Zitto labda kama kuna chama cha mahakama huko ndio kunamfaa.Ni kijana mdogo lakini anaonekana ni kichwa sana.. Hawa ndo vijana tunao wataka kwenye chama... Wakishirikiana na akina Zitto, Mnyika, Lemma, nk kwa kweli CHADEMA ni mpango wa Mungu.
Wee Bangoo,Ni kijana mdogo lakini anaonekana ni kichwa sana.. Hawa ndo vijana tunao wataka kwenye chama... Wakishirikiana na akina Zitto, Mnyika, Lemma, nk kwa kweli CHADEMA ni mpango wa Mungu.
Msando ni mbabaishaji,anatafuta cheap popularity.
Zitto labda kama kuna chama cha mahakama huko ndio kunamfaa.
Ametulia sana ni kichwa, nimegundua hana chuki yoyote na chama.!
Kumbe wamesoma wote chuo kikuu, zitto waziri Msando Spika..
Wametoka mbali..
Very young...
Anasemaje huyo msomi tapeli
Wee Bangoo,
Umemtaja ZZK? Ni uhaini kutaja jina Hilo wenye chama hawataki hata kumsikia!
Kazi kwako Subiri mitusi sasa
We unamfikia kielimu, au unamkashifu tu, kwa sababu za kijinga.
ukisikia mtu anakwambia Zitto na vijana wengine wa chama ni wasaliti ujue hao sio wajuaji wa mambo.. Watu duniani kote hutofautiana kimawazo.