Wakili Albert Msando EATV kwenye mikasi!

Wakili Albert Msando EATV kwenye mikasi!

Kwa kweli inashangaza kuona wachangiaji wakijadili kwa jazba wakati hata alichosema Msando kwenye hicho kipindi hakijawekwa hapa. Jamani tupunguze mihemko na tujenge utamaduni wa kujadili hoja. Kwa nini tusijadili alichokisema badala ya nani zaidi kati ya Msando, Zitto, na Lissu? If anything, njia nzuri ya kuonesha ni nani zaidi ni kuchambua hoja zao na kuweka wazi hoja dhaifu. Kusema tu fulani anamzidi mwenzake kwa hoja bila kuchambua hoja zao hakusaidii chochote na ni upunguani.
 

ama kweli we ni utumbo kama jina lako!! kumeza tu kila unacholishwa, hakuna kuchagua wala kuhoji..............................so long mabwana zako wameshasema zito ni msaliti kilichobaki ni kupayuka tu kama kasuku!!!!!!
 
ama kweli we ni utumbo kama jina lako!! kumeza tu kila unacholishwa, hakuna kuchagua wala kuhoji..............................so long mabwana zako wameshasema zito ni msaliti kilichobaki ni kupayuka tu kama kasuku!!!!!!

we dogo kama we umezoea kulishwa maneno na bwana zako usifikiri kila mtu anamezeshwa...Zitto ni msaliti haiitaji kuambiwa na mtu baki huu ukweli
 
Back
Top Bottom