Wakili Albert Msando EATV kwenye mikasi!

Wakili Albert Msando EATV kwenye mikasi!

Dogo ni kichwa ndiomana akakubali kumtetea zito naona angelisimama kwa kina lisu ilikuwa anapoteza sv za uwakili mtu kama msando ndio wanaotakiwa nchi hii sio hao waze wa chuki na visasi mbowe na dr slaa na vifaranga vyao lisu lema msigwa na mshika mic sugu sas hapo unategemea chama kwenda mbele nyambafu
 
Squarely............!

Nilikua najua utakuja tu we hayawani! Unawezaje kumchukia mtu ambaye hauko size moja nae? It shows how stupid you are. Let me tell you Zitto siyo size yako. Yuko juu sana. Size yako ni Yericko Jobless mwenzako. Humfikii Zitto kwa lolote labda unachomzidi ni hiyo bangi unayovuta!
 
Nilikua najua utakuja tu we hayawani! Unawezaje kumchukia mtu ambaye hauko size moja nae? It shows how stupid you are. Let me tell you Zitto siyo size yako. Yuko juu sana. Size yako ni Yericko Jobless mwenzako. Humfikii Zitto kwa lolote labda unachomzidi ni hiyo bangi unayovuta!

povu lanini kima wewe
 
Dogo ni kichwa ndiomana akakubali kumtetea zito naona angelisimama kwa kina lisu ilikuwa anapoteza sv za uwakili mtu kama msando ndio wanaotakiwa nchi hii sio hao waze wa chuki na visasi mbowe na dr slaa na vifaranga vyao lisu lema msigwa na mshika mic sugu sas hapo unategemea chama kwenda mbele nyambafu

Kwanini unahangaika hivyo! Thread ya Msando hii hao wengine watoka wapi pimbi?
 
Kwanini unahangaika hivyo! Thread ya Msando hii hao wengine watoka wapi pimbi?

We nani umpangie mtu kitu cha kuandika? Lema, Msigwa na Sugu wameandikwa kwa sababu ni mbumbumbu. In short, waliangukia pua kwenye mitihani yao
 
Hao ndo wafuasi wa Chadema, chama kinachotaka kikabidhiwe nchi. Wanachojua wao ni matusi. Bora nchi hii iongozwe na teja kuliko Chadema

Kawahi Shs 7000 umejuaje mimi si ACT ? Tumia akili unaweweseka mno na CDM
 
Hao ndo wafuasi wa Chadema, chama kinachotaka kikabidhiwe nchi. Wanachojua wao ni matusi. Bora nchi hii iongozwe na teja kuliko Chadema
Jinsi mlivyo na bidii ya kuuza sembe mnategemea kizazi kipi zaidi ya kuzalisha mateja? zuzu wewe.
 
Sikuwahi kumfahamu sana lakini kesi ya Mh. Zitto imenifanya kumfahamu kuwa ana kipaji katika ujenzi na utetezi wa hoja mbali mbali. Huhitaji kesi zaidi ya moja katika mahakama kuu kutambua kipaji na umahiri wa mwanasheria na hasa anapopambana na wale wanaojulikana katika jamii kama ni wanasheria 'maarufu na Mahili'.

Siamini kama siasa za Tanzania anaweza/ataweza kuzimudu kutokana na uwezo wake katika utetezi wa hoja. Siasa za Tanzania haziwataki watu waliobarikiwa kipaji cha kujenga hoja na kuzitetea bila kutetereka na kupoteza composure.

Kuna watu wanadai Mh. Lissu ni 'kichwa' lakini kama Diwani Msando angekuwa kwa sasa ameishafikia kiwango cha elimu ya Mh. Lissu basi angekuwa amemuacha Mh. Lissu mbali sana katika kujenga hoja za kisheria na kuzitetea bila kutetereka na kikubwa kabisa, Diwani Msando ana 'value added' ambayo ni composure ukilinganisha na Mh. Lissu.

Diwani Msando is invisible political thin red line ndani ya CHADEMA.
 
Jiunge naye Facebook, Zitto ni mwenyekiti wa Chadema Facebook. kwenye chama hana chake na mnaoshabikia ubongo wenu umeoza.

Matola, naungana na member mmoja anayesema, umepandikizwa chuki, unamchukia zitto lakini huna sababu, just hating....in any case endelea kumchukia tu.

Wengine tutaendelea kumpenda tu, lakini tutaona kipi kina nguvu kati ya upendo na chuki, just time will tell
 
Matola, naungana na member mmoja anayesema, umepandikizwa chuki, unamchukia zitto lakini huna sababu, just hating....in any case endelea kumchukia tu.

Wengine tutaendelea kumpenda tu, lakini tutaona kipi kina nguvu kati ya upendo na chuki, just time will tell

Waberoya with all due respect sikutegemea wewe uje na comment dhaifu kiasi hiki, unless uniambie kile kimya chako chote cha kutoonekana hapa JF kwa Mwaka mzima na ushehe basi Id hii sasa inatumika kama taasisi na si Waberoya yule ninayemjuwa mimi.

Na wewe ni Mm ngapi?
 
Last edited by a moderator:
Matola, naungana na member mmoja anayesema, umepandikizwa chuki, unamchukia zitto lakini huna sababu, just hating....in any case endelea kumchukia tu.

Wengine tutaendelea kumpenda tu, lakini tutaona kipi kina nguvu kati ya upendo na chuki, just time will tell
Mkuu hizo ndizo sifa zetu watanzania wengi ambazo mojawapo ni kuamini amini tu bila hata kuhoji kwa nini unaamini.

Kuna watu hapa ukiwauliza sababu za kuwepo katika position na mtazamo fulani watakwambia wapo kwa sababu WANAANIMI kwa vile FULANI alisema hivi au vile.

Ndiyo maana utaona kwenye mikutano ya vyama vya siasa watu wanabadilisha kadi kama mzunguko wa pesa ulivyo na ukiwauliza kwa nini wanahama vyama, basi utakuwa na bahati sana kumpata yule anayeelezea sababu isiyojengwa na imani.

Watanzania wengi ni bendera fuata upepo, na ndiyo maana hata wanasiasa wanawatumia vizuri sana katika malengo yao.

Siyo bahati mbaya kwa Taifa kuwa hapa lilipo. Watu wa aina hii ni janga kwa taifa kwa sababu hawajitabui na usitegemee mtu asiyejitambua anaweza kumtambua mtu mwingine. NEVER!.

Mpaka pale wananchi wataweza kuyajongea mambo huku wametanguliza neno WHY, ndiyo tutaweza angalau kukimbia kisiasa, kiuchumi na kijamii.
 
Back
Top Bottom