Bujoro
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 3,046
- 2,131
Yes aje Mh. TRUMP atutawaleAfrika bila ukoloni haiendi hapa Tz inabidi tuwawahi ma super power U.S.A waje kututawala
Yes aje Mh. TRUMP atutawaleAfrika bila ukoloni haiendi hapa Tz inabidi tuwawahi ma super power U.S.A waje kututawala
Ila aligoma wakat anaingia madarakan kw kututus "Shithole"..naon Ping kaamua kumreplace TilampYes aje Mh. TRUMP atutawale
Aah umelaaniwa mwenyeweTumelaaniwa saana Ngozi nyeusi
Maoni yangu ni hayaWakili mmoja nchini Zambia Bw.Dickson Jere amefungua kesi ya kikatiba kwenye mahakama kuu ya nchi hiyo, kupinga polisi nchini humo kuajiri raia wa Kichina katika jeshi hilo.
Hivi karibuni jeshi la polisi nchini Zambia limeajiri raia nane (8) wa Kichina na kuteua wawili kati yao kushika vyeo vya juu, ambao ni Mkuu wa Kamandi ya Polisi wa akiba, Kamishna Msaidizi wa Polisi ACP.Zhang Ming, na Msaidizi wake, Mrakibu Mwandamizi wa Polisi SSP.Wu Ming.
Maofisa hao wapya 8 waliapishwa na Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini humo, Inspekta Jenerali Kakoma Kanganji, ambapo pia alipokea magari 10 yaliyotolewa na serikali ya China kama msaada kwa jeshi hilo.
Wakili Jere amesema kitendo kilichofanywa na jeshi la polisi nchini Zambia ni cha aibu na ni kinyume na katiba. IGP Kanganji alijitetea kuwa maofisa wote 8 walioajiriwa ni raia wa Zambia pia kwa sababu wana uraia pacha (wa Zambia na China).
_
Hata hivyo Wakili Jere ametaja ibara ya 194 (a) ya Katiba ya nchi hiyo kuwa hairuhusu raia yeyote wa Zambia mwenye uraia wa nchi nyingine (uraia pacha) kuajiriwa katika nafasi yeyote kwenye majeshi. "Mtu mwenye uraia pacha anaweza kuajiriwa katika idara nyingine za serikali lakini si kwenye majeshi. Polisi wamevunja katiba" amesema Jere.
Hivi karibuni serikali ya China ilitangaza kuutaifisha uwanja wa ndege wa Keneth Kaunda mjini Lusaka, siku chache zilizopita, ili kufidia deni ambalo Zambia imeshindwa kulilipa kwa muda mrefu.
Nchini Afrika Kusini raia wa kichina Bi.Jianling Wu aligombea udiwani katika kata namba 118 jijini Johannesburg, kupitia chama cha ANC.
Wimbi la raia wa Kichina kuingia katika nchi za Afrika na kupewa nafasi vyeo mbalimbali limeibua wasiwasi kwa baadhi ya wananchi wakidai China ndiye mkoloni mpya barani Afrika, kutokana na nchi nyingi za Kiafrika kudaiwa madeni makubwa na China yasiyolipika.
Nini maoni yako?View attachment 872053
Yupo zake bar anakunywa OfiserDooh afadhali wakili...apambane kuondoa hiyo aibu.....rais wa Zambia sijui analichukuliaje hili swala.....lkn pia natambua toka soko la shaba liyumbe duniani..... Zambia wapo taabani sana kifedha.....maana wao ndio walikuwa wauzaji wakubwa wa shaba kwenye soko la dunia.....
Ni kweli hata Kwacha yao imeporomoka sana dhidi ya dolla, hivyo kupelekea mfumko wa bei kwenye bidhaa..Dooh afadhali wakili...apambane kuondoa hiyo aibu.....rais wa Zambia sijui analichukuliaje hili swala.....lkn pia natambua toka soko la shaba liyumbe duniani..... Zambia wapo taabani sana kifedha.....maana wao ndio walikuwa wauzaji wakubwa wa shaba kwenye soko la dunia.....