Old Member (Retired)
JF-Expert Member
- Sep 29, 2012
- 3,401
- 1,618
Homeboy sio Dar tu hata maisha yanapobadilika kwa baadhi ya watu ambao mko sehemu moja tabia za hivyo hujitokeza kwa wale malimbukeni wala sitoshangaa kwa kuleta hoja yako hapa jukwaani, hujakosea ni kweli.
Na cha ajabu ukirekebisha shobo linaanza sasa muda wote mlikuwa wapi?
Namalizia hakuna lolote zaidi ya ulimbukeni yani huoni thamani ya mtu hadi awe na kitu
washansikia mkuu, najua watapita kimya kimyaTell 'em
Kuna demu tulimaliza nae chuo juzi kati hapo,
Tulikutana ubungo sema ilikuwa kigiza fulani hivi
Ilikuwa ni shider, sijamaliza kumsalimia mwenzangu alishanipita hatua kama 5 hivi,
Niliishia kumpungia mkono tu
Mna kazi sana kumbe cc Nyani Ngabu sikia hii
Bossman hujawahi ku-observe hiyo kitu kwa hao watu wakuja?
Homeboy sio Dar tu hata maisha yanapobadilika kwa baadhi ya watu ambao mko sehemu moja tabia za hivyo hujitokeza kwa wale malimbukeni wala sitoshangaa kwa kuleta hoja yako hapa jukwaani, hujakosea ni kweli.
Na cha ajabu ukirekebisha shobo linaanza sasa muda wote mlikuwa wapi?
Namalizia hakuna lolote zaidi ya ulimbukeni yani huoni thamani ya mtu hadi awe na kitu
Hii nayo ni sheeedar!!!!!!!
Utakuta watu walikuwa marafiki sana kipindi cha nyuma,wamesoma wote, wamecheza wote lakini kimbembe huja pale wakikutana Dar.
Hapa nazungumzia wale wenzangu na mie ambao Dar tumekuja tayari tumeshaota Ma..vuzi na ndevu. Yaani tumekuja na mbio za Mwenge au Gari la kabichi.
Yaani mtu mliyekuwa mnafahamiana vizuri kabisa, siku mnakutana nae mlimani city
either:
-Atakupita kama hakujui
-Kukuuliza kama nimeshawahi kukuona sehem ila sikumbuki ni wapi
-Anakuuliza hivi wewe sindio unaitwa Jumanne wakati anafahamu fika kuwa unaitwa Joshua
-nk.....nk....nk.....nk.....nk
SWALI LANGU: Kwanini hii situation hutokea watu wakikutana Dar tu?
Mbona tukikutana mikoa mingine huwa tunakumbukana vizuri tu? Au ndio uzuzu wa jiji?