Ngongo
JF-Expert Member
- Sep 20, 2008
- 18,921
- 31,161
Heshima kwenu wanajamvi,
Siku hizi ukiingia katika ofisi mbali mbali kuanzia banks,Insurane ofisi,kampuni za utalii limekuwa jambo la kawaida kukutana na vijana wa kikenya wakifanyakazi ambazo zingefanywa na waTanzania.
Wiki mbili zilizopita nilipita TANELEC na SERENA nilichojionea huko hakifahi hata kuandikwa hakika iko siku waTanzania watapigania kujitoa EAC kama hali hii itaachwa iendelee hivi.Nafasi zote muhimu na kubwa zimeshikwa na waKenya,mishahara na marupurupu yamelundikwa kwa wageni wafanyakazi wa KiTanzania wamebaki wanyonge katika nchi yao hakuna sera mkakati wa kulinda ajira zao.Hali inazidi kuwa mbaya kadri siku zinavyosonga mbele siku hizi hata wasambaza barua wa DHL ni waKenya !.
Siku hizi ukiingia katika ofisi mbali mbali kuanzia banks,Insurane ofisi,kampuni za utalii limekuwa jambo la kawaida kukutana na vijana wa kikenya wakifanyakazi ambazo zingefanywa na waTanzania.
Wiki mbili zilizopita nilipita TANELEC na SERENA nilichojionea huko hakifahi hata kuandikwa hakika iko siku waTanzania watapigania kujitoa EAC kama hali hii itaachwa iendelee hivi.Nafasi zote muhimu na kubwa zimeshikwa na waKenya,mishahara na marupurupu yamelundikwa kwa wageni wafanyakazi wa KiTanzania wamebaki wanyonge katika nchi yao hakuna sera mkakati wa kulinda ajira zao.Hali inazidi kuwa mbaya kadri siku zinavyosonga mbele siku hizi hata wasambaza barua wa DHL ni waKenya !.