Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 18,840
- 57,484
Kila kitu kinakuwa na kiasiKuna hatari ya kukanyagwa kama utakuwa wa kujishusha mara kwa mara.
Hata hivyo haitaondoa uanaume wangu nikijishusha Kwa muda ili jambo fulani baya lipite
Waswahili wanasema mafahari wawili hawakai zizi moja!
Ila katika mahusiano yetu na Bibi yenu, kila unapotokea ugomvi baina yetu
Huwa ni alert kwangu kwamba she real wants my dick, wakati mwingine hutokea hujamchapa nao kwa muda hivyo nyege humfanya ahisi hasira muda wote
Ukishampa anachokitaka, basi amani automatic inakuwa imerejea ndani
Ndiyo maana wahenga waliwahi kusema, nyumba yenye amani ni ile ambayo Baba na Mama wanalala uchi kwenye Kitanda kimoja
Wanaume tupunguze ubusy na tutimize wajibu wetu