Namshakende
JF-Expert Member
- Sep 23, 2021
- 771
- 1,903
- Thread starter
- #81
HahahahaMung'oe meno mkuu piga hasaa
HahahahaMung'oe meno mkuu piga hasaa
Ahsante kwa maneno yako ya busara na dua nzuri BANTU LADY. kuvumilia matusi na dharau ni jambo gumu, lakini kila hatua ni sehemu ya kujifunza. Namuomba Mungu aniongoze ili niwe na amani na upendo katika maisha yangu ya mbele. Amina.Mwenyezi Mungu akutangulie, mtu anayekubali makosa yake ni mtu mwema sana. Wachache sana hukubali na kuvumilia matusi na dharau. Kama ulivyoweza kuvumilia hayo yote, nakuombea upate wa kuendana naye mtakayeishi maisha ya amani na upendo.
Hakika mkuu ila wengi wetu hatuelewi hilo.Mwanamke akienda kwao kwa kiburi chake usimfate hiyo ndo kanuni ilivyo, ukimfata tu umempa point 3 umepoteza mechi.
Sie tunachukua point tuu kama barcelona.....wazee wa ndoa kama man utd, kila mtu anajipigia tuu🤣🤣🤣🤣Ona sasa umewapa KATAA NDOA point 3.
Mimi ndiyo maana sitaki kuolewa na mtu wa kanda ya ziwaNimetoka kuhangaika na mishemishe za maisha, nimechoka na nimejaa mawazo.
Nafika nyumbani nategemea amani, badala yake nakutana na matusi na dharau zisizo na sababu.
Yeye mwenyewe kachukua simu, kapiga kwao eti anarudi na abaki huko huko!
Kuanzia kesho mimi ni single rasmi, na hili liwe fundisho kwake na kwa wengine wote: mwanaume naye ana mipaka ya kuvumilia.
Kipigo cha leo sio hasira tu, bali ni somo atakalolikumbuka maisha yake yote.
Amekuwa kila siku ananijibu majibu ya ajabu ajabu. Leo nilikuwa nimesha be stressed kazini tayari, alivyo jileta tu, nikasema hasira zote analipia yeye.
Oya mkuu saluti sana umetuwakilisha vyemaNimetoka kuhangaika na mishemishe za maisha, nimechoka na nimejaa mawazo.
Nafika nyumbani nategemea amani, badala yake nakutana na matusi na dharau zisizo na sababu.
Yeye mwenyewe kachukua simu, kapiga kwao eti anarudi na abaki huko huko!
Kuanzia kesho mimi ni single rasmi, na hili liwe fundisho kwake na kwa wengine wote: mwanaume naye ana mipaka ya kuvumilia.
Kipigo cha leo sio hasira tu, bali ni somo atakalolikumbuka maisha yake yote.
Kipindi hvho tafuta mishanga ya kila aina fm two chuo makazini uraiani mweusi mweupe mwembamba bonge yy mtoe akilini tumia kanuni out of site out of mindMkuu, jibu alilonipatia nikajikuta nishapiga mtama na ngumi juu. Nilishindwa kabisa ku' control hasira zangu.
Kuna hatari ya kukanyagwa kama utakuwa wa kujishusha mara kwa mara.Ingekuwa Mwaka 47 na Wazee wetu wanatumia hasira za hivyo, nahisi wote tungelelewa na Single Parent
Ili kusolve hilo jambo lako, ulipaswa ujishushe
Ukiona Mkeo/Mumeo amekasirika Kwa kiwango hicho, hakuna budi mmoja wenu ajishushe ili kuweza kuhimili atmosphere ya wakati huo
Otherwise Ndoa zetu wote zingekuwa zimeshavunjika kitambo.
Huenda Mkeo amegundua usaliti unaomfanyia at her back, hivyo akapandwa na hasira hadi kufikia huko mlikofikia
Lazima Kuna sababu kubwa nyuma ya hasira za mkeo
Sio vibaya kujishusha na kuongea naye Kwa upole ili kutafuta suluhu
Jiran za asubuh! Binti Sayuni03Mimi ndiyo maana sitaki kuolewa na mtu wa kanda ya ziwa
Hili linaweza kuwa chanzo.Uwe unaangalia zingine huwa ni nyege
badala yake nakutana na matusi na dharau zisizo na sababu.
Wee kwanza ulishavurugwa na mapenzi ata kuolewa usioleww baki singleMimi ndiyo maana sitaki kuolewa na mtu wa kanda ya ziwa
Ni kweli Mkuu, hasira hasara na mafahari wawili hawakai zizi mojaAhsante kwa ushauri wako. Nimejifunza kuwa wakati mwingine ni muhimu kujishusha ili kuepuka migogoro, lakini pia heshima ni jambo la msingi.
Wazee wetu walikuwa hawana access nyepesi ya mbususu kama Sasa, mtu anatongoza miezi 6 mzigo hajala kwanini asivumiliane na aliyepo ndani?Unadhani wazee wetu walikua na wanawake walio tofati na hawa tulio nao?
Wanaume embu tuwe wanaume aisee!