Wake zetu Shida ni nini?

Wake zetu Shida ni nini?

Ukiona hayo ima:
1.kashapata jamaa pembeni
2.karithi kwa mama yaani mamake ndo kichwa.
ukikomaa haina haja ya kupiga acha adharau kisha acha aende kwao
Mwanangu nje kuna wanawake wengi mnoo.
Just baada ya kchapo kakimbilia kumpigia mama yake! Huu ushauri na uzingatia. Kesho anaenda kwao kwaajili ya break ndefu.
 
Nimetoka kuhangaika na mishemishe za maisha, nimechoka na nimejaa mawazo.

Nafika nyumbani nategemea amani, badala yake nakutana na matusi na dharau zisizo na sababu.

Yeye mwenyewe kachukua simu, kapiga kwao eti anarudi na abaki huko huko!

Kuanzia kesho mimi ni single rasmi, na hili liwe fundisho kwake na kwa wengine wote: mwanaume naye ana mipaka ya kuvumilia.

Kipigo cha leo sio hasira tu, bali ni somo atakalolikumbuka maisha yake yote.
Unadhani wazee wetu walikua na wanawake walio tofati na hawa tulio nao?

Wanaume embu tuwe wanaume aisee!
 
Unadhani wazee wetu walikua na wanawake walio tofati na hawa tulio nao?

Wanaume embu tuwe wanaume aisee!
Unataka tuwe wanaume kwa kuvumilia huu ujinga? Version ya zamani sio hii ya sasa. Kuna matukio ya ajabu yanatokea ,lakini ukiwa nje ya mfumo unaweza ukasema maneno yote, sasa ingia ndani ujionee.
 
Back
Top Bottom