Nipo tayari wanipeleke tuDawatini kesho
Pole sana mkuu wana majaribu sana.Amekuwa kila siku ananijibu majibu ya ajabu ajabu. Leo nilikuwa nimesha be stressed kazini tayari, alivyo jileta tu, nikasema hasira zote analipia yeye.
Hatuna watoto hata wa kusingiziwa.Mnawatoto?
Nikiendelea kuishi naye naweza kufanya kitu kbaya.Safari bado
kua uyaone ndo hayo sasa..
Mkuu, jibu alilonipatia nikajikuta nishapiga mtama na ngumi juu. Nilishindwa kabisa ku' control hasira zangu.
Asante sana! Nimepoa baada ya kumtembezea kichapo.Pole sana mkuu wana majaribu sana.
Daa sasa Mjinga kama huyo anakusumbua kwanini fukuza. Yaani hakuna kitu kibaya kama mwanamke kukutolea maneno machafu na dharau akifika level hiyo kutmbwa njee ni kugusa tu.Hatuna watoto hata wa kusingiziwa.
Just baada ya kchapo kakimbilia kumpigia mama yake! Huu ushauri na uzingatia. Kesho anaenda kwao kwaajili ya break ndefu.Ukiona hayo ima:
1.kashapata jamaa pembeni
2.karithi kwa mama yaani mamake ndo kichwa.
ukikomaa haina haja ya kupiga acha adharau kisha acha aende kwao
Mwanangu nje kuna wanawake wengi mnoo.
Kosa ni lake usijejiloga ukajishusha kuomba msamaha kwa ulichomtenda.Asante sana! Nimepoa baada ya kumtembezea kichapo.
PoleeeMkuu, jibu alilonipatia nikajikuta nishapiga mtama na ngumi juu. Nilishindwa kabisa ku' control hasira zangu.
Unadhani wazee wetu walikua na wanawake walio tofati na hawa tulio nao?Nimetoka kuhangaika na mishemishe za maisha, nimechoka na nimejaa mawazo.
Nafika nyumbani nategemea amani, badala yake nakutana na matusi na dharau zisizo na sababu.
Yeye mwenyewe kachukua simu, kapiga kwao eti anarudi na abaki huko huko!
Kuanzia kesho mimi ni single rasmi, na hili liwe fundisho kwake na kwa wengine wote: mwanaume naye ana mipaka ya kuvumilia.
Kipigo cha leo sio hasira tu, bali ni somo atakalolikumbuka maisha yake yote.
Siwezi nikaomba msahama, na sijafikiria kuomba msahama mwanamkeKosa ni lake usijejiloga ukajishusha kuomba msamaha kwa ulichomtenda.
Kama ni mke wako kaa nae chini myamalize muulize shida nini kwa upole sana ila kama ni mpenzi tu na hauna malengo yoyote piga chini endelea kutafta hela.
hiyo kitu nilikataaAkienda aende na asirudi. Mwanamke ukimuendekeza anakugeuza msukule wake.
Maana kiburi yake itapanda iwe kama ile ya wanasimba baada ya kutinga fainali.Siwezi nikaomba msahama, na sijafikiria kuomba msahama mwanamke
Unataka tuwe wanaume kwa kuvumilia huu ujinga? Version ya zamani sio hii ya sasa. Kuna matukio ya ajabu yanatokea ,lakini ukiwa nje ya mfumo unaweza ukasema maneno yote, sasa ingia ndani ujionee.Unadhani wazee wetu walikua na wanawake walio tofati na hawa tulio nao?
Wanaume embu tuwe wanaume aisee!