Umesema ana hiyo tabia ya kukudharau, shida iko kwako. Unaachaje tabia inajenga mazoea? Pale anapoanza tabia isiyokubalika ungeanza kumkanya. Umesubiria imeota mizizi akakupanda kichwani.
Ulipompiga angenyooka, sasa hivi ungekuwa unaongea mengine. Usiwe na tabia ya kumpiga yeyote, watu wanatembea na umauti, sababu utakuwa niwewe kumbe ahadi yake imefika. Mapenzi hayashauriwi, ila mlipofikia kwanza kila mtu, atawanyike, hasira zikiisha na mkijiona bado mnapendana mtatafutana. Poleni ndiyo mahabati hayo...