Wake zetu Shida ni nini?

Wake zetu Shida ni nini?

Kama ni mke wako kaa nae chini myamalize muulize shida nini kwa upole sana ila kama ni mpenzi tu na hauna malengo yoyote piga chini endelea kutafta hela.
Asante kwa ushauri, lakini siwezi nikaa nae chini labda mwanamke mwingine.
 
Unataka tuwe wanaume kwa kuvumilia huu ujinga? Version ya zamani sio hii ya sasa. Kuna matukio ya ajabu yanatokea ,lakini ukiwa nje ya mfumo unaweza ukasema maneno yote, sasa ingia ndani ujionee.
Oky boss.
 
Nimetoka kuhangaika na mishemishe za maisha, nimechoka na nimejaa mawazo.

Nafika nyumbani nategemea amani, badala yake nakutana na matusi na dharau zisizo na sababu.

Yeye mwenyewe kachukua simu, kapiga kwao eti anarudi na abaki huko huko!

Kuanzia kesho mimi ni single rasmi, na hili liwe fundisho kwake na kwa wengine wote: mwanaume naye ana mipaka ya kuvumilia.

Kipigo cha leo sio hasira tu, bali ni somo atakalolikumbuka maisha yake yote.
Kwahiyo umempiga?
 
Nimetoka kuhangaika na mishemishe za maisha, nimechoka na nimejaa mawazo.

Nafika nyumbani nategemea amani, badala yake nakutana na matusi na dharau zisizo na sababu.

Yeye mwenyewe kachukua simu, kapiga kwao eti anarudi na abaki huko huko!

Kuanzia kesho mimi ni single rasmi, na hili liwe fundisho kwake na kwa wengine wote: mwanaume naye ana mipaka ya kuvumilia.

Kipigo cha leo sio hasira tu, bali ni somo atakalolikumbuka maisha yake yote.
Kwahiyo umempiga mkuuu 🥱 🥱 🫵 😃
 
Okay, sawasawa
Sikupenda kufikia hatua hiyo, lakini kila mtu ana kiwango cha uvumilivu.
Nilitafuta njia ya amani kwa muda mrefu, lakini dharau, matusi na kutojali vilivuka mipaka.
Hata hivyo, najua kutumia nguvu siyo suluhisho bora , lakini wakati mwingine mtu akichokozwa kupita kiasi, hutokea.
Sitetei kosa, lakini pia siwezi kuruhusu nidhalilishwe kila siku kama sina thamani.
 
Back
Top Bottom