buchenza
Senior Member
- Aug 24, 2012
- 190
- 66
Wana JF naomba kuwasilisha mada yangu leo ili tuijadili kwa kina labda tunaweza kupata ufumbuzi tahdhari mada yangu haijalenga din. ni kwamba mtu unakuta ana wake wawili anashi nao kila mke anakwake, amewapangia zamu za kuishi nao kila wiki mbilim kwa mwezi ,sasa wana JF nifahamishe kweli mwanaume anawamudu katika tendo la ndoa kweli ,nadhani labda wanwake walioko kwenye ndoa kama hizi watweza kutujulisha vizuri .maana siku hizi hata mmoja shughuli je wawili mpaka watatu inakuwaje