Nimejitahidi sana kutaka kuelewa sababu gani viongozi wote wa juu wamekaa kimya juu ya haya ya KIBAGUZI yanayoendelea nchini.
Na kibaya zaidi ukisikiliza maneno yanayozungumzwa utagundua sii hoja ya NCHI wala MUUNGANO isipokuwa watu wake. (Wazanzibar vs Watanganyika)
Aidha utasikia wakitaja wazi wazi Watanganyika hivi na vile ama viashria vinavyoshabihiana na Watanganyika! Na sasa Watanganyika nao wanafunguka kuwazungumzia Wazanzibar wazi wazi! Halafu viongozi wameufyata kimyaaa, sijasikia kiongozi hata mmoja akikemea haya yanayoendelea!
Niseme tu kwamba hata katika Ndoa watu hutarakiana sii kwa sababu na Nikah (ndoa yenyewe) bali wanandoa wenyewe hawana mapenzi tena. Hivi kweli tumefikia hatua hii? na kama tutauvunja Muungano wetu katika hali hii mnadhani kuna AMANI tena?
Maasalaam.
Na kibaya zaidi ukisikiliza maneno yanayozungumzwa utagundua sii hoja ya NCHI wala MUUNGANO isipokuwa watu wake. (Wazanzibar vs Watanganyika)
Aidha utasikia wakitaja wazi wazi Watanganyika hivi na vile ama viashria vinavyoshabihiana na Watanganyika! Na sasa Watanganyika nao wanafunguka kuwazungumzia Wazanzibar wazi wazi! Halafu viongozi wameufyata kimyaaa, sijasikia kiongozi hata mmoja akikemea haya yanayoendelea!
Niseme tu kwamba hata katika Ndoa watu hutarakiana sii kwa sababu na Nikah (ndoa yenyewe) bali wanandoa wenyewe hawana mapenzi tena. Hivi kweli tumefikia hatua hii? na kama tutauvunja Muungano wetu katika hali hii mnadhani kuna AMANI tena?
Maasalaam.