Wakazi wa Mbeya wanaishi maisha mazuri na yenye furaha kuliko wa wakazi wa Dar es Salaam

Pamoja na hayo yote ila wakazi wa Mbeya wanatamani,wanashauku kuja Dar.
Dar ni jina tu, maisha ya wakazi wake 90% ni ya hovyo sana.
Tatizo ukizoe kuishi Dar unahisi mikoani ni pa hovyo lakini ukweli kwamba mikoani ni patamu ukiwa na pesa.
Arusha
Mbeya
Moro
Kilimanjaro
Hii kwangu ni mikoa bora kuishi hasa kwa hali ya hewa na mandhari yake
 
Mbeya ni kijiji tu kilichochangamka...

Mbeya hela ipo na mzunguko upo tatizo watu wake bado hawajaendelea sijui shida ni nini..
Maendeleo gani mkuu kama mzunguko wa hela upo watu wanakosaje maendeleo?au unadhani maendeleo ni kuvaa vimini na vipedo au tuwe kama wamakonde na watu wapwani walioipuuza lugha yao?
 
Maendeleo gani mkuu kama mzunguko wa hela upo watu wanakosaje maendeleo?au unadhani maendeleo ni kuvaa vimini na vipedo au tuwe kama wamakonde na watu wapwani walioipuuza lugha yao?

ulipaswa kuishia hiyo mistari miwili ya mwanzo ndio busara halafu ukasubiri majibu..

Mbeya ina mzunguko mzuri wa hela na hela ipo pale mtaani tatizo watu wake bado hawajaendelea....kuendelea ni pamoja na kukaa kwenye makazi bora au kujenga makazi bora..kuendelea ni pamoja na kuwa na ustaraabu usio na imani potofu, kuendelea ni pamoja na watu wengi kuwa na uelewa wa mambo...

Mbeya bado watu wanaishi kwenye makazi duni, Mbeya bado watu wengi wana imani potofu aka ushirikina.... Ukichunguza sana utaelewa ninaposema Mbeya ni kijiji kilichochangamka... tujaribu kujadili maana yangu sio kuwadharau bali ni uhalisia niliouona..
 
Dar ni jina tu, maisha ya wakazi wake 90% ni ya hovyo sana.
Tatizo ukizoe kuishi Dar unahisi mikoani ni pa hovyo lakini ukweli kwamba mikoani ni patamu ukiwa na pesa.
Arusha
Mbeya
Moro
Kilimanjaro
Hii kwangu ni mikoa bora kuishi hasa kwa hali ya hewa na mandhari yake
Imagine hii bahati kwetu mbeya halafu naishi kilimanjaro dar nikipita sikai hata wiki joto, mbu, harufu mbaya kila mahali vinanishinda
 
Imagine hii bahati kwetu mbeya halafu naishi kilimanjaro dar nikipita sikai hata wiki joto, mbu, harufu mbaya kila mahali vinanishinda
Nimeishi Dar tangu utotoni but siku hizi siipendi hata kidogo.
1. Foleni..zinapunguza muda wa kazi
2. Foleni zinaleta stress
3. Foleni zinachosha mwili unaamka mapema unachelewa kurudi.
4. Mbu.
5. Joto
6. Uchafu uliokithiri
Aaagh watu wenyewe most of them wanaishi kitapeli tapeli tu
 
ulipaswa kuishia hiyo mistari miwili ya mwanzo ndio busara halafu ukasubiri majibu..

Mbeya ina mzunguko mzuri wa hela na hela ipo pale mtaani tatizo watu wake bado hawajaendelea....kuendelea ni pamoja na kukaa kwenye makazi bora au kujenga makazi bora..kuendelea ni pamoja na kuwa na ustaraabu usio na imani potofu, kuendelea ni pamoja na watu wengi kuwa na uelewa wa mambo...

Mbeya bado watu wanaishi kwenye makazi duni, Mbeya bado watu wengi wana imani potofu aka ushirikina.... Ukichunguza sana utaelewa ninaposema Mbeya ni kijiji kilichochangamka... tujaribu kujadili maana yangu sio kuwadharau bali ni uhalisia niliouona..
Unayaongelea maeneo gani ya Mbeya yenye makazi duni kuliko Dar?
Ilolo= Kigogo
Mabatini= Buguruni
Nonde= Keko mwanga
Mamajoni= Mburahati
Makunguru= Manzese
 
ulipaswa kuishia hiyo mistari miwili ya mwanzo ndio busara halafu ukasubiri majibu..

Mbeya ina mzunguko mzuri wa hela na hela ipo pale mtaani tatizo watu wake bado hawajaendelea....kuendelea ni pamoja na kukaa kwenye makazi bora au kujenga makazi bora..kuendelea ni pamoja na kuwa na ustaraabu usio na imani potofu, kuendelea ni pamoja na watu wengi kuwa na uelewa wa mambo...

Mbeya bado watu wanaishi kwenye makazi duni, Mbeya bado watu wengi wana imani potofu aka ushirikina.... Ukichunguza sana utaelewa ninaposema Mbeya ni kijiji kilichochangamka... tujaribu kujadili maana yangu sio kuwadharau bali ni uhalisia niliouona..
Hayo mambo ya ushirikina mi nayaona huku Dar hasa huku kwenye vi-surbubs utaona mara nazi imevunjwa mara beach watu wanawanga wamechinja mbuzi nk mbn kwetu sisi hatuoni hayo mambo?
 
watu wa Mbeya alie waambia muuze supu ya kitimoto ni nani? nilipga supu moja uyole sijui njia ya kwenda tukuyu/kyela sitakaa nirudie mimi
Ha ha ha !Thupu ya kitimoto?
Mkuu ulianza ku troti kama kiti fire na kupiga kwi kwi?
 
Haya maisha ya daslam chumba Cha kupanga Cha 40 kipo kama stoo alaf usahilini balaa uchaf kila sehem joto na mbu usiku huwez kulala vzuri bad kuamka n mapema sana na kurud nyumbani n kuchelewa balaa wanao furahia maisha ya daslam n wachache na wanaoish kwa stress ni wengi
 
Back
Top Bottom