Mbagala hakuna shida usituharibie jina letu zuri
1. Mbagala utumbo wa ng'ombe Ni elfu tatu,
2. Mbagala maji Ni mengi sana hata DAWASA hatuna shida nao, ukichimba kidogo tu unakunywa maji.
3. Magengeni na masokoni hakuna Tena Dar kwenye vitu rahisi Kama Mbagala.
4. Mbagala guest house self yaani choo na bafu humo humo Ni buku tano Hadi kumi. Vyumba vya kawaida Hadi buku tatu unapata, short time Ni buku yako au mbili unapata burudani na Dada utamu.
5. Mbagala chumba Cha kupanga ni kuanzia elfu kumi ukitaka Cha heshima sana 20k.
6. Mwanamke wa kimbagala hawana complication ktk kuvaa, Madera yake ya kutosha na seheme ya kuongea umbea.
7. Mbagala watu wanaazimana Hadi mawigi.
Nasikia Kinondoni Kuna sehemu wananyoa nywele elfu ishirini, kwa Mbagala hiyo Ni bajeti ya kunyoa miaka kadhaa.
Tunao ijua Mbagala hatuhami.