rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 17,299
- 24,198
BuzaTemeke hakuna sehemu inayoitwa mparange
BuzaTemeke hakuna sehemu inayoitwa mparange
Hakuna njia nyingine zaidi ya hiyo Kwa mpalangeSawasawa boss,. tofauti na kupita kwa mpalange hakuna njia nyingine labda..!?
Kama hakuna mvua hata saloon zinapita bila shida ni bonge moja ya shortcut ya ukwel Sana... daily napita hiyo njia asubuh inatusaidia sanaUkiwa na SUV kama yangu kunapitika vizuri kabisa. Wenye Saloon nadhani ndio wanapata shida kidogo.
Kumbe na wewe ni mkazi wa huko au ndio kufika kwako ni lazima upite huko, Ha ha ha ha!!!Kama hakuna mvua hata saloon zinapita bila shida ni bonge moja ya shortcut ya ukwel Sana... daily napita hiyo njia asubuh inatusaidia sana
Kama kawaida Mkuu...Kumbe na wewe ni mkazi wa huko au ndio kufika kwako ni lazima upite huko, Ha ha ha ha!!!
Utakuwa unaishi senkenke sio kwa ugeni huoSamahani hivi kwa mpalange iko ndani ya mbagala nayo.!?
Usipate tabu mimi nitakupeleka.Barabara zake zinapitika...?!
nikupeleke lini hajjat.??Napaskia tuu mkuu,.kama usafiri wake si wa shida nitapenda kwenda kupaona,..😊
Mbagala kugumu sana kuishi aisee! Kuna wakati miaka hiyo nasoma chuo niliishi Mbagala Charambe kwa bro wangu mjeda!
Kudadeki nilikoma! Maana ilinilazimu wakati wa mitihani na vile vipindi vya asubuhi, kuamka saa 10 alfajiri. Enzi hizo unakuta gari za pekee ni zile Toyota DCM tu!! Na hapo unakuta kuna wakuda wanazunguka na gari kuanzia maeneo ya Zakhem na kule mbe wapi sijui!!
Kitu kikija unakuta kiko full!! Ni mwendo wa kudandia tu na kupigana vikumbo mlangoni! Wengine wanarukia madirishani!!! Huko mnatakiwa mtengenezewe barabara ya njia 8 maana karibia nusu ya "Wanyonge" wote wa magufuli, wanatokea huko.
Jana majira ya saa 11 jioni nimetoka kunuanua dawa Nakiete pale Mwenge nikapita juu Kijazi one way mpaka 80 kph mpaka Mfugale. Pale nikawazaaaaaa kabla taa hazijaruhusu nipite wapi?.......nikajipa moyo nipite Mbagala. Daah kilichonikuta sitasahau.Mimi naomba kama kuna wakazi wenzetu wa mbagala tusimame tuwe kitu kimoja juu ya adha ya usafiri....
tupaze sauti zetu kupitia majukwaa ya jamiiforum mpaka tweeter ili serikali walione Hilo maana kama ni adhabu basi huku mbagala imefika shingoni
Mkuu pole Sana hiyo barabara ya mbagala ni jehanamu ya wakazi wa mbagala....Jana majira ya saa 11 jioni nimetoka kunuanua dawa Nakiete pale Mwenge nikapita juu Kijazi one way mpaka 80 kph mpaka Mfugale. Pale nikawazaaaaaa kabla taa hazijaruhusu nipite wapi?.......nikajipa moyo nipite Mbagala. Daah kilichonikuta sitasahau.
Huwa nakunja mfugale, Lumo, Buza, Kwa Mparange, Kilungule mpaka Matitu.
Aisee! Hii kazi iliyonileta huk iishe nihamie nnakokutaka.
usipate tabu, mimi napafahamu ninaweza nikawa mwenyeji wako..karibu sanaNapaskia tuu boss,ndio maana meuliza,.
Temeke,naomba nikakutembeze uijue Mpalange na vitongoji vyake.Samahani hivi kwa mpalange iko ndani ya mbagala nayo.!?
Temeke-Buza.Temeke hakuna sehemu inayoitwa mparange
Ukishatoka kiburugwa unaingia kwa mparange ambayo imepakana na buza na nyantira ule mto ndio uliotenganisha hii miji na kuna daraja pale linajengwa ambalo litatokea kiburugwa......so ukiwa buza pale chini unaiona mparange juu ya mto vizuri tuTemeke hakuna sehemu inayoitwa mparange
Tunashukuru....huku mbagala ni Kama mkoani kwa Sasa ...ukitoka kariakoo saa tano, unafika zakhiem saa kumi..sehemu ya dakika ishirini tunatumia masaa kibao...huyo diwani wetu shoga angu alikuwa swala tano. Lkn ndio hivyo tena kafa kishujaaHivo karibuni tena diwani wa mbagala kuu kafa kishujaa.....poleni sana wakazi wa mbagala.