Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
Kitendo cha kutuambia tufunge biashara zetu kisa kikwete anakuja kwenye shughuli za kisiasa kimeni kera sana...Jana tumepokea taarifa tukiambiwa tusifungue ofisi zetu kuanzia saa saba mchana kwa majengo yenye gorofa yaliyo karibu na uwanja wa sheikh Amri Abeid...eti kwa usalama wa JK...cha kushangaza soko la crocon lilioko umbali wa takribani km 1 nalo limeamliwa kufungwa eti waka msikilize JK na CCM yake, je hizi siyo njia chafu zinazotumiwa na CCM kuhakikisha wana pata watu wengi mikutano yao kwani hata Dar tulishuhudia CCM ikikodisha magari ili yasafirishe watu kwenda na kurudi kwenye uwanja wa jangwani...sijui mikoani anatumia mbinu gani zingine...