Wakati wa mimi kusema umefika


Watu mnamtukana Mama zenu na Dada zenu na wake zenu kwa kudhani kuwa Mnamtukana Deus F Mallya. Poleni sana
 
Last edited by a moderator:
Acha kupotosha mkuu dialo kaingiaje kwenye Haki saga .umma wa watanzania unataka kujua who was behind chacha death

Hii lugha ina wenyewe usijitie kichwa kichwa,ona unavyoumbuka sasa lol!
 
nimesoma nimekuelewa ndugu mallya
lakini ni lini utasema? Pia kinachonitia mashaka ya unachotaka kusema ni kujitokeza kundi linalopinga wewe kusema. Hili kundi ni la nani? Liko chini ya nani? Wanataka unyamaze kwa faida za nani?

wewe deusi,fahamu kuwa hata kama utatumia 'id'ya kichina utafahamika tu mdogo wangu!
-jaribu kuzifikiria pesa wakati huo jipime future yako itakuwaje baadae,maana siamini kwamba mwanzo wakati upo dodoma mahakamani ulikuwa na ugonjwa wa akili eti sasa ndiyo umepona unataka kujisahihisha!
"jiulize katika ile ajali kuna siku wanachadema waliwahi kukutuhumu kuwa unahusika na kifo cha wangwe?,
maana hawa wanachadema ambao unataka kuwachafua na tuhumu za kupandwa kama hizo.
Wao ndio walio kuwa mstari wa mbele kuku tetea na kweli wengi tulikuamini pale ulipo jieleza.
Japo yawezekana kuna wengine hawakukuamini na hasa wana c.c.m,na zaidi ni wale makada wa chama ambao naamini walikuwa wanajua kila hatua ya movie dhidi ya wangwe kwa uhusika wao.
 
Ni aibu, kama kuna namna tuliyomalizwa ni namna tuliyofanyiwa vijana wetu wote wakawa mataahira. Aliyetufanyi hivi katuweza, sijui alitumia vyakula vya watoto au alitumia dawa za chanjo mimi sijui.

Kama Taifa sasa ni lazima tufanye kila namna kujua kinachowafanya vijana wetu kuwa mataahira, hasa wanaojitokeza kuingia katika siasa. Aina hii ya vijana ni hatari kwa usalama wetu na nchni yetu,kwa namna hii kuna kila dalili Taifa hili litamezwa huko mbeleni. Kuna wale wa kike ambao mimi nilidhani ni tabia za umalaya hasa zinazosababiwa na tamaduni na tamaa za badhii ya makabila yetu, sasa hawa wa kiume ambao hawawezi kuona na kujadili matatizo yetu ya kijamii na kiuchumi wao kila wakati ni kujadili watu na kujenga chuki miongoni mwetu?
 
Kuelekea uchaguzi tutasikia mengi sana. Tutaambiwa yooote yaliyo hovyo na ambayo hayasitahili kusemwa. Wewe mahakamani ulishindwa KUJITETEA na siri kila siku zinavuja unavyotumika vibaya kama dodoki. Wewe sema tu yote usitishie humu,maana wenzako walitengeneza Mkanda wa ugaidi ukweli ukajulikana. Na wewe sema ukweli tu.
 
mbona mnahangaika sana? Kwani mmeshajua anachotaka kusema?

kijana hatuja jua ndiyo lakini kutoka na uzi fulani hapa jukwaani uliokuwa unahusu yeye deusi mallya na antoni diallo kupanga kutumia ajali ya wangwe kama sehemu ya mapambano ya harakati za kisiasa dhidi ya chadema,hapo ndipo tunaunganisha hoja nakupata jibu la moja kwa moja kuwa.yawezekana ni kweli deusi atakuwa amehongwa vijisenti ili achafue viongozi wa chadema kwa kipindi hiki cha uchaguzi mkuu wa chama.
"ila sitaki kuamini kuwa wewe deusi mallya umekuwa mtu wa kuhongwa na kukubali kutumika na mafisadi wa c.c.m kiasi hiki!"
 

Hii imeenda mbali zaidi!



Mkuu Pasco unajua hapa umewagusa wengi !
Najua unaweza kuweka list inayoeleweka na hasa ya Waheshimiwa.Naomba kukumbusha kuwa Jamii ya Wanafiki ndiyo yenye kuishi maisha ya Kiujanja kama hayo ya Kutishia ili kutikisa kibiriti kwa malengo fulani.
Unajua hata Mkuu wa Kaya alisema;





Suala linaloumiza vichwa vya watu na kuendelea kwa Jamii kuhoja tukio ni kwa sababu ya hilo ulilolidokeza.
Kwa mtu anayefikiri Kauli ya kuweka akiba kwenye kuweka wazi Jambo linazua Maswali yasiyo na Majibu.

Tuchukue mfano Mdogo wa kipenzi Chako Edo- yeye aliweka wazi kuwa Tatizo lilikuwa Uwazi Mkuu wake.
Na hilo kwa watu wanaofirikiwa mpaka sasa watakuwa wamekwisha pata Majibu.

Mwakeyembe -Waziri
S.Siita usiseme!
na team mzima ........
Utaona kuwa pamoja na Kazi nzuri lakini nyuma ya Pazia kulikuwa jambo jingine!



Mkuu Pasco mara nyingi watu wanaoshiriki kazi haramu wako tayari kwa kila jambo.
 
Hiyo ni hatua ya pili ya kimahakama lakini ya hatua ya kwanza ni umma kuelewa andiko lake Deus Mallya kwanza kwa ufafanuzi wa kifasihi kama ilivyoonyesha na iwapo siyo kweli yeye yupo hapa jukwaani atakuja kukanusha.
 
- HA! HA1 HA! HA! HA! mbona mnaaanza kutoka mapovu kabla mwananchi hjasema lililotokea mnajua kumbe kilichotokea ha! ha!

Le Mutuz

Watu huwa wanasema mchawi akionekana wakati analoga/anawanga, basi huo uchawi wake hautofanya kazi. Na kwa mlinganisho huo basi, si huyu huyu malya last time kuna post imewekwa hapa kuwa wanatengeneza issue na dialo itoke kama ushahidi wa kuihusisha CDM na kifo cha Chacha Wangwe? Kama iligundulika na ikaletwa hapa, sasa anataka kusema nini tena na walishabainika? Sana sana ningemshauri atafute njia ya kumrudishia dialo hela yake, dili imebumburuka
 

Umempa live bila chenga,wanataka kuleta uwongo wao hapa JF kwa mpango wa Dialo!
 
Chadema wakisikia sauti ya deus mallya vyupi vinagonga gonga huko
 

Hurufu mbaya
 
Ulikua wapi siku zote?, tuiite nini hii? maana ni zaidi ya njaa na unafiki uliokubuhu,
Nyie mnaoekti uana siasa ni washenzi sana......

Anataka kuushangaz ulimwengu huyu kijana....
Hayo anayotaka "kuyaongea" sijui nitofauti nayale aliyoyatoa polisi kipindi kile ama!

Kuna kila dalili ya mtu kutumiwa hapa sio bure
 
Deus Mallya bora useme tu ukweli.. Chadema wamekutukana sana..Sasa hivi wanataka kukuua
 
Miaka mitatu jela baada ya wiki mbili msamaha kutoka kwa rais(taasisi) unayo mazito sana. Tulia. Usitumike. Ongea ukweli.
 
Huna lolote wewe mbwiga, ni njaa tu inayokusumbua.
Ni wazi kuna wanaokuona wewe ndo mtu sahihi kufanikisha malengo ya kisiasa katika kipindi hiki, na hasa kule tuendako 2015. Jihadhari nao sana ndugu yangu, kwa maana hao watu kama wanaweza kukutumia uende kinyume na kile ulichowahi kukieleza polisi na baadaye mahakamani ktk ile kesi, kesho hawatasita kukuundia zengwe ili wakufute kabisa kama lengo lao la kisiasa hutalitafanikiwa.

Heshimu utu wako, waheshimu wale wote waliopigana pamoja nawe wakati wa kesi yako.Linda hata heshima ya hakimu/jaji aliyesikiliza shauri lako na hatimaye kutoa hukumu aliyoitoa.

Usikubali kutumika kirahisi namna hiyo ndugu....Ebu tazama waliopata kutumiwa na hao walikupa wewe deal, leo hii wko wapi...wamwpata nini cha maana, baada ya kumaliza mission zao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…