Wakati wa mimi kusema umefika

Propaganda za kuelekea uchaguzi mkuu wa 2015 kuna mengi yatajitokeza. Mi nakushauri kijana kama unatafuta umaarufu kwa kupitia marehemu ujue unajitafutia matatizo, fanya kazi za halali ujipatie kipato cha halali na Mungu atakulinda na kukubariki vinginevyo Mungu atakuacha uangamie. Jeshi la Polisi lilishafanya kazi yake na kumaliza na wewe kutoa ushahidi wako, kama ulidanganya na kuficha ukweli inamaana wewe ulihusika moja kwa moja na kifo cha marehemu Wangwe kwa hiyo adhabu uliyopewa ya uzembe haikustahili bali ulitakiwa ushitakiwe kwa kuua kwa kukusudia na adhabu yake iwe ni kunyongwa mpaka ufe.
 

Kwenye fasihi hapo ndiyo kunanini wewe ..........fu
Mbona sioni hicho alichosema kifasihi.
Kama anaweza afunguke tu,
 

Duh "Benazir" !

Sasa mimi naingiaje hapa? Povu ulilotoa hapa linatosha.Niongeze lingine la nini?
 

Naona mapovu tuuuu. Shangilia atanyongwa soon sasa.
Acha kelele
 
Ukiwa Muongo kuwa na kumbukumbu.. Ukiona mbwa anabweka sana jua kuna mwenye mbwa anamsukuma
 

Hahahahahaaah
Kwani umejua anachotaka kusema?
Acheni kujistukia
 
Huyu Malya nadhani karukwa akili maana kila siku anasema, 'nitasema, nitasema', kama huna la kusema kaa kimya. Wewe inaonesha huna la kusema. Yaelekea bado unaandaa sinema yako, sasa kila ukipima upepo kama watazamaji wataipokea unakuwa huna uhakika.

Tuliza kichwa na akili, kama zimo. Kutumika hakuweza kumwinua mtu zaidi ya siku moja kummaliza. Jifunze toka historia, ni nani aliyetumika halafu siku moja akawa maarufu au kuaminika. Watazame akina Kabourou, Tambwe, Juliana, Mpembwa, Masumbuko, n.k.
 

Mbona mnakimbilia chaka jamaniiiii. Kusema ni kutumika? vitu viwili tofautiii
 
Usimuogope atauwa mwili tu ila roho na ukweli utabaki
 

Attachments

  • 1409563181229.jpg
    64.3 KB · Views: 191
Usichezee Jina la Mungu. Mungu haunganiki na mnafiki na wauaji. Kuendelea kutumia jina lake katika uovu ni kutafuta laana zaidi maana ulikwishalaanika wewe na vizazi vyako mpaka kizazi cha 4.

 
We nae Mallya ni mnafiki tena haufai ktk jamii, inakuaje unaficha uovu mpaka leo ndo unataka kutuaminisha upuuzi gani
Hapa au mmeshndwa kuelewana kwahyo ukaona utibue
Kabla ya kutibua jihukumu kwanza kwa ujinga wako
 
Pole sana kiongozi na vitisho, jipe moyo utashinda
 

Nani alimuua huyu
 

Attachments

  • 1409563310537.jpg
    7.8 KB · Views: 380
Usichezee Jina la Mungu. Mungu haunganiki na mnafiki na wauaji. Kuendelea kutumia jina lake katika uovu ni kutafuta laana zaidi maana ulikwishalaanika wewe na vizazi vyako mpaka kizazi cha 4.

Mmepewa mamlaka hata ya kutoa laana kwa wenzenu? noma sana
 
ha ha haa!

Kasi hii ya siasa za vijana sidhani kama zitaisaidia zitaikwamua nchi yetu toka kwenye umasikini uliopindukia. Sipati picha ingekuwaje endapo Mwl Nyerere na vijana wenzake enzi zile wangeshupalia siasa za namna hii.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…