miamiatz
JF-Expert Member
- Dec 4, 2017
- 504
- 928
1. Kodi lazima iwe jambo la kwanza kuwaza. Hebu waza kwanza ni biashara gani nifanye ambayo haitonilimbikizia mzigo wa kodi? Ni lazima biashara utakayoichagua iweze kukupa faida ya kutosha kuliko kodi utazolipa serekalini. Hii huitwa tax planning.
2. Biashara gani itaakisi hali halisi ya uhaba wa pesa kwenye mzunguuko? Sio lazima ung'ang'ane na biashara ambayo haiakisi hali halisi ya upatikanaji wa pesa mtaani. Waza biashara za bidhaa ama huduma ambazo ni necessities.
3. Iwapo biashara itayumba back up niliyonayo itatosha kuendesha maisha? Kufeli kwa biashara ni kama kukatika kwa umeme wa tanesco. Usipoweka UPS kwenye desktop yako basi umejiandalia balaa.
Ukishapata majibu ya haya masuala matatu basi unaweza kuendelea kujiuliza maswali mengineyo ya ziada.
2. Biashara gani itaakisi hali halisi ya uhaba wa pesa kwenye mzunguuko? Sio lazima ung'ang'ane na biashara ambayo haiakisi hali halisi ya upatikanaji wa pesa mtaani. Waza biashara za bidhaa ama huduma ambazo ni necessities.
3. Iwapo biashara itayumba back up niliyonayo itatosha kuendesha maisha? Kufeli kwa biashara ni kama kukatika kwa umeme wa tanesco. Usipoweka UPS kwenye desktop yako basi umejiandalia balaa.
Ukishapata majibu ya haya masuala matatu basi unaweza kuendelea kujiuliza maswali mengineyo ya ziada.