Mpaka jasho limenitoka!!!Hii topic ni ya darasa la ngapi? Mbona mnayafanya maisha kuwa magumu?
What if there is no event at all, remove events, remove material objects.Time is a lapse between two events
Space and time are interwoven, without space there is no timeWhat if there is no event at all, remove events, remove material objects.
Will time exist in that world?
I did not say remove space. I said remove events, remove material objects. Remove all objects, leave space.Space and time are interwoven, without space there is no time
Mind boggling, i really can't imagine time without event, infact the act of thinking about time is an eventI did not say remove space. I said remove events, remove material objects. Remove all objects, leave space.
Will there be time?
If time is a dimension of space-time, isn't saying "without space there is no time", akin to saying "without width, there is no length"?
Is there a law of physics that prevents a universe in which there is time but no space?
Actually, the singularity has no space and no time.
But can time exist without space?
Per Einstein's Relativity, time is the product of relativity between two events. Remove relativity between two events and there is no time.Mind boggling, i really can't imagine time without event, infact the act of thinking about time is an event
Mkuu upo huku????Mkuu ZENJIBARIA swali zuri lakini mbona uko obsessed na TIME pekee? Vipi kuhusu SPACE?
What is SPACE?
Ngoja nijaribu kujibu swali lako zuri kwa kutumia mifano au analogy.
Kuna vipimo au measures au metrics zonazotumiwa kupimia vitu.
Mfano:
Mji wa DSM sio mji wa MWANZA. Hii miji imetenganisha na SPACE.
Hivyo hivyo mechi ya mpira inayoochezwa leo uwanja wa taifa sio mechi ya timu hizo hizo mbili uliochezwa uwanja wa taifa wiki iliyopita.
Sasa naomba ufuatilie kwa ukaribu sana nitakachokisema:
1. SPACE (au simply DISTANCE) is the METRIC used to measure physical separation between cities e.g., DSM and MWANZA [given TIME].
2. TIME is the METRIC used to measure temporal separation between events e.g., soccer matches. [given SPACE]
Please note.
When measuring TIME you must freeze SPACE and when measuring SPACE you must freeze TIME - au instantaneously.
Hii ndio maana ya hayo maneno kwenye mibano.
Najua pengine nimeleta maswali mengi kuliko majibu.
Nipo mkuu. Nitakuja kwenye jukwaa letu hivi punde.Mkuu upo huku????
Nimefurai kuona bandiko lako la kufikirisha katika dhana nzima ya muda!.
Sent using Jamii Forums mobile app
https://www.facebook.com/moses.simo...le3eXZtQZ2R4urPr2fBwaHm_q-xyWqvwYyxYqUP48B58Ajamani naomba kupata mawazo yenu
kwa pamoja tukae tufikiri kitu ambacho ni cha kawaida sana lakini hatukifahamu undani wake,wakati ni kitu gani? what is time? tujaribu kutoa michango ya hisia zetu wenyewe sio kutoka ya vitabuni na science,tujaribu kusoma mpaka mwisho
ninaposema wakati sikusudii zamani leo na kesho na muda ujao(future) wala sikusudii asubuhi jiona ,saa saba mchana na saa saba usiku
masaa tunayohesabu,siku miezi na miaka ni vipimo tulivyojiwekea wenyewe ili kujua wapi tupo na muda gani,vipimo hivi vimewekwa kutokana na umbile na mazingira ya dunia yetu kama kila mwezi ni kwa muandamo wa mwezi ambao unakuwa na siku 30 hapo ndio tunapata mwezi,na siku tunaipata jua linapochomoza na kupata masaa 12 ya mwangaza wa mchana na kuzama na usiku kuingia kwa masaa 12 hio ndio tunapata siku moja,
vitu vyote hivi ni wakati (time) mchana usiku,mwezi,siku na miaka karne na vingekuwepo hata kama hatuvipimi na kuvipa majina,mwezi ungekuwa unaandama,jua linatoka na usiku unaingia milele na milele
sasa hapa ndio nataka kujua,kama tunaupima au hatuupimi, wakati ni kitu gani?
my take/ na hizi ni fikra zangu mwenyewe sio za vitabuni
1)time is timeless,wakati ni milele na hauna uhusiano wowote na mchana, usiku, mwezi na miaka,
2)time is the whole existance we are in,miaka 1000 iliyopita,sasa hivi na miaka 1000 baadae vyote vipo katika existance moja yaani vyote vinatokea katika wakati mmoja,kinachobadilika ni mazingira na watu tu lakini existance ipo vile vile,wakati haukimbii miaka ilopita wala haiendi mbele kuifata miaka ya baadae.
kwa maana sisi tunavyohesabu siku kama jana au juzi tunahisi kama ni vitu vilivyopita lakini hivi vitu vinatokea katika wakati uliopo tu(present),
tuchukulie kwa mfano
siku moja jua lisimame angani na uwe mwangaza wa mchana tu milele hapo ndio tutaweza kufahamu kuwa wakati hauende mbele,wala haupiti sisi binadamu ndio tunaupita wakati,wakati haupiti ni uliopo tu yaani present
sisi kama binadamu na vieumbe vyengine tunaingia ndani ya wakati tunapozaliwa na tunauwacha na kuupita wakati tunapokufa,na kwa hesabu zetu tulizojipangia kuuhesabu wakati tunaweza kuishi katika wakati kwa siku chache au miaka mia lakini wakati haubadiliki upo tu kama ulivyoukuta ndivyo unavyouwacha
3)time is only present, wakati ni uliopo sasa tu ,jana juzi mwaka jana miaka ijayo ni hisia na mabadiliko yetu sisi binadamu tu.View attachment 535046 View attachment 535047
Hii Einstein's theory of relativity kila nikiisoma sielewi pamoja na general knoledge ya Motion, gravity etc. Yani unapelekwa mbele unarudishwa nyuma.Wakati si kitu chochote, wakati unaonekana kutokea pale vitu vinapopishana mwendo. Ukisimamisha vitu vyote, utasimamisha wakati.
Wakati ni kama mawimbi yanayotokea katika maji ukirusha jiwe kwenye maji.Ukiondoa maji,huwezikuwa na mawimbi.
In fact,huhitaji hata kusimamisha vitu vyote ili kusimamisha wakati.
Ukiweza kwenda at the speed of light, wakati unasimama.
Ukiipita speed of light, wakati unarudi nyuma.
Lakini huwezi.Kitu chochote chenye mass, hata ndogo vipi,hakiwezi kufikia speed of light, kwa sababu kitakuwa na infinite mass and zero space, that is a singularity.
Ila, photons za mwanga na electromagnetic particles nyingine nyingi zinakwenda kwa speed of light.
Kwa mujibu wa hizo particles, ulimwengu hauna wakati, wakati uliopita, uliopo na ujao wote upo pamoja.
Ukisoma Einstein's Relativity haya mambo yameelezewa vizuri sana.