Labda kama wangezua ugonjwa mpya, maana corona hata hao mabeberu inawasumbua hawawezi kuacha kujisaidia wenyewe wasaidie wengineMtarban,
Wakenya siyo wa kuamini mkuu. Wana asili ya kucheza na nyakati. Nadhani hiyo ni maksudi wali wapate misaada toka kwa mabeberu.
Kwa sababu mtaani ninaishi na watuUmefanya research lini na wapi ukaja na majibu kuwa watu hawaumwi?
Huyo jamaa Mtz wa ajabu sana, anapiga tu mayowe huku. Si ajabu hata barakoa hajavaa lakini anaimba mapambio ya korona huku.Hama nchi nenda nchi wanazotangaza wagonjwa wa covid19. Bila shaka nchi hizo wagonjwa wao hawapati maumivu makali kama Tanzania tusiyotangaza au jinyonge usikutwe na covid19
Ni msengerema huyoHuyo jamaa Mtz wa ajabu sana, anapiga tu mayowe huku...si ajabu hata barakoa hajavaa lakini anaimba mapambio ya korona huku.
Hata vifo pia wanaficha?Nimesema hili mara nyingi tu, ifahamike Kenya tumeamua hatutajichokea kwa umaskini kama Tanzania, muhimu sana mkafahamu corona bado haipo sana Kenya kihivyo, hii hali tukiamua kuificha kama Tanzania inafichika tu, maana vifo vyenyewe tangu corona itajwe vimefika 200 kwa miezi yote hiyo, ni idadi ya vifo ambavyo vinaweza kufichika kama tungekua nchi maskini isiyowajali watu wake, pia waliopimwa na kukutwa nacho mpaka sasa ni 15,601 na wengi kati yao hawana dalili, ni ile tu walipimwa kisa waliwahi kuhusiana na walioumwa na kugunduliwa.
Kwa kifupi, nashukuru sana serikali yetu kwka jitihada zake za kuendelea kupima kupima kupima na kutolea taarifa ili tusiishi kwa kujidanganya kama wanavyofanya Watanzania, ni bora sana kupambana na hali badala ya uishi maisha ya kujichokea na kujiaminisha vitu vya hovyoo. Corona ipo, sema kwa Tanzania imewekwa kuwa aibu kwamba hata ukiumwa inabidi uifiche na kuifanya siri ya ndani, majirani wakigundua wanakunyanyapaa, maisha ya hovyoo sana kwa kweli halafu ni sera kabisa serikalini.
Research yako kwamba watu wanaumwa umefanyia wapi, lini na iko wapi?Umefanya research lini na wapi ukaja na majibu kuwa watu hawaumwi?
Si ungesikia watu wanakufa ovyo kwa sababu tz watu tumeshaacha kuvaa barakoaUnaishi nchi nzima?Mtaa wako unaweza kuiwakilisha nchi nzima?Unaelewa maana ya research?
Na vyuoni kuko shwariUnaishi nchi nzima?Mtaa wako unaweza kuiwakilisha nchi nzima?Unaelewa maana ya research?
Unaishi nchi nzima?Mtaa wako unaweza kuiwakilisha nchi nzima?Unaelewa maana ya research?[/QUOTE kwani kuna yeyote humu japo ile kwenda tu Brazil kipindi hiki cha korona? Naamini hakuna ila kila mtu anajua kama wana viwanja vya mpira kadhaa vya makaburi sasa mbona tumejua au ndio Tz inaficha mpaka maeneo ya kuzikia hao wafu wa korona
Hata vifo pia wanaficha?
Unaongeaga ujinga tu sasa Tanzania na Kenya IPI wananchi wake ni masikini? Wananchi wa Kenya hata chakula hawanaMiezi yote hii tangu tuanze kuathirika, tumeshuhudia vifo vya watu 200, ni idadi ambayo inaweza ikafichika kama tungekua aina nchi dhaifu kama yenu na ilio na wananchi dhaifu na maskini waliojichokea hadi hawana uwezo wa kuhoji, ila kwa Kenya ni vigumu sana kuficha maana Wakenya ni balaa, watakuumbua tu, yaani rais Uhuru angethubutu kuyafanya kama ya kwenu angekua ashatupiwa nje nje.
Hiki kirusi sio ugonjwa wa aibu, haina haja kuficha chochote wala kuogopa.
Nimesema hili mara nyingi tu, ifahamike Kenya tumeamua hatutajichokea kwa umaskini kama Tanzania, muhimu sana mkafahamu corona bado haipo sana Kenya kihivyo, hii hali tukiamua kuificha kama Tanzania inafichika tu, maana vifo vyenyewe tangu corona itajwe vimefika 200 kwa miezi yote hiyo, ni idadi ya vifo ambavyo vinaweza kufichika kama tungekua nchi maskini isiyowajali watu wake, pia waliopimwa na kukutwa nacho mpaka sasa ni 15,601 na wengi kati yao hawana dalili, ni ile tu walipimwa kisa waliwahi kuhusiana na walioumwa na kugunduliwa.
Kwa kifupi, nashukuru sana serikali yetu kwka jitihada zake za kuendelea kupima kupima kupima na kutolea taarifa ili tusiishi kwa kujidanganya kama wanavyofanya Watanzania, ni bora sana kupambana na hali badala ya uishi maisha ya kujichokea na kujiaminisha vitu vya hovyoo. Corona ipo, sema kwa Tanzania imewekwa kuwa aibu kwamba hata ukiumwa inabidi uifiche na kuifanya siri ya ndani, majirani wakigundua wanakunyanyapaa, maisha ya hovyoo sana kwa kweli halafu ni sera kabisa serikalini.
660 wamesha kufa Kenya hii ni siri serikali yenu ilikaa na kuamua kuficha vifo kwa zaidi ya nusu huu ni ukweliMiezi yote hii tangu tuanze kuathirika, tumeshuhudia vifo vya watu 200, ni idadi ambayo inaweza ikafichika kama tungekua aina nchi dhaifu kama yenu na ilio na wananchi dhaifu na maskini waliojichokea hadi hawana uwezo wa kuhoji, ila kwa Kenya ni vigumu sana kuficha maana Wakenya ni balaa, watakuumbua tu, yaani rais Uhuru angethubutu kuyafanya kama ya kwenu angekua ashatupiwa nje nje.
Hiki kirusi sio ugonjwa wa aibu, haina haja kuficha chochote wala kuogopa.
Mchoke mara ngapi?Nimesema hili mara nyingi tu, ifahamike Kenya tumeamua hatutajichokea kwa umaskini kama Tanzania, muhimu sana mkafahamu corona bado haipo sana Kenya kihivyo, hii hali tukiamua kuificha kama Tanzania inafichika tu, maana vifo vyenyewe tangu corona itajwe vimefika 200 kwa miezi yote hiyo, ni idadi ya vifo ambavyo vinaweza kufichika kama tungekua nchi maskini isiyowajali watu wake, pia waliopimwa na kukutwa nacho mpaka sasa ni 15,601 na wengi kati yao hawana dalili, ni ile tu walipimwa kisa waliwahi kuhusiana na walioumwa na kugunduliwa.
Kwa kifupi, nashukuru sana serikali yetu kwka jitihada zake za kuendelea kupima kupima kupima na kutolea taarifa ili tusiishi kwa kujidanganya kama wanavyofanya Watanzania, ni bora sana kupambana na hali badala ya uishi maisha ya kujichokea na kujiaminisha vitu vya hovyoo. Corona ipo, sema kwa Tanzania imewekwa kuwa aibu kwamba hata ukiumwa inabidi uifiche na kuifanya siri ya ndani, majirani wakigundua wanakunyanyapaa, maisha ya hovyoo sana kwa kweli halafu ni sera kabisa serikalini.
Tushajikabidhi kwa Mungu hakuna mtanzania ambaye atakuguswa na corona
Tena nchi yenye uchumi wa Kati chini. Lakini tupo kwenye program ya kugawiwa vyandalua. Ila sisi bado hatujagawiwaHalafu inashangaza sana Afrika ya leo yaani aliyekua rais anaaumwa Malaria na kuondoka hivi hivi tu..... Kwanza nilisoma sehemu hata serikali haikujua anaumwa.
unaweza kuta Tanzania kuna visa laki moja na zaidi.Kufikia jana tayari Kenya imerekodi visa 15601 vya wagonjwa wa korona huku visa 700 vikirekodiwa kwa Jana pekee. Hali inazidi kuwa mbaya zaidi kwa nchi hii jirani.
Mwingiliano baina ya raia wa nchi hizi mbili ni mkubwa mno na kama Tanzania ikiendelea kurelax na kuona kwamba hili siyo gonjwa la Watanzania, tunaweza kujikuta tunarudi kule kule tulikotoka.