Vaccine ya Covid-19 ipo karibu kupatikana na wanasayanzi katika chuo kikuu cha Oxford, UK. Uvumbuzi waweza kukamilika hata kabla ya mwaka huu kuisha, lakini inchi kubwa kubwa za US na Ulaya zimelipia hiyo kinga tayari. Zimebook mamilioni ya doses. Itakuwa vigumu kwa inchi za kiafrika kupata sehemu ya hio kinga hivi karibuni.