Wakati nchi ya jirani imerekodi visa 15,601 vya korona, Tanzania inapaswa kuchukua tahadhari kwenye mipaka yake

Vaccine ya Covid-19 ipo karibu kupatikana na wanasayanzi katika chuo kikuu cha Oxford, UK. Uvumbuzi waweza kukamilika hata kabla ya mwaka huu kuisha, lakini inchi kubwa kubwa za US na Ulaya zimelipia hiyo kinga tayari. Zimebook mamilioni ya doses. Itakuwa vigumu kwa inchi za kiafrika kupata sehemu ya hio kinga hivi karibuni.

covid-19-vaccine-min.jpg
 
Mtarban,

Wakenya siyo wa kuamini mkuu. Wana asili ya kucheza na nyakati. Nadhani hiyo ni maksudi wali wapate misaada toka kwa mabeberu.
Labda kama wangezua ugonjwa mpya, maana corona hata hao mabeberu inawasumbua hawawezi kuacha kujisaidia wenyewe wasaidie wengine
 
Hama nchi nenda nchi wanazotangaza wagonjwa wa covid19. Bila shaka nchi hizo wagonjwa wao hawapati maumivu makali kama Tanzania tusiyotangaza au jinyonge usikutwe na covid19
Huyo jamaa Mtz wa ajabu sana, anapiga tu mayowe huku. Si ajabu hata barakoa hajavaa lakini anaimba mapambio ya korona huku.
 
Nimesema hili mara nyingi tu, ifahamike Kenya tumeamua hatutajichokea kwa umaskini kama Tanzania, muhimu sana mkafahamu corona bado haipo sana Kenya kihivyo, hii hali tukiamua kuificha kama Tanzania inafichika tu, maana vifo vyenyewe tangu corona itajwe vimefika 200 kwa miezi yote hiyo, ni idadi ya vifo ambavyo vinaweza kufichika kama tungekua nchi maskini isiyowajali watu wake, pia waliopimwa na kukutwa nacho mpaka sasa ni 15,601 na wengi kati yao hawana dalili, ni ile tu walipimwa kisa waliwahi kuhusiana na walioumwa na kugunduliwa.

Kwa kifupi, nashukuru sana serikali yetu kwka jitihada zake za kuendelea kupima kupima kupima na kutolea taarifa ili tusiishi kwa kujidanganya kama wanavyofanya Watanzania, ni bora sana kupambana na hali badala ya uishi maisha ya kujichokea na kujiaminisha vitu vya hovyoo. Corona ipo, sema kwa Tanzania imewekwa kuwa aibu kwamba hata ukiumwa inabidi uifiche na kuifanya siri ya ndani, majirani wakigundua wanakunyanyapaa, maisha ya hovyoo sana kwa kweli halafu ni sera kabisa serikalini.
Hata vifo pia wanaficha?
 
Unaishi nchi nzima?Mtaa wako unaweza kuiwakilisha nchi nzima?Unaelewa maana ya research?[/QUOTE kwani kuna yeyote humu japo ile kwenda tu Brazil kipindi hiki cha korona? Naamini hakuna ila kila mtu anajua kama wana viwanja vya mpira kadhaa vya makaburi sasa mbona tumejua au ndio Tz inaficha mpaka maeneo ya kuzikia hao wafu wa korona
 
Hata vifo pia wanaficha?

Miezi yote hii tangu tuanze kuathirika, tumeshuhudia vifo vya watu 200, ni idadi ambayo inaweza ikafichika kama tungekua aina nchi dhaifu kama yenu na ilio na wananchi dhaifu na maskini waliojichokea hadi hawana uwezo wa kuhoji, ila kwa Kenya ni vigumu sana kuficha maana Wakenya ni balaa, watakuumbua tu, yaani rais Uhuru angethubutu kuyafanya kama ya kwenu angekua ashatupiwa nje nje.

Hiki kirusi sio ugonjwa wa aibu, haina haja kuficha chochote wala kuogopa.
 
Miezi yote hii tangu tuanze kuathirika, tumeshuhudia vifo vya watu 200, ni idadi ambayo inaweza ikafichika kama tungekua aina nchi dhaifu kama yenu na ilio na wananchi dhaifu na maskini waliojichokea hadi hawana uwezo wa kuhoji, ila kwa Kenya ni vigumu sana kuficha maana Wakenya ni balaa, watakuumbua tu, yaani rais Uhuru angethubutu kuyafanya kama ya kwenu angekua ashatupiwa nje nje.
Hiki kirusi sio ugonjwa wa aibu, haina haja kuficha chochote wala kuogopa.
Unaongeaga ujinga tu sasa Tanzania na Kenya IPI wananchi wake ni masikini? Wananchi wa Kenya hata chakula hawana
 
Nimesema hili mara nyingi tu, ifahamike Kenya tumeamua hatutajichokea kwa umaskini kama Tanzania, muhimu sana mkafahamu corona bado haipo sana Kenya kihivyo, hii hali tukiamua kuificha kama Tanzania inafichika tu, maana vifo vyenyewe tangu corona itajwe vimefika 200 kwa miezi yote hiyo, ni idadi ya vifo ambavyo vinaweza kufichika kama tungekua nchi maskini isiyowajali watu wake, pia waliopimwa na kukutwa nacho mpaka sasa ni 15,601 na wengi kati yao hawana dalili, ni ile tu walipimwa kisa waliwahi kuhusiana na walioumwa na kugunduliwa.

Kwa kifupi, nashukuru sana serikali yetu kwka jitihada zake za kuendelea kupima kupima kupima na kutolea taarifa ili tusiishi kwa kujidanganya kama wanavyofanya Watanzania, ni bora sana kupambana na hali badala ya uishi maisha ya kujichokea na kujiaminisha vitu vya hovyoo. Corona ipo, sema kwa Tanzania imewekwa kuwa aibu kwamba hata ukiumwa inabidi uifiche na kuifanya siri ya ndani, majirani wakigundua wanakunyanyapaa, maisha ya hovyoo sana kwa kweli halafu ni sera kabisa serikalini.

Mbona hapa JF watz wameshindwa kuonyesha wagonjwa wa korona maana hapa ni huru ,korona imesha poteza nguvu kwenye miili yetu, Wakenya wanashutumu magufuli kuficha korona sasa hata Mkapa naye alificha kuwa anaumwa korona? Wapinzani nao wameacha kuchukua tahadhari je? ni Magufuli kawashikia bunduki, hakuna mtz kazuiwa kuvaa barakoa au kujilockdown na ukumbuke kuwa tz kila kitu kimerudi kama kawaida kwanini korona isiue watu hata 20000 kwa siku ,subirini bado siku chache mabeberu watakili kuwa Tz korona imeshindwa nguvu na kujiuliza way? Ndipo wanasayanyi watakuja kuchunguza how.
 
Miezi yote hii tangu tuanze kuathirika, tumeshuhudia vifo vya watu 200, ni idadi ambayo inaweza ikafichika kama tungekua aina nchi dhaifu kama yenu na ilio na wananchi dhaifu na maskini waliojichokea hadi hawana uwezo wa kuhoji, ila kwa Kenya ni vigumu sana kuficha maana Wakenya ni balaa, watakuumbua tu, yaani rais Uhuru angethubutu kuyafanya kama ya kwenu angekua ashatupiwa nje nje.
Hiki kirusi sio ugonjwa wa aibu, haina haja kuficha chochote wala kuogopa.
660 wamesha kufa Kenya hii ni siri serikali yenu ilikaa na kuamua kuficha vifo kwa zaidi ya nusu huu ni ukweli
 
Nimesema hili mara nyingi tu, ifahamike Kenya tumeamua hatutajichokea kwa umaskini kama Tanzania, muhimu sana mkafahamu corona bado haipo sana Kenya kihivyo, hii hali tukiamua kuificha kama Tanzania inafichika tu, maana vifo vyenyewe tangu corona itajwe vimefika 200 kwa miezi yote hiyo, ni idadi ya vifo ambavyo vinaweza kufichika kama tungekua nchi maskini isiyowajali watu wake, pia waliopimwa na kukutwa nacho mpaka sasa ni 15,601 na wengi kati yao hawana dalili, ni ile tu walipimwa kisa waliwahi kuhusiana na walioumwa na kugunduliwa.

Kwa kifupi, nashukuru sana serikali yetu kwka jitihada zake za kuendelea kupima kupima kupima na kutolea taarifa ili tusiishi kwa kujidanganya kama wanavyofanya Watanzania, ni bora sana kupambana na hali badala ya uishi maisha ya kujichokea na kujiaminisha vitu vya hovyoo. Corona ipo, sema kwa Tanzania imewekwa kuwa aibu kwamba hata ukiumwa inabidi uifiche na kuifanya siri ya ndani, majirani wakigundua wanakunyanyapaa, maisha ya hovyoo sana kwa kweli halafu ni sera kabisa serikalini.
Mchoke mara ngapi?

Tena mshukuru hata janga la corona limewaletea mlango atleast wa kupata hata hela za kujikongoja. Nawashauri harakisheni kuchukua hizo hela na kukopa fasta kwa huo mlango, Maana mkichelewa sijui itakuaje maana corona yenyewe stunt yake ishachuja.
 
Tushajikabidhi kwa Mungu hakuna mtanzania ambaye atakuguswa na corona

Halafu inashangaza sana Afrika ya leo yaani aliyekua rais anaaumwa Malaria na kuondoka hivi hivi tu..... Kwanza nilisoma sehemu hata serikali haikujua anaumwa.
 
Halafu inashangaza sana Afrika ya leo yaani aliyekua rais anaaumwa Malaria na kuondoka hivi hivi tu..... Kwanza nilisoma sehemu hata serikali haikujua anaumwa.
Tena nchi yenye uchumi wa Kati chini. Lakini tupo kwenye program ya kugawiwa vyandalua. Ila sisi bado hatujagawiwa
 
Kufikia jana tayari Kenya imerekodi visa 15601 vya wagonjwa wa korona huku visa 700 vikirekodiwa kwa Jana pekee. Hali inazidi kuwa mbaya zaidi kwa nchi hii jirani.

Mwingiliano baina ya raia wa nchi hizi mbili ni mkubwa mno na kama Tanzania ikiendelea kurelax na kuona kwamba hili siyo gonjwa la Watanzania, tunaweza kujikuta tunarudi kule kule tulikotoka.
unaweza kuta Tanzania kuna visa laki moja na zaidi.
 
7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom