Wakati Mwingine unatamani kusikia Magazeti yetu yakiwa na vichwa vya habari zifuatazo

Bora huyu aloota ndoto yake kuliko nyie mnaoquote Uzi mzima.... Yaani nyie ni sawa na bashite tu.. Unakuta jitu linaquote Uzi mzima kana kwamba wachangiaj wengine hawajausoma!!
 
Nimeipenda hiyo ya "Kuingia kwe mgogoro na jumuiya ya kimataifa kwa kutengeneza silaha za nyuklia", huku serikali ikisisitiza kuwa ni kwa ajili ya nishati ya umeme tu...

...Bado tuna safari ndefu kufika huko, kama tumekuwa watu wa kumsikiliza "mange kimambi" toka marikani, na habari "ujinga" wake una trend kuliko habari yoyote ndani ya nchi, ana fans malaki huko insta, haya njoo kuyaandika in the next 500yrs.
 
Wakati Mwingine unatamani kusikia Magazeti yetu yakiwa na vichwa vya habari zifuatazo.

1. Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam College ya Injinia wamefanikiwa kutengeneza daraja wakiwa wanafanya majaribio na daraja hilo litakaa miaka 50 ndiyo liweze kuhitajika kufanyiwa marekebisho. Ni daraja la kisasa kabisa kutokea.

2. Chuo cha Taifa cha Usafirishaji kitazindua helkopita mpya na ya kisasa kabisa mwezi huu ambayo imetengenezwa na wanafunzi wa chuo hicho na Rais ataenda kuizundua helkopita hiyo mwezi ujao.

3. Tanzania imeimarisha zaidi viwanda vyake ambayo ni nguzo ya viwanda vyote nchini. Viwanda hivyo viko chini ya Serikali ya Tanzania ambavyo ni vya Chuma, Kemikali na Injinia.

4. Tanzania inaweza kuwekewa vikwazo vya uchumi kwa kusisitiza kuwa viwanda vyake vya nyuklia ni kwa sababu ya nishati ya umeme tu na si vingine.

5. Msanii tajiri kuliko wote Afrika kutoka nchini Tanzania atafanya ziara kubwa nchini Marekani na Wasanii wa Marekani wanapigana kumbo ili angalau kumuomba wamshirikishe kwenye nyimbo zao.

6. Tanzania ndiyo nchi inayoongoza kwa kuwa na uchumi imara Afrika.

8. Tanzania ni nchi pekee Afrika ambayo kila Mtanzania ana uhakika wa kupata maji na umeme kwa kiwango cha asilimia themanini mijini na vijijini.

9. Rais wa Tanzania kesho atasafiri kwenda Mbeya na baadaye ataenda Kigoma kwa kutumia treni ya mwendo kasi.

10. Wakulima na Wafugaji nchini Tanzania hali zao kiuchumi ni imara zaidi kwa sababu serikali inawajali na kuwawezesha sana.

11. Madaktari kutoka Tanzania wamegundua dawa ya kuzuia kansa na ukimwi.

12. Rais wa Tanzania apewa zawadi ya Mo Ibrahim kuhusu utawala bora baada ya kukosa mshindi miaka mingi.

Natamani Magazeti yetu siku moja yaandike hivyo. Ni lini?. Sijui, lakini kwa Mwenyezi Mungu yote yawezekana. Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Afrika.

02/03/2017.

Tunavyopenda hivi umbeya, habari za Maki tutamwachia nani!?
 
Mimi nataka kesho nikiamka nikutane na hii

MAGUFULI SI WA MCHEZO MCHEZO AMTUMBUA MAKONDA KWA KUGUSHI VYETI.

Then baada ya siku mbili nisikie

MAKONDA MAHAKANI KUJIBU TUHUMA ZA KUGUSHI VYETI


Kwa hisani ya DAUDI ALBERT BASHITE wa kolomije mzee wa fwa fwa fwa zote
 
mm ningependa kuskia haya.

Chato yawa Mkoa Rasmi.

Bashite atumbuliwa na kuamuwa kurudi shule.

Rais Magufuli atoswa na CCM kugombea URais 2020.

kwa Mara ya Kwanza Upinzani Washinda Uchaguzi mkuu.

Tanzania yajenga barabara 10 Ubungo Chalinge
nimeipenda ya 3
 
Ndoto yako si mbaya ila bahati mbaya tulio wengi wala hatuna raghba na hayo mambo.

Sisi twapenda zaidi habari za akina Bashite, Gwajima, Koromije, na vyeti ghushi.

Hayo uliyoyaorodhesha ni magumu mno na ni mambo ya Wazungu huko Ulaya.

Ndivyo tulivyo!
Ukiachilia mbali wananchi wanaopenda kula Ubuyu daily, Je viongozi wenye dhamana katika maeneo husika wamewekeza kiasi cha resource ili tufikie hatua hiyo ?

So far viongozi tulionao wamejikita kwenye udaku na vijembe wakiongozwa na Dr Yohana mwenyewe.
 
College of engineering UDSM wafanikiwa kujenga daraja nimeipenda hyo sasa sijui lini
 
Mawazo yako mazuri, ila kwa kwa Tanzania ya sasa tunavutia sana na habari zinazoongelea maovu ya wenzentu
Nchini Marekani wabunge wa Republican wameungana na Wa Democratic kumpinga mteuliwa wa bwana Trump kutokana kashfa aliyonayo.

Je unataka kutumbia wamewaiga nyinyi watanzani ?
 
Ndoto yako si mbaya ila bahati mbaya tulio wengi wala hatuna raghba na hayo mambo.

Sisi twapenda zaidi habari za akina Bashite, Gwajima, Koromije, na vyeti ghushi.

Hayo uliyoyaorodhesha ni magumu mno na ni mambo ya Wazungu huko Ulaya.

Ndivyo tulivyo!
Mkuu huoni kama akina bashite wakipotea hayo yote yanawezekana.? Tuwadhibiti hawa akina bashite ktk elimu zetu na uongozi matokeo hayo unayowaza yatafanyika.
 
Yaaani uongozwe na bashite ufikie maendeleo hayooo????tupambane na ubashilism kwanza
 
Si rahisi, koromije ndio shida

Wakati Mwingine unatamani kusikia Magazeti yetu yakiwa na vichwa vya habari zifuatazo.

1. Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam College ya Injinia wamefanikiwa kutengeneza daraja wakiwa wanafanya majaribio na daraja hilo litakaa miaka 50 ndiyo liweze kuhitajika kufanyiwa marekebisho. Ni daraja la kisasa kabisa kutokea.

2. Chuo cha Taifa cha Usafirishaji kitazindua helkopita mpya na ya kisasa kabisa mwezi huu ambayo imetengenezwa na wanafunzi wa chuo hicho na Rais ataenda kuizundua helkopita hiyo mwezi ujao.

3. Tanzania imeimarisha zaidi viwanda vyake ambayo ni nguzo ya viwanda vyote nchini. Viwanda hivyo viko chini ya Serikali ya Tanzania ambavyo ni vya Chuma, Kemikali na Injinia.

4. Tanzania inaweza kuwekewa vikwazo vya uchumi kwa kusisitiza kuwa viwanda vyake vya nyuklia ni kwa sababu ya nishati ya umeme tu na si vingine.

5. Msanii tajiri kuliko wote Afrika kutoka nchini Tanzania atafanya ziara kubwa nchini Marekani na Wasanii wa Marekani wanapigana kumbo ili angalau kumuomba wamshirikishe kwenye nyimbo zao.

6. Tanzania ndiyo nchi inayoongoza kwa kuwa na uchumi imara Afrika.

8. Tanzania ni nchi pekee Afrika ambayo kila Mtanzania ana uhakika wa kupata maji na umeme kwa kiwango cha asilimia themanini mijini na vijijini.

9. Rais wa Tanzania kesho atasafiri kwenda Mbeya na baadaye ataenda Kigoma kwa kutumia treni ya mwendo kasi.

10. Wakulima na Wafugaji nchini Tanzania hali zao kiuchumi ni imara zaidi kwa sababu serikali inawajali na kuwawezesha sana.

11. Madaktari kutoka Tanzania wamegundua dawa ya kuzuia kansa na ukimwi.

12. Rais wa Tanzania apewa zawadi ya Mo Ibrahim kuhusu utawala bora baada ya kukosa mshindi miaka mingi.

Natamani Magazeti yetu siku moja yaandike hivyo. Ni lini?. Sijui, lakini kwa Mwenyezi Mungu yote yawezekana. Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Afrika.

02/03/2017.
 
Tatizo Mkuu ni huu uongozi uchwara uliopo nchini ambao kila kukicha wanaendelea kukumbatia maovu mbali mbali nchini na watenda maovu.

Angalia ndani ya nchi yetu hata kujadili njaa sasa ni kosa la kumpeleka Mtanzania lupango. Angalia hili la Bashite zaidi ya wiki sasa Rais aliyepigia debe uhakiki wa vyeti vya watumishi wa Serikali hili anaendelea kuuchuna kama hajalisikia kabisa. Angalia la Wabunge wa MACCM kupokea rushwa ya milioni 10 Majaliwa kakubali kuuficha ukweli kuhusu huu ufisadi uliofanyika pale mtaa wa lumumba na Rais naye kimyaaa!

Kwa hiyo utaona Serikali ndiyo iko mstari wa mbele kukumbatia maovu na watenda maovu na hivyo hii hali kusambaa nchi nzima na hata kuanza kuathiri elimu yetu kwa kiwango cha kutisha.

Ikiwa hali halisi ndiyo hii hayo ambayo wengi tungependa kuyasoma na kuyasikia yatabaki kuwa ndoto kwa mingi ijayo.

Leo hii kukemea maovu nchini unaonekana ati ni MCHOCHEZI!

Wakati Mwingine unatamani kusikia Magazeti yetu yakiwa na vichwa vya habari zifuatazo.

1. Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam College ya Injinia wamefanikiwa kutengeneza daraja wakiwa wanafanya majaribio na daraja hilo litakaa miaka 50 ndiyo liweze kuhitajika kufanyiwa marekebisho. Ni daraja la kisasa kabisa kutokea.

2. Chuo cha Taifa cha Usafirishaji kitazindua helkopita mpya na ya kisasa kabisa mwezi huu ambayo imetengenezwa na wanafunzi wa chuo hicho na Rais ataenda kuizundua helkopita hiyo mwezi ujao.

3. Tanzania imeimarisha zaidi viwanda vyake ambayo ni nguzo ya viwanda vyote nchini. Viwanda hivyo viko chini ya Serikali ya Tanzania ambavyo ni vya Chuma, Kemikali na Injinia.

4. Tanzania inaweza kuwekewa vikwazo vya uchumi kwa kusisitiza kuwa viwanda vyake vya nyuklia ni kwa sababu ya nishati ya umeme tu na si vingine.

5. Msanii tajiri kuliko wote Afrika kutoka nchini Tanzania atafanya ziara kubwa nchini Marekani na Wasanii wa Marekani wanapigana kumbo ili angalau kumuomba wamshirikishe kwenye nyimbo zao.

6. Tanzania ndiyo nchi inayoongoza kwa kuwa na uchumi imara Afrika.

8. Tanzania ni nchi pekee Afrika ambayo kila Mtanzania ana uhakika wa kupata maji na umeme kwa kiwango cha asilimia themanini mijini na vijijini.

9. Rais wa Tanzania kesho atasafiri kwenda Mbeya na baadaye ataenda Kigoma kwa kutumia treni ya mwendo kasi.

10. Wakulima na Wafugaji nchini Tanzania hali zao kiuchumi ni imara zaidi kwa sababu serikali inawajali na kuwawezesha sana.

11. Madaktari kutoka Tanzania wamegundua dawa ya kuzuia kansa na ukimwi.

12. Rais wa Tanzania apewa zawadi ya Mo Ibrahim kuhusu utawala bora baada ya kukosa mshindi miaka mingi.

Natamani Magazeti yetu siku moja yaandike hivyo. Ni lini?. Sijui, lakini kwa Mwenyezi Mungu yote yawezekana. Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Afrika.

02/03/2017.
 
Back
Top Bottom