Wakati Mwingine unatamani kusikia Magazeti yetu yakiwa na vichwa vya habari zifuatazo

S.N.Jilala

JF-Expert Member
Jan 26, 2012
540
507
Wakati Mwingine unatamani kusikia Magazeti yetu yakiwa na vichwa vya habari zifuatazo.

1. Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam College ya Injinia wamefanikiwa kutengeneza daraja wakiwa wanafanya majaribio na daraja hilo litakaa miaka 50 ndiyo liweze kuhitajika kufanyiwa marekebisho. Ni daraja la kisasa kabisa kutokea.

2. Chuo cha Taifa cha Usafirishaji kitazindua helkopita mpya na ya kisasa kabisa mwezi huu ambayo imetengenezwa na wanafunzi wa chuo hicho na Rais ataenda kuizundua helkopita hiyo mwezi ujao.

3. Tanzania imeimarisha zaidi viwanda vyake ambayo ni nguzo ya viwanda vyote nchini. Viwanda hivyo viko chini ya Serikali ya Tanzania ambavyo ni vya Chuma, Kemikali na Injinia.

4. Tanzania inaweza kuwekewa vikwazo vya uchumi kwa kusisitiza kuwa viwanda vyake vya nyuklia ni kwa sababu ya nishati ya umeme tu na si vingine.

5. Msanii tajiri kuliko wote Afrika kutoka nchini Tanzania atafanya ziara kubwa nchini Marekani na Wasanii wa Marekani wanapigana kumbo ili angalau kumuomba wamshirikishe kwenye nyimbo zao.

6. Tanzania ndiyo nchi inayoongoza kwa kuwa na uchumi imara Afrika.

8. Tanzania ni nchi pekee Afrika ambayo kila Mtanzania ana uhakika wa kupata maji na umeme kwa kiwango cha asilimia themanini mijini na vijijini.

9. Rais wa Tanzania kesho atasafiri kwenda Mbeya na baadaye ataenda Kigoma kwa kutumia treni ya mwendo kasi.

10. Wakulima na Wafugaji nchini Tanzania hali zao kiuchumi ni imara zaidi kwa sababu serikali inawajali na kuwawezesha sana.

11. Madaktari kutoka Tanzania wamegundua dawa ya kuzuia kansa na ukimwi.

12. Rais wa Tanzania apewa zawadi ya Mo Ibrahim kuhusu utawala bora baada ya kukosa mshindi miaka mingi.

Natamani Magazeti yetu siku moja yaandike hivyo. Ni lini?. Sijui, lakini kwa Mwenyezi Mungu yote yawezekana. Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Afrika.

02/03/2017.
 
Wakati Mwingine unatamani kusikia Magazeti yetu yakiwa na vichwa vya habari zifuatazo.

1. Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam College ya Injinia wamefanikiwa kutengeneza daraja wakiwa wanafanya majaribio na daraja hilo litakaa miaka 50 ndiyo liweze kuhitajika kufanyiwa marekebisho. Ni daraja la kisasa kabisa kutokea.

2. Chuo cha Taifa cha Usafirishaji kitazindua helkopita mpya na ya kisasa kabisa mwezi huu ambayo imetengenezwa na wanafunzi wa chuo hicho na Rais ataenda kuizundua helkopita hiyo mwezi ujao.

3. Tanzania imeimarisha zaidi viwanda vyake ambayo ni nguzo ya viwanda vyote nchini. Viwanda hivyo viko chini ya Serikali ya Tanzania ambavyo ni vya Chuma, Kemikali na Injinia.

4. Tanzania inaweza kuwekewa vikwazo vya uchumi kwa kusisitiza kuwa viwanda vyake vya nyuklia ni kwa sababu ya nishati ya umeme tu na si vingine.

5. Msanii tajiri kuliko wote Afrika kutoka nchini Tanzania atafanya ziara kubwa nchini Marekani na Wasanii wa Marekani wanapigana kumbo ili angalau kumuomba wamshirikishe kwenye nyimbo zao.

6. Tanzania ndiyo nchi inayoongoza kwa kuwa na uchumi imara Afrika.

8. Tanzania ni nchi pekee Afrika ambayo kila Mtanzania ana uhakika wa kupata maji na umeme kwa kiwango cha asilimia themanini mijini na vijijini.

9. Rais wa Tanzania kesho atasafiri kwenda Mbeya na baadaye ataenda Kigoma kwa kutumia treni ya mwendo kasi.

10. Wakulima na Wafugaji nchini Tanzania hali zao kiuchumi ni imara zaidi kwa sababu serikali inawajali na kuwawezesha sana.

11. Madaktari kutoka Tanzania wamegundua dawa ya kuzuia kansa na ukimwi.

12. Rais wa Tanzania apewa zawadi ya Mo Ibrahim kuhusu utawala bora baada ya kukosa mshindi miaka mingi.

Natamani Magazeti yetu siku moja yaandike hivyo. Ni lini?. Sijui, lakini kwa Mwenyezi Mungu yote yawezekana. Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Afrika.

02/03/2017.
Ndoto yako si mbaya ila bahati mbaya tulio wengi wala hatuna raghba na hayo mambo.

Sisi twapenda zaidi habari za akina Bashite, Gwajima, Koromije, na vyeti ghushi.

Hayo uliyoyaorodhesha ni magumu mno na ni mambo ya Wazungu huko Ulaya.

Ndivyo tulivyo!
 
Wakati Mwingine unatamani kusikia Magazeti yetu yakiwa na vichwa vya habari zifuatazo.

1. Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam College ya Injinia wamefanikiwa kutengeneza daraja wakiwa wanafanya majaribio na daraja hilo litakaa miaka 50 ndiyo liweze kuhitajika kufanyiwa marekebisho. Ni daraja la kisasa kabisa kutokea.

2. Chuo cha Taifa cha Usafirishaji kitazindua helkopita mpya na ya kisasa kabisa mwezi huu ambayo imetengenezwa na wanafunzi wa chuo hicho na Rais ataenda kuizundua helkopita hiyo mwezi ujao.

3. Tanzania imeimarisha zaidi viwanda vyake ambayo ni nguzo ya viwanda vyote nchini. Viwanda hivyo viko chini ya Serikali ya Tanzania ambavyo ni vya Chuma, Kemikali na Injinia.

4. Tanzania inaweza kuwekewa vikwazo vya uchumi kwa kusisitiza kuwa viwanda vyake vya nyuklia ni kwa sababu ya nishati ya umeme tu na si vingine.

5. Msanii tajiri kuliko wote Afrika kutoka nchini Tanzania atafanya ziara kubwa nchini Marekani na Wasanii wa Marekani wanapigana kumbo ili angalau kumuomba wamshirikishe kwenye nyimbo zao.

6. Tanzania ndiyo nchi inayoongoza kwa kuwa na uchumi imara Afrika.

8. Tanzania ni nchi pekee Afrika ambayo kila Mtanzania ana uhakika wa kupata maji na umeme kwa kiwango cha asilimia themanini mijini na vijijini.

9. Rais wa Tanzania kesho atasafiri kwenda Mbeya na baadaye ataenda Kigoma kwa kutumia treni ya mwendo kasi.

10. Wakulima na Wafugaji nchini Tanzania hali zao kiuchumi ni imara zaidi kwa sababu serikali inawajali na kuwawezesha sana.

11. Madaktari kutoka Tanzania wamegundua dawa ya kuzuia kansa na ukimwi.

12. Rais wa Tanzania apewa zawadi ya Mo Ibrahim kuhusu utawala bora baada ya kukosa mshindi miaka mingi.

Natamani Magazeti yetu siku moja yaandike hivyo. Ni lini?. Sijui, lakini kwa Mwenyezi Mungu yote yawezekana. Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Afrika.

02/03/2017.


Mission Impossible .
TOP BRASS ndio wanaongoza kwa vyeti vya kuforge. what do you expect?
 
Ndoto yako si mbaya ila bahati mbaya tulio wengi wala hatuna raghba na hayo mambo.

Sisi twapenda zaidi habari za akina Bashite, Gwajima, Koromije, na vyeti vya ghushi.

Hayo uliyoyaorodhesha ni magumu mno na ni mambo ya Wazungu huko Ulaya.

Ndivyo tulivyo!
Hayo utayapataje kwa kuwa na viongozi wasio na sifa ya nafasi walio nazo, unategemea kuyapata hayo huku ukiruhusu wananunua vyeti kuwa viongozi?!
 
Mimi nataka kesho nikiamka nikutane na hii

MAGUFULI SI WA MCHEZO MCHEZO AMTUMBUA MAKONDA KWA KUGUSHI VYETI.

Then baada ya siku mbili nisikie

MAKONDA MAHAKANI KUJIBU TUHUMA ZA KUGUSHI VYETI


Kwa hisani ya DAUDI ALBERT BASHITE wa kolomije mzee wa fwa fwa fwa zote
 
Umejitahidi Sana kuumiza kichwa kufikiria mambo ya msingi

Lakini ukweli haupinduki

Hayo yatawezekana 100 years to come

But now ngoja tu deal na the present

BASHITEEEEEE!!!!!
Kwanini unajilimit....Why not now???
 
Mimi nataka kesho nikiamka nikutane na hii

MAGUFULI SI WA MCHEZO MCHEZO AMTUMBUA MAKONDA KWA KUGUSHI VYETI.

Then baada ya siku mbili nisikie

MAKONDA MAHAKANI KUJIBU TUHUMA ZA KUGUSHI VYETI


Kwa hisani ya DAUDI ALBERT BASHITE wa kolomije mzee wa fwa fwa fwa zote

Haiwezekani home boy huyo
 
Kaka asilimia ngapi ya budget ya taifa inatengwa kwenye tafiti?
Hapo sasa. Maprofesa na Madakitari ndio haoooo.. kwenye Teuzi za Nafsi kunako siasani.. Mainjinia toka CoET ni kama 13 hivi hadi sasa. Hayo madaraja watayatengeneza/Watayajenga wakiwa Wizarani?
 
Mi ningewaza hivi " Wema amtembelea Mungu wetu shimoni, alikowekwa maabusu na kamanda wa kanda yetu kwa kosa lile la Kughushi"
 
Ndoto yako si mbaya ila bahati mbaya tulio wengi wala hatuna raghba na hayo mambo.

Sisi twapenda zaidi habari za akina Bashite, Gwajima, Koromije, na vyeti ghushi.

Hayo uliyoyaorodhesha ni magumu mno na ni mambo ya Wazungu huko Ulaya.

Ndivyo tulivyo!
Tena mtu anaweza kupanda mpaka bus aende akapaone Koromije
 
mm ningependa kuskia haya.

Chato yawa Mkoa Rasmi.

Bashite atumbuliwa na kuamuwa kurudi shule.

Rais Magufuli atoswa na CCM kugombea URais 2020.

kwa Mara ya Kwanza Upinzani Washinda Uchaguzi mkuu.

Tanzania yajenga barabara 10 Ubungo Chalinge
 
Back
Top Bottom