Mtoa mada Ni Ngumbaru mwenzetu. Hakuna analojua zaid ya kuunga stori za vijiweni tuSo mji hautakiwi kupangiliwa?
Mtoa mada Ni Ngumbaru mwenzetu. Hakuna analojua zaid ya kuunga stori za vijiweni tuSo mji hautakiwi kupangiliwa?
Sasa subiri uone uharibifu mkubwa utakao kuja kwa hao waliovunjiwa sehemu za kufanyia biashara,tutakabwa saa 2 usiku,wait and seeNyie ndio chanzo cha matatizo. Uaribifu unaofanywa na machinga na mamalishe unaikosesha Tanzania mapato kuliko huruma uliyonayo kwai. Si lazima wewe kuwa sehemu ya taka kwenye mji. Kuchuiza vitu mabarabarani sio suruhisho
Suruhisho ni nguvu ya pamoja ya kuondoa machinga tupate utulive
Watanzania wengi wajinga kama wewe ulivyo mjinga hivi mmesha pewa mda wa kuondoka kwa hiyari tena mda wa kutosha hamjaondoka sasa mlitakaje? Mlitaka muachwe?Harassment
Katikati ya mji wapi hasa msiume maneno?.Wapangwe vizuru katikati ya mji na sio kuwatelekeza nje ya mji....New York pia wapo machinga ila wamepangwa vizuri!
Wewe unaweza pingana na maiti? Huo mjadala kati yako na maiti mnaufanyia wapi?Kwahiyo unapingana na mh Magufuri?
Tumia akili basi angalau kidogoWewe unaweza pingana na maiti? Huo mjadala kati yako na maiti mnaufanyia wapi?
Wewe ulitumia akili kiasi gani? Magufuri ndio nani kwanza?Tumia akili basi angalau kidogo
Hilo swali au ngonjera?Wewe ulitumia akili kiasi gani? Magufuri ndio nani kwanza?
AuHilo swali au ngonjera?
Hii shida yote ilitengenezwa na serikali kupitia awamu iliyopita.Walivyomuja na swala vitambulivyo vya elfu 20 bila mashart ndo lileleta ghasia zote.Serikali iliwaza kisiasa zaidi badala ya kiuchumi na kijamii.kwahiyo ngoja tuone hili zoezi litaendaje na litachukua muda gani kabla mambo hayajarudi tena.Mi nipo tofauti kidogo na wanao watetea hawa machinga
1. Wengi mna angalia recently hamuangalii from the root cause.
Mtu unaenda fanya biashara eneo lisilo sahihi unataka serikali ikusaidiaje? Bytheway kuondolewa ni lazima ila kutaftiwa sehemu rasmi sio lazima maana ignorance of the law haindoi hukumu.
Hawa hawana utofauti na wanao vamia hifadhi ya barabara na kujenga alafu wategemee waje wajengewe na serikali kisa wanaondolewa the fact is wako wrong.
2. Hawa wanatafuta riziki yao lakini wako maeneo yasiyo sahihi, kitendo ambacho kina haribu mpangilio wa miji na kuhatarisha maisha yao.
Mara kwa mara gari zinapo hama njia huwa zinawavaa wao na kusababisha hasara kwa hao hao watoto,mke na tegemezi. Wengine tairi huwa zinachomoka na kuwamaliza.
People change.Hakuna sabab yoyote inayoweza kuharibu nchi hii. Maana watu wake Ni maiti. Hata iamriwe kuwa kila mwananchi awe anachapwa viboko kila asubuhi maiti watatii tu.
Mzee wa Msoga alisha sema za kuambiwa changaya na zako walio jazwa upepo na mwendazake ndo hao wanalia saivi ila kuna machinga wako kariakoo na karume maeneo sahihi kabisa wanafanya kazi zao vizuriHii shida yote ilitengenezwa na serikali kupitia awamu iliyopita.Walivyomuja na swala vitambulivyo vya elfu 20 bila mashart ndo lileleta ghasia zote.Serikali iliwaza kisiasa zaidi badala ya kiuchumi na kijamii.kwahiyo ngoja tuone hili zoezi litaendaje na litachukua muda gani kabla mambo hayajarudi tena.
Sasa unapanga bidhaa za kula binadamu chini, tena juu ya mifereji ya maji machafu, unaziba barabara na njia za wapenda kwa miguu kwa kisingizio unatafuta riziki halafu ukiambiwa husikii dawa yake ni nini? Tena ningekuwa mimi ningewatumia wale wazee wa nguo za mabaka mitaa yote kwa miezi sita...Harassment
Umachinga hata kodi hawalipi, sasa wanachangiaje kiuchumi? Halafu wanawaziba wenye fremu za biashara ambao wana leseni na wanalipa kodi mbalimbali...Miji upangiliwe kwanza, sio kuhamisha watu kinyama kabla ya kupangilia.
Watawala wamefanya kosa kubwa kuhamisha kinyemela shughuli za kiuchumi kutoka Dodoma na kuzipeleka Dar ambako mji wake ulibuniwa miaka ya 1890, Mwanza 1892, Arusha 1905, Moshi 1898, Mbeya 1915 nk. Ardhi haiongezeki lakini watu na shughuli mbalimbali za kiuchumi na kijamii zinaongezeka kila kukicha hivyo haiwezekani kupangilia na kuacha nafasi huru kwa matumizi ya umma bila bughudha.
Ndiyo ukweli huo kama unabisha kamuulize Mange Kimambi...Unaandika hii comment huku ukiwa umelewa kimpumu
Unamjua wewe huyoNdiyo ukweli huo kama unabisha kamuulize Mange Kimambi...