Hio ni suluhisho ya muda mrefu
Na je una ushahidi kuwa serikali haina hizo sera?
In the interim.,leo
Serikali ifanyeje?.
Anachofanya Mh Samia ni sahihi au la?Nchi makini hujengwa kwa masuluhisho ya muda mrefu, hakuna shortcuts kwenye maendeleo.
Kwahiyo unataka kujilipua? Basi sawa.Nimeshangaa kauli ya mkuu wa mkoa wa Dar, akisema wamachinga wakirudi maeneo ya kati, basi atakuwa hafai.
Mkuu wa mkoa wa Dar amesahau kuwa hili ni kundi la wavuja jasho ambao wanamikopo, wanalisha familia zao, wanasomesha watoto na ndugu zao.
Mmesahau kuwa hawa watu sio wa kufanyiwa harassment? Mohamed Boazizi alifanyiwa harassment kama hizi mnazowafanyia wamachinga hivi leo. Mohed Boazizi aliaambia na mamlaka za Tunisia hivi hivi, kuwa anafanya biashara mahala pasipofaa. Mamlaka zilisahau kuwa ana watoto ndugu na jamaa wanaomtegemea.
Mohamed Boazizi alijimwagia Petrol na kujipiga kiberiti. Jambo ambalo lilisababisha serikali ya Tunisia,Libya na Egypt kuanguka.
View attachment 1984517
Wacha kujitoa akili ndugu mtanzania mwenzetuKuna vyama vya upinzani wamezuiwa kushauri kuhusu machinga?
Wacha kujitoa akili ndugu mtanzania mwenzetu
Wanawaonea sana hawa matching Guys (Machinga) ila ubaya ikifika kampeni hawa hawa machinga utaona wananunuliwa na kukubali kupewa vilaki laki wamsapoti mtu alowatimua pakutafutia ugaliNimeshangaa kauli ya mkuu wa mkoa wa Dar, akisema wamachinga wakirudi maeneo ya kati, basi atakuwa hafai.
Mkuu wa mkoa wa Dar amesahau kuwa hili ni kundi la wavuja jasho ambao wanamikopo, wanalisha familia zao, wanasomesha watoto na ndugu zao.
Mmesahau kuwa hawa watu sio wa kufanyiwa harassment? Mohamed Boazizi alifanyiwa harassment kama hizi mnazowafanyia wamachinga hivi leo. Mohed Boazizi aliaambia na mamlaka za Tunisia hivi hivi, kuwa anafanya biashara mahala pasipofaa. Mamlaka zilisahau kuwa ana watoto ndugu na jamaa wanaomtegemea.
Mohamed Boazizi alijimwagia Petrol na kujipiga kiberiti. Jambo ambalo lilisababisha serikali ya Tunisia,Libya na Egypt kuanguka.
View attachment 1984517
Kwahiyo unataka kujilipua? Basi sawa.
Kwa mtazamo wake anaonekana kama ndiyo kwanza kaingia tanzania juzi tuUnamaana mtanzania mwenzetu kajitoa akili bado kidogo avue nguo kabisa
Huo ndiyo ujinga wanao ufanya hawa machinga.Wanawaonea sana hawa matching Guys (Machinga) ila ubaya ikifika kampeni hawa hawa machinga utaona wananunuliwa na kukubali kupewa vilaki laki wamsapoti mtu alowatimua pakutafutia ugali
Anachofanya Mh Samia ni sahihi au la?
Kama anakosea?afanyeje?
Unadai upinzani hawasikilizwi.,kivipiWacha kujitoa akili ndugu mtanzania mwenzetu
Suluhisho la kudumu ni lipi ?Anachofanya ni kufunika tu kidonda kikubwa kisitoe harufu bila kukitibu kwa dawa
Sijui tafsiri yako ya neno harassment ni nini hao watu ndio wametukosea sisi kama wananchi tunaolipa kodi na wao kuja kujenga vibanda kama tuko kwenye slums za India na bado wanajifanya ni haki yao..Nimjinga tu ndio ataamini ni haki yao kulialia kipindi hiki.Nimeshangaa kauli ya mkuu wa mkoa wa Dar, akisema wamachinga wakirudi maeneo ya kati, basi atakuwa hafai.
Mkuu wa mkoa wa Dar amesahau kuwa hili ni kundi la wavuja jasho ambao wanamikopo, wanalisha familia zao, wanasomesha watoto na ndugu zao.
Mmesahau kuwa hawa watu sio wa kufanyiwa harassment? Mohamed Boazizi alifanyiwa harassment kama hizi mnazowafanyia wamachinga hivi leo. Mohed Boazizi aliaambia na mamlaka za Tunisia hivi hivi, kuwa anafanya biashara mahala pasipofaa. Mamlaka zilisahau kuwa ana watoto ndugu na jamaa wanaomtegemea.
Mohamed Boazizi alijimwagia Petrol na kujipiga kiberiti. Jambo ambalo lilisababisha serikali ya Tunisia,Libya na Egypt kuanguka.
View attachment 1984517
Hapo ndo inapouma.,Nafurahi Sana machinga kupitia mateso maana Tanzania imekuwa nchi kundi moja likiwa salama hawana muda wa kutetea wengine.
Kipindi Matajiri wanaitwa mashetani na wezi mlikuwa mnasema watumbuliwe bila kujua wengine walikuwa wanaonewa.
Nataka nione mkiteseka Tena mpigwe haswaa ili tujenge jamii ya kuwa na watu wapenda haki na Jamii osiyofumbia uvunjaji wa sheria hata Kama mko salama.
Ila kwa hili pigweni tu
Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
Kupangilia ni swala la ghafla au tunahitaji ufuatiliaji wa kila siku ? Kajenga kibanda ,kaletewa umeme na tanesco ,maji etc ukigundua serikali za chama chako ndo sababu si uwape 2rs bila fidia watokeGood question. Nasubiri majob yake