Idd Ninga
JF-Expert Member
- Nov 18, 2012
- 5,136
- 4,298
Machinga na mfanya biashara, anachotaka machinga kulingana na biashat=ra yake inavyotaka ni kupata sehemu ambayo biashara yake itafanyika kulingana na upatikanaji wa wateja wakeUna maanisha machinga wabaki hapo hapo walipo?
Au wapangwe kiaje?