Wakati mnawafanyia harassment wamachinga, mnakumbuka habari ya Mohamed Bouazizi aliyesabababisha serikali za kiarabu kuanguaka?

Basi mshaurini awafanyie nini kundi hilo
Huku mkizingatia nchi ni yetu sote sio machinga tu
Sisi hatuna nafasi ya kumshauri maana kila tunacho kifanya tunaonekana ni maadui wa taifa.

Wapinzani hawakubaliki kwa watawala hata kama wana mawazo ya kujenga nchi yetu.
 
Nafurahi Sana machinga kupitia mateso maana Tanzania imekuwa nchi kundi moja likiwa salama hawana muda wa kutetea wengine.


Kipindi Matajiri wanaitwa mashetani na wezi mlikuwa mnasema watumbuliwe bila kujua wengine walikuwa wanaonewa.


Nataka nione mkiteseka Tena mpigwe haswaa ili tujenge jamii ya kuwa na watu wapenda haki na Jamii osiyofumbia uvunjaji wa sheria hata Kama mko salama.


Ila kwa hili pigweni tu

Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
 
So mji hautakiwi kupangiliwa?
Kupangiliwa kwa mjini hakuna maana ya kuondoa watu mjini bali ni kuwatengenezea watu mazingira ya kuwa na mji kulingana na hali yao ya kimaisha na mfumo wao wa kipato wa kila siku, labda uelewe kwamba, watu wanahitaji zaidi maisha yenye kuendelea kuliko kuwa na mji mzuri uliojaa masikini ama watu wasiokuwa na uwezo wa kuendesha kipato, hao wamachinga unaowaona leo wamechafua mji, kesho wanauwezo wa kukiufanya wewe na nyumba yako nzuri mkaishi maisha ya kujificha kama wanyama, wakamfanya mtu mwenye duka lake kariako akajutia uwepo wa duka lake na kipato chake anachopata, hao wamachinga wanaochafu mji, kesho wanauwezo wa kuichafua nchi na watu wakaishi katika maisha ya wanyama, mbwa na pak,paka na panya na utu ukaishia hapo.
Sasa chagua moja familia yako iishi kwa furaha au ukoo wako kubaki historia kuwa uliwahi kuwepo ama wewe kuishi ukiwa umejifukia ndani ya shimo huku mji ukachwa ukiwa hautamaniki kutazamika.
 
H
Hapa bongo haitakaa itokee hiyo. Kama unabisha jaribu ujimwagie mafuta halafu wahutubie wamachinga wenzako kisha ujichome.

Uone kama mtanzania ataacha kazi zake eti aje kuandamana kwasabb wewe umejiua.
O ni nature ya waarabu na sisi waislam tu nyie wengine hamuwezi...hata Mimi Kuna kipindi huwa nnakua na migogoro ya nafsi acha kabsa siku nkipata shinikizo nakinukisha mammaer 🤕🤕🤕
 
Tatizo siyo wamachinga bali tatizo ni mtoto umuleavyo.

Mwendazake aliapa na kulihutubia taifa kuwa wamachinga kamwe wasiguswe maana walimpigia kura.
Vipi unajua kama kura iliyopigwa ni ya mmachinga?
Hiyo ni kauli ya kutaka kuhalalisha uchafuzi wa uchaguzi uliyofanyika na kutaka kuwateka wamachinga wote wawe CCM.
Lazima tuwe waastaarabu, ikiwa serikali imeleta utaratibu wa jinsi wa kufanya biashara zetu bora tuufuate, sometimes we need to be cruel to be kind.
 
Kupangiliwa kwa mjini hakuna maana ya kuondoa watu mjini bali ni kuwatengenezea watu mazingira ya kuwa na mji kulingana na hali yao ya kimaisha na mfumo wao wa kipato wa kila siku, labda uelewe kwamba, watu wanahitaji zaidi maisha yenye kuendelea kuliko kuwa na mji mzuri uliojaa masikini ama watu wasiokuwa na uwezo wa kuendesha kipato, hao wamachinga unaowaona leo wamechafua mji, kesho wanauwezo wa kukiufanya wewe na nyumba yako nzuri mkaishi maisha ya kujificha kama wanyama, wakamfanya mtu mwenye duka lake kariako akajutia uwepo wa duka lake na kipato chake anachopata, hao wamachinga wanaochafu mji, kesho wanauwezo wa kuichafua nchi na watu wakaishi katika maisha ya wanyama, mbwa na pak,paka na panya na utu ukaishia hapo.
Sasa chagua moja familia yako iishi kwa furaha au ukoo wako kubaki historia kuwa uliwahi kuwepo ama wewe kuishi ukiwa umejifukia ndani ya shimo huku mji ukachwa ukiwa hautamaniki kutazamika.

Chafueni.
 
Itengeneze sera zitakazoufanya uchumi usizalishe wamachinga na zitakazowaondoa wamachinga wa sasa kutoka kwenye umachinga
Hio ni suluhisho ya muda mrefu
Na je una ushahidi kuwa serikali haina hizo sera?

In the interim.,leo
Serikali ifanyeje?.
 
Kupangiliwa kwa mjini hakuna maana ya kuondoa watu mjini bali ni kuwatengenezea watu mazingira ya kuwa na mji kulingana na hali yao ya kimaisha na mfumo wao wa kipato wa kila siku, labda uelewe kwamba, watu wanahitaji zaidi maisha yenye kuendelea kuliko kuwa na mji mzuri uliojaa masikini ama watu wasiokuwa na uwezo wa kuendesha kipato, hao wamachinga unaowaona leo wamechafua mji, kesho wanauwezo wa kukiufanya wewe na nyumba yako nzuri mkaishi maisha ya kujificha kama wanyama, wakamfanya mtu mwenye duka lake kariako akajutia uwepo wa duka lake na kipato chake anachopata, hao wamachinga wanaochafu mji, kesho wanauwezo wa kuichafua nchi na watu wakaishi katika maisha ya wanyama, mbwa na pak,paka na panya na utu ukaishia hapo.
Sasa chagua moja familia yako iishi kwa furaha au ukoo wako kubaki historia kuwa uliwahi kuwepo ama wewe kuishi ukiwa umejifukia ndani ya shimo huku mji ukachwa ukiwa hautamaniki kutazamika.
Una maanisha machinga wabaki hapo hapo walipo?

Au wapangwe kiaje?
 
Sisi hatuna nafasi ya kumshauri maana kila tunacho kifanya tunaonekana ni maadui wa taifa.

Wapinzani hawakubaliki kwa watawala hata kama wana mawazo ya kujenga nchi yetu.
Kuna vyama vya upinzani wamezuiwa kushauri kuhusu machinga?
 
Back
Top Bottom