Mohammed wa 5
JF-Expert Member
- Jun 20, 2022
- 1,215
- 2,995
Haji manara wakati yupo Simba aliwahi kusema pale Yanga mashabiki wenye akiri ni baba yake na mzee kikwete.
Wakati anasema hayo nadhani hakufikiria ya mbele au ndo mropokaji,raisi wa Tanzania mama yetu ni shabiki wa yanga je na yeye Ile kauli inamuhusu.
Haji manara inabidi utuombee samahani mashabiki wote wa yanga akiwemo na raisi wetu..
Over
Wakati anasema hayo nadhani hakufikiria ya mbele au ndo mropokaji,raisi wa Tanzania mama yetu ni shabiki wa yanga je na yeye Ile kauli inamuhusu.
Haji manara inabidi utuombee samahani mashabiki wote wa yanga akiwemo na raisi wetu..
Over