Wakati Makonda anakwenda Arusha kuwa Mkuu wa Mkoa tunauliza kuhusu CV yake.

Kuna yeyote anaweza kutukumbusha kuhusu CV ya Makonda?
Alikwenda UDSM ,alikuwa kiongozi wa serikali ya wanafunzi,and what else?
Tunaweza kuipata CV yake apart from his illustrious political career?
CV yake yote GWAJIMA alishaitoa kipindi cha vyeti feki.
Ila chuo alisoma ushirika aka DISCO akarudia kombi ya KIKE yaani COMMUNITY DEVELOPMENT ndo akatoboa kwa ShidaShida.
HII NCHI UKISHAJULIKANA NA WAKUBWA UTABEBWA TUU HIVYOHIVYO HATA KAMA NI ZUZU
 
Ustaadh rashidi gwajima anasemaje?
1712384825138.png

1712384867044.png

Kuhusu Albert Bashite?
 
Fund ndoga kutoka serikalini. Sisi hatufanyi kazi ya njaa. Waiteni waliosoma VETA mana wao hata elfu 10 wanapiga kazi
Wachina wana hali mbaya? Kwenye vyombo vya ndani wanapata sh ngapi? Ukijumlisha production,material na usafirishaji! Leo hii unaiona elfu 10 si pesa ya wewe kufanyia kazi! Hongera tajiri
 
Wachina wana hali mbaya? Kwenye vyombo vya ndani wanapata sh ngapi? Ukijumlisha production,material na usafirishaji! Leo hii unaiona elfu 10 si pesa ya wewe kufanyia kazi! Hongera tajiri
Hivi unajua thamani ya prof wa mechanical wewe? Afanye kazi ya elfu 10. Ndo mana competent proffesors wa Tanzania wanaishia marekani ambapo wanakuwa valued. Siyo nchi hizi mnavulue vilaza akina makonda na Happy ili kuua wapinzani tu
 
Kuna yeyote anaweza kutukumbusha kuhusu CV ya Makonda?
Alikwenda UDSM ,alikuwa kiongozi wa serikali ya wanafunzi,and what else?
Tunaweza kuipata CV yake apart from his illustrious political career?
Ana kwenda Arusha kusimimia 10=za wakubwa kwenye Uwanja unao jengwa kwa b280.
Na majumba ya kitalii wakubwa zake wanazo pora watu kwa minada feki
 
Kwa hiyo unataka wauaji ndo waongoze nchi. Hivi unajua makonda kaua wangapi nchi hii. Mpka marekani kapigwa ban nchi yenye intelligentsia Kali sana
Wewe bado mshamba sana! Ruto alishitakiwa mpaka na Mahakama ya kimataifa ya makosa ya jinai leo ndo Rais wa Kenya!
Marekani hafanyi kazi bila kuangalia masrahi yake! Ikitokea Makonda akawa Waziri Mkuu au Rais kama unadhani Marekani itamzuia kuingia unajidanganya!
Marekani anasaport mauaji sehemu kibao za dunia leo hii unaongelea issue ya skendo ya Makonda ambayo haimhusishi raia wa Kimarekani waifatilie!
Hakuna adui wa kudumu wa Marekani kikubwa kama unasave interest zao au wana interest na wewe!
Punguzeni mihemko Marekani sio rafiki yako au wangu anaweza kuwa adui yako au rafiki yako kutokana jinsi gani anakuhitaji au hakuhitaji kwa masrahi yake!
 
Wewe bado mshamba sana! Ruto alishitakiwa mpaka na Mahakama ya kimataifa ya makosa ya jinai leo ndo Rais wa Kenya!
Marekani hafanyi kazi bila kuangalia masrahi yake! Ikitokea Makonda akawa Waziri Mkuu au Rais kama unadhani Marekani itamzuia kuingia unajidanganya!
Marekani anasaport mauaji sehemu kibao za dunia leo hii unaongelea issue ya skendo ya Makonda ambayo haimhusishi raia wa Kimarekani waifatilie!
Hakuna adui wa kudumu wa Marekani kikubwa kama unasave interest zao au wana interest na wewe!
Punguzeni mihemko Marekani sio rafiki yako au wangu anaweza kuwa adui yako au rafiki yako kutokana jinsi gani anakuhitaji au hakuhitaji kwa masrahi yake!
Makonda anafaa kuuawa hafai kuwa kiongozi kabisa. Kidogo atuulie lisu wetu. Unataka madaraka kwa kuua watu kweli!
 
Anavaa overall kwa sababu analipwa pesa ndefu. Mavazi siyo issue. Hapa bongo hata utembee uchi Bado pesa ni kisoda. Hatukusoma ili tuteseke. Chukueni Hao watu cheap wa veta
Umeanza kuandika kihuni sasa 'pesa kisoda' msemo una maana ipi?
 
Back
Top Bottom