Wakati JPM alijenga uwanja mkubwa wa kimataifa wa ndege Chato, ambao hakuna ndege inayotua zaidi ya kunguru, shule ya wanafunzi 1500 haina choo

JPM ukurasa wake umeshafungwa, naona bado mzimu uñakutembelea na kukufanya uweweseke.

Pambana na akina Makonda ili pesa wanazotumia kwenye maigizo wajengee vyoo.
 
SIR- 100 alikuwa Makamu wa Rais, Philip Mpango alikuwa waziri wa fedha, Naibu waziri mkuu alikuwa Waziri wa Madini, Majaliwa alikuwa waziri mkuu.

Tusidandanyane sio Kila mwanaccm hana akili
 
Sema na wazazi hawapo serious, wanataka nani aje awachimbie choo? Au huko majumbani kwao hamna vyoo?
 
JPM ameshakufa...; Vipi hio shule ina vyoo kwa sasa ?!!!!

Bora mapesa kutupwa Chato kuliko sasa hivi zinatupiwa kwenye akaunti za watu pasipojulikana....

Ni kama zimwi ambalo halikuli likakwisha sasa hivi hili zimwi linatumaliza.....
 
Hiyo shule haina kamati ya shule? haina uongozi wa kata? Hao watoto/wanafunzi hawana wazazi?
Kuna vitu vingine ni kujidekeza tu havina haja eti kuililia serikali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…