Wakati CHADEMA wakizidi kuimarika, wapi Wassira, wapi Slaa?

Wakati CHADEMA wakizidi kuimarika, wapi Wassira, wapi Slaa?

Kw
Mkuu,,unaroho ngumu sana! Kumponda Slaa kunahitaji uwe huna akili! Una roho ngumu sana kwakweli sijui kama.

Kwani Slaa ni Mungu??????????????????? Akichemka lazima apewe zamacho kama kawa. Mbona Wasira husemi mkuu?????????????????? Upinzani Tanzania hauwezi kufa kamwe labda ccm ibadilike na ibadilishe na jina pia japokua upinzani hautakufa kamwe hadi Yesu arudi kama atakuja kweli.
 
H
Woote waliosema cdm inakufa sasa wao ndio wamezikwa kisiasa
Huo ndo ukweli mchungu mkuu ambao ccm unawachoma kila kukicha lakiki hawawezi kuupanulia mdomo maana ni aibu ya ndani hiyo.
 
Ile barua ya kuomba uenyekiti wa kamati ya bunge vipi ilishajibiwa?
Nasikia Ndugai alipoisoma barua ile aliangua kicheko hadi maumivu, nusura arudishwe tena India. Ila kaahidi atamuweka kwenye kamati ya kilimo ili asaidie kukuza kilimo cha michikichi kukuza upatikanaji wa mawese
 
H

Huo ndo ukweli mchungu mkuu ambao ccm unawachoma kila kukicha lakiki hawawezi kuupanulia mdomo maana ni aibu ya ndani hiyo.
Ccm wanaugulia maumivu ndani kwa ndani
 
Nasikia Ndugai alipoisoma barua ile aliangua kicheko hadi maumivu, nusura arudishwe tena India. Ila kaahidi atamuweka kwenye kamati ya kilimo ili asaidie kukuza kilimo cha michikichi kukuza upatikanaji wa mawese
Teeeeeeh teeeeeeeeeh teeeeeeeeeh @ mcubic
 
aC
Hivi huoni hata aibu!? Katika majimbo 265 kote nchini, mna wabunge 36 tu...pamoja na kuunganisha nguvu ya vyama pinzani na kuachiana majimbo...Na bado mnajiona mmefanya vizuri!? Kuwa mkweli katika nafsi yako tu...Huna sababu ya ku-reply hii comment.

Acha kumshawishi asii-reply hiyo coment wakati unajua moyoni mwako (HATA KAMA HUTASEMA KWA MDOMO WAKO) kua ushindi ulikua ni wa UKAWA ila mkafanya yenu mliyofanaya ndo maana hata Zenji mnajaribu sana yaleyale ya huku bara, mtashindwa tu na mtalegea kwa nguvu ya umma, time will tell.
 
Nasikia Ndugai alipoisoma barua ile aliangua kicheko hadi maumivu, nusura arudishwe tena India. Ila kaahidi atamuweka kwenye kamati ya kilimo ili asaidie kukuza kilimo cha michikichi kukuza upatikanaji wa mawese
Mkuu sidhani kama huko atafurahia kwenda maana anajua ulaji ni finyu
 
Mkuu,,unaroho ngumu sana! Kumponda Slaa kunahitaji uwe huna akili! Una roho ngumu sana kwakweli sijui kama.
Kwani Slaa mara ya mwisho umemsikia lini?ili ukatae hili siyo kweli?Slaa amepunguza nini CDM toka alipoondoka?
 
H

Huo ndo ukweli mchungu mkuu ambao ccm unawachoma kila kukicha lakiki hawawezi kuupanulia mdomo maana ni aibu ya ndani hiyo.
Wacha waendelee kuficha kansa ya ini mwisho wa siku ni kuwasahau kama ilivyo sahaulika upc na kanu kwa uganda na kenya
 
?itakuwaje siku mkija kujua kuwa ujio wa Lowassa upinzani ulikuwa sehemu ya mkakati wa chama tawala kuvihujumu vyama vya upinzani na kujihakikishia kurudi madarakani?just thinking!

Kweli kuna mawazo negative ila haya yamepondokea. Anyway aliwazalo nanihii ndilo litalomtokea. Baba Lowassa ni wetu daima na hakuna wa kufanana naye hata kwa mchuzi.
 
Kweli kuna mawazo negative ila haya yamepondokea. Anyway aliwazalo nanihii ndilo litalomtokea. Baba Lowassa ni wetu daima na hakuna wa kufanana naye hata kwa mchuzi.
Mkuu huyu jamaa anaye jita TEKNOLOJIA sijui ana akili gani,ya mjusi si ya mjusi yaani hajui nini anakiandika juu ya cdm zaidi ya chuki tuu jambo ambalo halitamsaidia kitu
 
Kwani Slaa mara ya mwisho umemsikia lini?ili ukatae hili siyo kweli?Slaa amepunguza nini CDM toka alipoondoka?
Mkuu nayakumbuka sana maneno ya slaa ktk ukumbi aliokodishiwa na mwakyembe eti enyi watu wangu wa cdm,vijana wangu wa cdm!!!!!
 
aC


Acha kumshawishi asii-reply hiyo coment wakati unajua moyoni mwako (HATA KAMA HUTASEMA KWA MDOMO WAKO) kua ushindi ulikua ni wa UKAWA ila mkafanya yenu mliyofanaya ndo maana hata Zenji mnajaribu sana yaleyale ya huku bara, mtashindwa tu na mtalegea kwa nguvu ya umma, time will tell.
Mkuu kwa zenji maji tayari yamewashika shingoni hawana ujanja wao wa kuchezesha karata tatu,tunasubiri watutangazie chaguo la wazenji maalim seif
 
Aise kwani chadema bado ipo,kweli?unasema imeimarika kivipi na.kwamba achekwe Dr Slaa,kweli mhhh
 
Katika siasa usiwe na mawazo mgando. Slaa alifanya kazi yake akashindwa umaliziaji.
 
Back
Top Bottom