Wakati CHADEMA wakizidi kuimarika, wapi Wassira, wapi Slaa?

Wakati CHADEMA wakizidi kuimarika, wapi Wassira, wapi Slaa?

Hii propaganda ilishindwa
Mshana leo kule zenji kuna kijana wa ccm amebeba bango linasema machotara na mahizbu kuwa zanzibar sio yao. Basi tunasubiri hio propaganda watayoambiwa Wachaga nao Tanzania sio kwao. Warudi Kenya, ccm akili zao kama Lizabon.
 
Vijana wengi wa CHADEMA wana shida hii ya kuelewa kuhusu 'umdhaniaye ndiye mara nyingi huwa siye...na umdhaniaye siye huwa ndiye',they're very slow to learn anything, Laiti wangejua kwamba mazingira ya siasa za Kiafrika kiongozi wa chama kikuu cha upinzani akiwa pia mfanyabiashara anakuwa ktk uwezekano mkubwa wa kutumika na serikali ya chama cha tawala kwasababu kubwa mbili🙁1) mfanyabiashara anaweza kuzigeuza siasa kuwa jukwaa lingine la kimapato(2)mfanyabiashara anapenda kupata faida kubwa kubwa,faida kubwa wanazozipata mara nyingi hutokana na fouls wanazozicheza kama vile kutolipa kodi, kufanya biashara nyingine zisizo halali.Mara nyingi utakuta serikali wanafahamu mambo yote haya hivyo yanayofanywa na viongozi hawa wa vyama vya upinzani ambao ni wafanyabiashara lkn utakuta hawawachukulii hatua za kisheria kwakuwa wanatoa ushirikiano kwa chama tawala.Je,Wana CHADEMA mliwahi kujiuliza kuhusu hilo?mnakimbilia kumwita Dr Slaa msaliti,itakuwaje siku mkijua kuwa kumbe mnayemwita shujaa wa CHADEMA ndiye msaliti mkubwa dhidi ya harakati za kuiondoa CCM madarakani?itakuwaje siku mkija kujua kuwa ujio wa Lowassa upinzani ulikuwa sehemu ya mkakati wa chama tawala kuvihujumu vyama vya upinzani na kujihakikishia kurudi madarakani?just thinking!

Hivi kumbe serikali ina upendelea kwenye ukusanyaji wa kodi?

Mwanzisha thread hakuna sehemu ametumia neno "usaliti" hivyo wewe kulitumia hapa ukimrefer mtoa mada ni indication ya kukariri majibu

Hilo la Lowasa unalijua wewe hivyo huwezi bishwa

Pia kumbuka sio kila unaloliwaza lazima uliandike
 
Wakati wa miaka ya 2012 nilikatishwa tamaa na waziri Wassira aliposema kuwa CHADEMA itakufa kabla ya 2014,niliogopa na kujutia uamuzi wangu wa kuwa mwanachama wa CHADEMA lakini ilipofika 2015 baada ya uchaguzi mkuu yule aliyeitabilia kifo CHADEMA kumbe ndiyo akaondolewa kwenye dunia ya siasa na vijana wa CHADEMA,.

Slaa alipohama CHADEMA alisema anaamini ataondoka na vijana wake na wapiga kura woote wa CHADEMA,sasa Slaa hasikiki na CHADEMA inazidi kuchanua,kweli Mungu siyo Athumani.
slaa yuko na dalila wake tyson anaisoma namba hii ndio siasa bwanaaa
 
wakati mwingine tuwe tunajenga tabia ya kuacha maneno kidogo wakati wasira anaongolea chadema kufa baada ya uchaguzi wa mwaka jana naona alitumia visigino kufikiri
dr wa mihogo akusoma alama za nyakati naye mbinafsi tu yeye anajali mwanamke sio masilahi mapana ya chama chake na taifa kwa ujulma
 
Wakati wa miaka ya 2012 nilikatishwa tamaa na waziri Wassira aliposema kuwa CHADEMA itakufa kabla ya 2014,niliogopa na kujutia uamuzi wangu wa kuwa mwanachama wa CHADEMA lakini ilipofika 2015 baada ya uchaguzi mkuu yule aliyeitabilia kifo CHADEMA kumbe ndiyo akaondolewa kwenye dunia ya siasa na vijana wa CHADEMA,.

Slaa alipohama CHADEMA alisema anaamini ataondoka na vijana wake na wapiga kura woote wa CHADEMA,sasa Slaa hasikiki na CHADEMA inazidi kuchanua,kweli Mungu siyo Athumani.

Kwa Wassira umesema kweli lkn kwa Dr Slaa unamwonea kwani hajasema kuwa ataondoka na mtu. Alisema anaacha siasa na amefanya hivyo. Usimpakazie mzee wetu.
 
Slaa yupo Marekani anaishi kwenye Nyumba ambayo alinunuliwa na Benard Membe kwa kutumia yale Mamilion ya Gadafi, Slaa anakula pesa alizopewa na ccm na maadui wengine wa Lowasa zikiisha atarejea Nchini.

You are a liar. Dr Slaa has friends in USA and Europe na wamempatia kazi ya kufundisha chuoni. Hayo ya Membe na Gadafi utatueleza vizuri hivi karibuni. JF MODs pelekenI ID hii cyber crime unit kwa uchunguzi ili tujue ukweli wa Fedha za Gadafi na Membe.
 
Last edited:
Dokta Slaa hakusema anaondoka na wapiga kura wote wa CHADEMA.
Hizi zitakuwa akili za hawa "ulipo tupo",CHADEMA halisi kama mimi hawezi kumkandia dk.Slaa.
 
Dokta Slaa hakusema anaondoka na wapiga kura wote wa CHADEMA.
Hizi zitakuwa akili za hawa "ulipo tupo",CHADEMA halisi kama mimi hawezi kumkandia dk.Slaa.
Wewe ni kati ya watumishi wa yumbani kwa slaa na siku ile anatupiwa vilago ndiye ulikuwa unamtandikia kwenye kigari chake ili bosi wako apate angalau kausingizi
 
Kwa Wassira umesema kweli lkn kwa Dr Slaa unamwonea kwani hajasema kuwa ataondoka na mtu. Alisema anaacha siasa na amefanya hivyo. Usimpakazie mzee wetu.
Chadema ndiyo hiyooooo inazidi kushineeeeeeee
 
Mleta mada uwe na kumbu kumbu. Mke wa silaha alisema wazi yeye na mume wake wanaachana na siasa marafiki wamewapa pesa wanataka kujenga shule na hospitali. Sasa unataka waonekane wapi
 
Mleta mada uwe na kumbu kumbu. Mke wa silaha alisema wazi yeye na mume wake wanaachana na siasa marafiki wamewapa pesa wanataka kujenga shule na hospitali. Sasa unataka waonekane wapi
Kwani hizo shule na hospiali zinajengwa mbinguni?
 
Ni kweli hatuwezi kumlaumu tatizo DELILA alitaka kuwa First lady mambo yakaenda kombo akambadilisha akili, bado Dr. Wa Ukweli tunamkubali
Kwahiyo huyo delila hawatakii mema wanao mkubali slaa siyo?
 
Kajikomba saana kwa Lowassa
Baada ya kumuita Fisadi papa
Masikini mubeembe wa watu katupiliwa kapuni jamaani,tamaa mbaya sana na nihatari kuwa na viongozi kama huyo
 
Mleta mada uwe na kumbu kumbu. Mke wa silaha alisema wazi yeye na mume wake wanaachana na siasa marafiki wamewapa pesa wanataka kujenga shule na hospitali. Sasa unataka waonekane wapi
Ebu twambie hao ni marafiki wa wapi walijitolea kutoa zawadi kwa slaa kujengea shule na hospitali
 
lazima ifike hatua tuachane na siasa nyepesi tujikite zaidi kwenye hoja na ubunifu, naona chadema ya sasa imejikita zaidi kushambulia watu kuliko hoja za msingi imefika hatua mpaka zetu za msingi tunaweka pembeni tunaandama watu, kama kuna kosa kubwa chadema walifanya ni kumuacha Dr slaa aondoke halafu wakachukua kapi LOWASA, Dr, slaa anaandamwa lakini mda si mrefu atasafishwa kama lowasa alivyosafishwa na chadema yenyewe
 
Back
Top Bottom